Utii wa wanawake wa kisasa

Tunajifunza kwenye vitabu vya dini au hujaona?
 
Mf
Mfano ushoga haujajifia, je tuseme nao una maana? Unajua mtu anaweza akatoa hoja mpaka ukasema huyu anafikiria kwa kutumia kiungo gani?
 
Mimi nimekuuliza mwanamke anapata faida gani ya moja kwa moja anapokuwa chini ya mwanaume wewe unaniuliza maswali ya kipumbavu, so seriously you expect me to answer you why nilizaliwa mwanamke yani hilo tu linadhihirisha jinsi ulivyo na uwezo mdogo wa kufikiri kama nyumbu, labda nikuulize kwani kuna mtu anayechagua kuzaliwa mwanamke au mwanaume

Na kama sivyo kwanini umlazimishe mtu afuate man made traditions na gender assigned roles (in the name of nature) yaliyowekwa kwa jinsia ambayo hajaichagua yeye, hizo tamaduni zote na vitabu vyote vya dini zilianzishwa na viliandikwa kipindi cha mfumo dume tena na wanaume, kwahiyo ulitegemea wataweka kanuni ambazo zitampendelea zaidi mwanamke kuliko mwanaume

Wanawake wao walilazimishwa tu kufuata tamaduni ambazo wanaume waliziweka hawakushirikishwa kutoa maoni kwa sababu hawakuwa na sauti, sasa ni nani aliyewaambia kwamba mwanamke kuwa chini ya mwanaume ni kitu ambacho wanawake wenyewe wanakifurahia je wanawake wenyewe ndio walisema hivyo, au ni wanaume ndio waliowabrainwash wanawake kuamini kwamba wao siku zote wanatakiwa kuwa chini ya wanaume na wala hawatakiwi kuhoji sababu ni nature
Akili yako ilivyo matope unaingiza swala la ukoloni kwenye personal na psychological matters. Yaani swala la kibinadamu kwenye mambo ya asili. Mfano gani umeweka hapo🤣 mpk nimecheka.
Ulivyo mpumbavu umeshindwa hata kuona corelation baina ya hayo masuala mawili, kama ambavyo wanaume mnadai kuwa utawala wa mwanaume uko kidini ndivyo hivyo na wazungu pia wanadai utawala wa mtu mweupe uko kidini (probably haujui hili), kwahiyo ilibidi na sisi watu weusi tuendelee kukubali kutawaliwa hadi mwisho wa dahari hatukutakiwa kudai uhuru kwa sababu kwa mujibu wa watu weupe sisi tukiachwa tujitawale wenyewe tutaishia kuharibu tu
 
Toa andiko kwamba utawala wa wazungu kwa waafrica upo kidini, au reference yoyote nyingine, kisha namimi nikuonyeshe maandiko kuwa mwanaume ni kichwa cha familia na ni mtawala pia.
 
Yaani hata hilo linahitaji diploma? Ustrong wako upo kwenye nini hebu tuambie, hata physically unashindwa kuona?
Na kwanini uhusishe masuala ya strength kwenye mambo ya kimaumbile ambayo unajua kabisa mwenzako hana maumbile kama yako, wanaume wako strong kwa sababu ndio wameumbwa hivyo na miili yenye misuli kuzidi wanawake ila hicho siyo kigezo cha kuwa mtawala kwa sababu huwezi kujipa utawala kwa sifa ambayo mwenzako hana, yani ni sawa na wanawake wangesema kwamba wao wanataka kuwa watawala kwa sababu wao ndio wenye jukumu la kuleta uhai duniani lazima wanaume mngepinga hilo kwa sababu hilo ni jukumu la kimaumbile ninyi hamna uwezo wa kuleta viumbe duniani kwahiyo hicho siyo kigezo cha wanawake kuwa watawala
Toa andiko kwamba utawala wa wazungu kwa waafrica upo kidini, au reference yoyote nyingine, kisha namimi nikuonyeshe maandiko kuwa mwanaume ni kichwa cha familia na ni mtawala pia.
Kasome kisa cha Nuhu na watoto wake Shem, Ham na Jafet kwenye biblia halafu urudi hapa tuendelee kujadili
Tunajifunza kwenye vitabu vya dini au hujaona?
Vitabu vya dini viliandikwa na kina nani
Mf

