Evergreen Umenena,
Hapa ndipo penye shida utii, alipewa mwanamke iweje mume amtii mke hali yeye alipewa kupenda, na kuishi kwa akili na mwanamke na kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo kuweni na akili kuishi nacho. Kuna wajibu watu walipewa hapa, na Mungu aliona kabisa shida iko wapi tena tangu pale bustani ya eden, ni kweli maneno yaliyomengi yaliandikwa na watu kulingana na mahali hapo, lakini ni sawa hata sasa, na biblia ya Yesu ilikuja kukamilisha tu ile ya mwanzo.
Wanaume kutokuwa na mapenzi na wake zao ni kwa sababu wanawake wanataka kushindana na wanaume (authority) (kichwa cha nyumba))wakati wao wamepewa kitu chao kuwa na mikono isiyobomoa nyumba zao (hekima/busara/maarifa).
Ukichinguza ndoa/wapenzi wenye furaha ni wale wanaotii agizo hilo, ambalo lina matunda ya upendo, furaha, upole, unyeyekevu, kiasi, heshima, mapenzi yatakuwepo, faraja itakuwepo, na Nguvu za kiume kama mmoja alivyosema itakuwepo, japo vyakula navyo vinachangia lakini kukiwa utii, hayo mtajadiri hata aina ya vyakula kwa ajili ya nguvu za kiume yatakuwepo, lakini wakati mwingine nguvu zakiume hazipo kwa sababu baba haheshimiwi nyumbani inambidi ahamie kule wanako mtii na ndiko anakomaliza hizo nguvu, kwa hakika nguvu hakuna nguvu inayotumika ikakaa kama ilivyo, hakuna nguvu itakayo kaa bure, lazima itumike, sasa mume wako mnalala mzungu wa pili/nne hiyo nguvu itapoteaje? sasa mama unataka nguvu kwa mtu usiyemtii itatokaje, usiyemjali, usiye mheshimu, usiye mpenda, na yeye anjua humpendi na unamtamkia kabisa...
Mwanake kauri mbaya, sauti ya juu kila siku, halafu unataka mashamsham na nguvu vitatoka wapi?
Pili, wanawake wakiwapata waume huwa wanadhani safari ndo imeisha, kujipenda kule kwa mwanzo kunaisha, kuvaa vizuri kunaisha, kukiss, kuhug, kutoa pole kwa wanaume zao hata kama wakati huo wao wote wanafanya kazi just do it for the sake of your marriage coz it is so, kama mwanaume wako anataka kuoga kabla ya kula fanya hivyo mpe maji kama hayako yale ya kisasa, kama taulo halipo bafuni fanay hivyo, kwa zile bafu zetu, kama chakula kipo mezani na pengine wewe hupendi kula jaribu kuwa naye mezani hata kama unajisikia taabu kufanya hivyo halafu ona kama huyu kiumbe dhaifu atabanduka hapo.
Mwanume anaweza akawa amekununulia hata gari, nyumba nzuri, kila kitu kizuri yet akakuacha unakula, unalala, unaendesha gari unafanya shopping, akaenda kula kwa mamashikaji nje tu kwasabau hakuna hizi herufi nne na kaneno ka UTII tu.
Na kama mwanamke anapaswa kutii, basi mwanamume amjali huyo anayemtii which is obviously kwa ka-research kangu nilikokafanya and the opposite is true.
Blessing Be Unto You !