Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

Na tukipeleka discussion kwenye mambo ya bible basi wanawake yatupasa tukae majumbani tupike na kulea watoto na wanaume watafute pesa za kutosheleza mahitaji yote ya familia. Hivi vitabu viliandikwa zamani kwa hiyo msikimbilie kipengele kimoja tu cha utii na kuwalaumu wanawake na kuacha vipengele vingine. Ni obvious mwanamke asiye na kipato ana possibility kubwa ya kutokuwa na say ndani na ni part ya utii. That is why wale wanaume wanaopenda sana wanawake watiifu wanaoa wanawake wenye elimu ndogo ili wao wawe sole providers na wapate huo utii. And in most cases huo utii unatokana na kuwa hana financial power si kwamba wanapenda kuwa kama mazoba.

Mara mnalalamika wanawake wanawageuza ATM which is your role as per bible. Mara hawana utii. Hacheni ubinafsi mkitaka tufate maandiko na tuyafuate yote si nusu nusu na kuchagua yale yanayo wafeva.
 
Zinadumu kwa upendo na furaha au uvumilivu na manyanyaso????

Inawezekana kuna ukweli flani ndani yake...
Ndoa nyingi ambazo wanawake wanawatii waume zao hudumu... tofauti na ndoa ambazo kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzie!
Mwanaume anapenda kusikilizwa na kujiona yeye siku zote ndio muamuzi, yeye siku zote hana kosa, yeye siku zote ni wa kuombwa msamaha maana hakosei yeye...!
 
"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala mwanaume yamejaa huzuni,wasiwasi na mapungufu unless anatawaliwa somewhere..."Ukitii utakula mema ya nchi" .UTII wa mwanmke huifullfill nafsi ya mwanume na yeye kujisikia rijali na hivyo kitohitajika nguvu mbadala ktk mapenzi-sasa tunaona mke akipendwa sana, akienziwa na hata kubembelezwa..na ni wakati huu mme anapowajibika kwa familia yake. Mashindano,ubishi na hata kumlinganisha mwanaume ni sumu isiyo na simile ktk ndoa(impotance,ubaridi,kutojiamini na KUASI)..Nimefanya utafiti kidogo nimekutana na semi za wanaume ukioa mwmke mwenye elimu/fedha nyingi
atakusumbua..Ewe msichana/mwnamke ni wakati wa kuikamata ndoa yako TII sasa kama agizo la BWANA
Ni matunda gani yanaweza kuondoa tatizo hili badala ya UTII?
 
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!

Tatizo la kusomewa maandiko matakatifu. Mungu akuhurumie
 
Nadhani kuna ukweli sana tu katika hili.... ukitaka kujua ngoja mkeo au mumeo akukere afu ucku mkutane kwenye 6x6
 
Naamini katika kutoku-challenge Hekima ya Mungu,Mungu Akisema Wanawake wawatii Waume zao ndiyo hivyohivyo,kuasi maagizo ya Mungu hutuletea MAUMIVU katika Maisha yetu!! Mungu anajua jinsi alivyomuumba Mwanaume in all aspects including mahusiano,anajua ile ahusiane vizuri na Mkewe Imempasa Mke Kushuku,huu si unyonge wala Ujinga ndiyo maana amefafanua "Kama kumtii Kristo" maana Kristo hawezi kumpa mtu maelekezo yasiyo na Maana!! Mwanamke ambaye ni Rebellious huujeruhi Moyo wa Mumewe na hufayafanya Mapenzi ya Mume kwa Mkewe KUSINYAA mithili ya Maua yaliyokosa Maji!! Mwanamke mwenye Utii hupendwa na Mumewe zaidi,viganja vyake humpapasa na kamwe havitotumika vinginevyo!!! Likewise,Waume nao imetupasa Kuwapenda Wake zetu!!! Cheers,No Hard Feelings!!!
Santee sanaaa...mule mule ndugu yangu....kutii ni ibada...kama mke anavyopenda deko/kusikilizwa...basi kutii nako kuna matokeo chanya upande wa mume..
 
If this is the opinion then, we should demand a new Bible kama tunavyodai katiba mpya. Otherwise, sheria mama itaendelea kubakiaa:
Shida kubwa ni kuingia viapo vya ndoa pasipo kujua maandiko/wajibu wao..kusign usichokijua???
 