Mfano ushoga haujajifia, je tuseme nao una maana? Unajua mtu anaweza akatoa hoja mpaka ukasema huyu anafikiria kwa kutumia kiungo gani?
Yani kwa akili yako unafananisha ushoga na feminism kwa sababu tu zote ni agenda zinazopigiwa kampeni, wewe unaona muitikio wa ushoga ni sawa na muitikio wa feminism kwani mashoga ni wangapi kulinganisha na feminists, mbona hauja fananisha na kampeni za watu weusi kupinga ukoloni na kudai uhuru toka kwa watu weupe je hilo nalo unaweza ukali fananisha na ushoga kisa tu zote ni agenda
 
Hapo unaongea usichojua, kwanza uhai unachangiwa na mbegu mbili zinaungana, ya kike na ya kiume, hakuna bingwa wa kujisifu hapo, pia nionyeshe wapi hao wakina nuhu walikuwa waafrica sijui ndo wazungu? Mimi hicho kitabu nimekisoma, nionyeshe ni wapi?
 
Huna akili wewe, umeshikiria dhana za kidini na mifumo dude ambayo mimi spo huko toka mwanzo nilikuambia lkn bado hunielewi, wewe ndo nyumbu kwasababu hujui chimbuko lako kama mwanadamu unaishi tu duniani kufuata mawazo ya wengine hasa hao mafeminist! Skia yote uliyoandika hapo juu kuni define sipo huko hata kidogo. Wewe upoupo tu kufuata watu wanasemaje bila kujitathmini na kujua kama ni kweli au laa? Ndo maana niakakwambia you are psychologically damaged.

Nani kaongelea dini? Mimi sio kama wanaume wengine tena huwa na support usawa lkn nyumbu kama wewe usiyebebeka ndo unamatatizo. Wewe umeng'ang'ania negativity na nilikuambia toka mwanzo iuache ndo maana bado unaendelea kulaumu sjui wanawake walilazimishwa nad so forth, futa fikra hizo kichwani utachanganyikiwa bure, mwanamke naturally hawezi kuwa kiongozi acha kubisha hili, wanawake wote duniani lazma wasubmit kwa waume zao, na hii haimaanishi materialistic au economically ni swala la kibaiolojia, usijifanye kichaa labda kama akili hazipo sawa. Hata raisi mwanamke anamtreat mumewe kama kiongozi akiwa nyumbani. Vitabu vyote vya dini na psychology duniani vinasema hivyo, hata kwa wanyama pia ina apply.

Ulivyo kichaa unapinga hili! Achana na mifumo ya kibinadamu ambayo hubadilika over time. Mimi sijabase huko ndo maana nilishangaa ulivyoleta mambo ya ukoloni. Wewe bado hujajitambua nenda shule na sio darasani, soma vitabu, ishi maisha halisi update experience na ujue ukweli wa mambo sio kuwa unabisha bisha tu bila kuwa na akili za utambuzi wa facts unazoziongelea.
 
You are mentally ill 🤒, yaani huwa unasoma hoja ili kubisha na sio kuielewa. Hivi nikikuuliza saiz wanyama na viumbe visivyo na ujuzi wa hizi ideologies na dini vinaishije? Utasema ndo vimeumbwa hivyo sio? Sasa na mimi nilikuambia toka mwanzo futa hayo mawazo na dhana zote uwe kama mnyama then ndo utajua how things truly are. Ila wewe na akili zako za kijinga na kukalilishwa unakaa unarudi kulekule kutetea na kupinga mawazo ambayo binadamu mwenzio kaanzisha.
 
Mf

Mfano ushoga haujajifia, je tuseme nao una maana? Unajua mtu anaweza akatoa hoja mpaka ukasema huyu anafikiria kwa kutumia kiungo gani?
Soma uelewe nilikua namuelewesha huyo Jadda Alisema mafeminist mi wengi ndo nikamwambia ninsawa na mashoga au vikundi vingine vinavyo amini mawazo ambayo yameletwa na binadamu. Vyote hivyo havina maana ila nature haijawahi kudanganya.
 
Unajua utii uko earned enh!
Af hata tu hauletwi na pesa.
Its Leadership, Wanaume wengi hawawezi kuongoza in the first place.

Mwanamke humtii Kiongozi!
Huna hela onesha zilipo hela
Huna hela linda hela ilipo
Huna hela simamia hela
Huna hela kuwa na passion na kuwa na hela
Huna hela itafute hela
INAITWA BALLS ,hii wengi wenu hamna.
mnabaki kufikiri wanawake hawawatii kwa kuwa hamna hela, HAPANA!
 
Soma uelewe nilikua namuelewesha huyo Jadda Alisema mafeminist mi wengi ndo nikamwambia ninsawa na mashoga au vikundi vingine vinavyo amini mawazo ambayo yameletwa na binadamu. Vyote hivyo havina maana ila nature haijawahi kudanganya.
Ni kweli japo kapinga, sijui ana matatizo gani
 
Ni kweli japo kapinga, sijui ana matatizo gani
Mwanzo nilihisi labda utani ila kama yupo serious na anapinga nature basi anashida kubwa sana huenda ni trauma zinamsumbua
 
Sasa ni vipengele vya msingi kwa mujibu wa nani na kwa kanuni zipi
Swali lako sio La Msingi Naweza kukuuliza pia Wewe Msimamo wako Kuwa Mwanamke Amtii Mwanaume pale tuu atakapokuwa anahudumiwa na huyo Mwanaume Jee Kanuni ipi umetumia na kwa Mujibu wa nani???
 
Hapo unaongea usichojua, kwanza uhai unachangiwa na mbegu mbili zinaungana, ya kike na ya kiume, hakuna bingwa wa kujisifu hapo, pia nionyeshe wapi hao wakina nuhu walikuwa waafrica sijui ndo wazungu? Mimi hicho kitabu nimekisoma, nionyeshe ni wapi?
Mimi sijasema kuchangia mbegu nimesema ile process ya kubeba mimba hadi kuzaa ambayo inafanywa na mwanamke kwa sababu za kimaumbile, vipi na wanawake nao wakiamua kusema kwamba wao ndio wanastahili kuwa watawala, kwa sababu wao ndio wana jukumu la kuleta uhai duniani je wanaume mtakubaliana na hilo na kama hamtakubali hilo je ni kwanini toa sababu..kuhusu watoto wa Nuhu historia inadai kwamba descendants wa Jafet ni wazungu, wa Ham ni watu weusi na wa Shem ni waarabu, so kama umesoma hicho kitabu vizuri utajua kilichomaanishwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hawajaona bado, ila wee.
 
Hakuna mahali wanawake wamesema wanataka wao ndio wawe watawala lengo la mfumo wa haki sawa ni kila mmoja ajitawale mwenyewe, kusiwe na wa kumtawala mwenzie ila wanaume ndio mnalazimisha na mnang'ang'ania muendelee kuwatawala wanawake hata kama hawataki, hadi sasa bado hujanijibu swali langu nimekuambia ni zipi faida za moja kwa moja anazopata mwanamke pale anapomtii mwanaume naona bado umekazana kukwepa hoja na kuniongelea mimi kana kwamba unanijua