Evergreen Umenena,

Hapa ndipo penye shida utii, alipewa mwanamke iweje mume amtii mke hali yeye alipewa kupenda, na kuishi kwa akili na mwanamke na kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo kuweni na akili kuishi nacho. Kuna wajibu watu walipewa hapa, na Mungu aliona kabisa shida iko wapi tena tangu pale bustani ya eden, ni kweli maneno yaliyomengi yaliandikwa na watu kulingana na mahali hapo, lakini ni sawa hata sasa, na biblia ya Yesu ilikuja kukamilisha tu ile ya mwanzo.

Wanaume kutokuwa na mapenzi na wake zao ni kwa sababu wanawake wanataka kushindana na wanaume (authority) (kichwa cha nyumba))wakati wao wamepewa kitu chao kuwa na mikono isiyobomoa nyumba zao (hekima/busara/maarifa).

Ukichinguza ndoa/wapenzi wenye furaha ni wale wanaotii agizo hilo, ambalo lina matunda ya upendo, furaha, upole, unyeyekevu, kiasi, heshima, mapenzi yatakuwepo, faraja itakuwepo, na Nguvu za kiume kama mmoja alivyosema itakuwepo, japo vyakula navyo vinachangia lakini kukiwa utii, hayo mtajadiri hata aina ya vyakula kwa ajili ya nguvu za kiume yatakuwepo, lakini wakati mwingine nguvu zakiume hazipo kwa sababu baba haheshimiwi nyumbani inambidi ahamie kule wanako mtii na ndiko anakomaliza hizo nguvu, kwa hakika nguvu hakuna nguvu inayotumika ikakaa kama ilivyo, hakuna nguvu itakayo kaa bure, lazima itumike, sasa mume wako mnalala mzungu wa pili/nne hiyo nguvu itapoteaje? sasa mama unataka nguvu kwa mtu usiyemtii itatokaje, usiyemjali, usiye mheshimu, usiye mpenda, na yeye anjua humpendi na unamtamkia kabisa...
Mwanake kauri mbaya, sauti ya juu kila siku, halafu unataka mashamsham na nguvu vitatoka wapi?

Pili, wanawake wakiwapata waume huwa wanadhani safari ndo imeisha, kujipenda kule kwa mwanzo kunaisha, kuvaa vizuri kunaisha, kukiss, kuhug, kutoa pole kwa wanaume zao hata kama wakati huo wao wote wanafanya kazi just do it for the sake of your marriage coz it is so, kama mwanaume wako anataka kuoga kabla ya kula fanya hivyo mpe maji kama hayako yale ya kisasa, kama taulo halipo bafuni fanay hivyo, kwa zile bafu zetu, kama chakula kipo mezani na pengine wewe hupendi kula jaribu kuwa naye mezani hata kama unajisikia taabu kufanya hivyo halafu ona kama huyu kiumbe dhaifu atabanduka hapo.

Mwanume anaweza akawa amekununulia hata gari, nyumba nzuri, kila kitu kizuri yet akakuacha unakula, unalala, unaendesha gari unafanya shopping, akaenda kula kwa mamashikaji nje tu kwasabau hakuna hizi herufi nne na kaneno ka UTII tu.

Na kama mwanamke anapaswa kutii, basi mwanamume amjali huyo anayemtii which is obviously kwa ka-research kangu nilikokafanya and the opposite is true.

Blessing Be Unto You !
Santeee..
 
Pamoja na kupotea potea ktk uzi huu bado KUTII kuna tija kubwa ktk ndoa zetu....ingawa shida kubwa ilikuwa ktk kufahamu kutii ni nini,kutii kuna faida na si utumwa...na ktkt yake ndipo zilipo silaha za maangamizi za mw'ke...kuna vipawa automatic ktk kuexercise utii...ndani ya anayetiii hutoka pendo la HUDUMA na pendo la HURUMA hapa ndipo ilipo siri ya nguvu ya mw'ke,ktk haya 2 ndipo lilipo limbwata la ukwelii...lakini msingi ni kutiii...
 
Ni matunda gani yanaweza kuondoa tatizo hili badala ya UTII?
Kaitaba...huwezi amini vicheni patu vyooote vinafunda unyenyekevu,utiii kwa mume na wengine huenda mbali zaidi....wengi humu walikuwa/watakuwa soon wahitimu wa hivi vitchen pati...
 
Umeongea vyema, mwanamke inabidi uwe mtiifu ila usiwe mtiifu kupitiliza hadi ukaonekana zoba.
 
Zinadumu kwa upendo na furaha au uvumilivu na manyanyaso????
OOOh! nyumba kubwa kutii ninakokuongelea si huko....unatakiwa kwa hiyari kabisa umkubali/ufurahie mumeo kuwa ni kichwa cha nyumba yako..baba ktk maisha yako....wanawake wakubwa wawafundishe w'ke vijana kuwatii na kuwapenda waume zao (kungwi wa ukweli)...nyumba kubwa timiza wajibu wako usiwatishe vijana bana..
 
Makosa kwenye bible yapo, lakini suala la MWANAMKE KUWA CHINI YA UONGOZI WA MWANAUME liko sawa 100%.
 
Umejitahidi ila uliposema “maisha ya mwanamke yamejaa huzuni na mapungufu unless anatawaliwa somewhere“ umeangukia uso....yani naomba niseme umepotoka.Labda ungesema baadhi ungeleeweka zaidi na mimi ningekubaliana na wewe kwasababu najua wapo wanawake ndoa/mahusiano kwao ni zaidi ya HITAJI na SIO TAKWA‘!

kauli hiyo inabeba wingi mdada hakuna mahala utakuta ni 100%.....
 
Wanaume wengine wana hila tu hata uwaheshimu vipi bado wanakuwa wakatili tu
mhhh swala ni % mwanaume yyte mwelewa anaitaji utii yoka kwa mke wake ndoa hii ina nafasi kubwa ya kudumu
 
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!

Lizzy kamwe usiikosoe Biblia Takatifu ........................yaani sanasana unatuonyesha ulivyo mbumbu katika Neno La Mungu...................Biblia Takatifu ni Mwenyezi mungu anaongea nas.....................Mungu hawezi kuwa na makosa kibao kama unavyodai...............

Labda nianze kwa kukusahihisha tafsiri zako juu ya neno la Mungu...........

tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda


mapungufu ya mwanadamu kamwe hayawezi kutumika kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa Neno lake limejaa makosa kibao...............Mwenyezi mungu ametuagiza tuwe watakatifu kwa sababu yeye ni mtakatifu. sitanukuu mstari kwa sababu ukweli upo dhahiri........


makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo.

adhabu za kifo bado zinatumika duniani ingawaje kutokana na udhaifu wa mwanadamu kuendekeza rushwa wengi wanaona wanaohukumiwa kufa yawezekana hawana hatia na ndiyo maana zimepigwa marufuku maeneo mengi.................................lakini hili huwezi kuliorodhesha kuwa ni kosa ndani ya neno la Mungu..................................

tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle

Hili ni lako mwenyezi Mungu ametuasa ya kuwa kisasi ni chake...........soma Kumbukumbu ya Torati 32:35.......

As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea

Hizi ndizo sifa za Anti-Christ.............................kufanya upendavyo as if there is no living God and p[erhaps entertaining the idea you are GOD......................maana kama husikilizi sauti ya mwenyezi mungu unasikiliza sauti ya nani? Kama ni yako basi wajiona ni Mungu........

Mtume Paulo amekuelekeza ifuatavyo:-

a) For a man indeed ought not to cover his head, since he is the image and glory of God; but woman is the glory of man. For man is not from a woman, but woman from man. Nor was man created for the woman, but woman for the man." 1 Corintihians 11:7-9.

b) "Wives submit to your own husbands, as to the Lord. For the husband is head of the wife, as also Christ is head of the church; and he is the saviour of the body. Therefore, just as the church is subject to Christ, so let the wives be to their own husbands in everything." Ephesians 5:22-24.

Lizzy; in thoughts and deeds, follow Christ and everything will be well with you..................kwa sababu imeandikwa ya kuwa.............Mathew 12:37 "For your words you will be justified, and by your words you will be condemned."
 
Umeongea vyema, mwanamke inabidi uwe mtiifu ila usiwe mtiifu kupitiliza hadi ukaonekana zoba.
Asilani hatakuwa zoba bali atakula mema ya nchi...utii humrudisha m'ke ktk asili yake na ni tiba maridhawa kwa hali ya kiume...husninyo ukipanda juu umechagua mapambano na vita hii hainaga mswalie maumivu ndo matokeo yake..
 
Back
Top Bottom