Wewe umesema uko against mfumo dume halafu hapo hapo unatetea mwanaume kumtawala mwanamke hivi unaelewa hata unachokisimamia kweli kwahiyo wewe hujui mwanaume kumtawala mwanamke ndio mfumo dume wenyewe huo, au wewe unajua mfumo dume ni nini usinitolee mifano ya rais sijui nani kwani umeambiwa mwanamke akiwa rais ndio anawakilisha mitazamo na misimamo ya wanawake wote duniani, huyo rais naye si ni victim tu wa imani potofu za mfumo dume naye alishakuwa brain washed kwamba mwanamke lazima awe chini ya mwanaume lakini si kwamba anapenda kwa utashi wake

Ungekuwa una upeo mkubwa wa kufikiri ungeona uhusiano kati ya utawala wa mwanaume kwa mwanamke na utawala wa mtu mweupe kwa mtu mweusi, kwa sababu visingizio wanavyovitumia watu weupe kuwatawala watu weusi vinafanana kwa asilimia kubwa na visingizio wanavyovitumia wanaume kuwatawala wanawake, lakini kutwa mnawatukana wazungu na kuwaambia waache kuwatawala wawape uhuru mjitawale wenyewe yani ukoloni ukipingwa mnaona ni sahihi ila mfumo dume ukipingwa mnaona ni dhambi siyo
Hivi mnapotolea mifano ya wanyama huwa mnajua mnachokitetea kweli kwani ni lini wanyama walikaa na ninyi wakawaambia kwamba kwao madume hutawala majike kwa sababu hizi na hizi, si ni sisi binadamu ndio tulijiongeza kwamba madume hutawala majike kwa sababu fulani fulani kwahiyo hiyo dhana ya kwamba madume ndio hutawala majike inatokana na tafsiri yetu sisi binadamu ya neno kutawala na siyo instincts zao wanyama, by the way sijui hata kama unafahamu kwamba kuna species za wanyama ambazo majike ndio hutawala himaya (do your research) so vipi na wanawake wakiamua kuvutia upande wao kwa kutolea mifano wanyama wa aina hiyo
Soma uelewe nilikua namuelewesha huyo Jadda Alisema mafeminist mi wengi ndo nikamwambia ninsawa na mashoga au vikundi vingine vinavyo amini mawazo ambayo yameletwa na binadamu. Vyote hivyo havina maana ila nature haijawahi kudanganya.
Si ndio elezea msingi wa hiyo nature
 
Swali lako sio La Msingi Naweza kukuuliza pia Wewe Msimamo wako Kuwa Mwanamke Amtii Mwanaume pale tuu atakapokuwa anahudumiwa na huyo Mwanaume Jee Kanuni ipi umetumia na kwa Mujibu wa nani???
Hiyo kanuni inajulikana ni kanuni ya authority na responsibility with great authority comes great responsibility, huwezi kukitawala na huna mamlaka juu ya kiumbe usichokiwajibikia, hata muajiriwa au msaidizi humtii muajiri au kiongozi wake kwa sababu ya mshahara tu na si vinginevyo

Sasa ni katika mfumo dume tu ndio utakuta mwanaume analazimisha na anang'angania eti kumtawala mwanamke bila msingi wowote, halafu anatarajia huyo mwanamke (mwenye utashi kama yeye) naye akubali kirahisi tu bila kuhoji, ndio maana mimi nauliza ukitoa sababu za kiuchumi ni upi msingi wa mwanamke kumtii mwanaume

Okay kwa mfano watu wa dini wanatakiwa kuitii miungu yao kwa sababu wanaamini imewaumba na inawalinda, watoto wanatakiwa kuwatii wazazi wao kwa sababu wamewazaa na wanawahudumia, sasa je mwanamke anatakiwa kumtii mwanaume kwa sababu gani hasa tena ambayo mwanamke anafaidika nayo moja kwa moja
 
Umeandika vyema ila Hujasema hiyo kanuni Ni kwa Mujibu wa Nani??

Pili Jee Unamaanisha Mwanamke Akiwa Anamhudumia Mwanaume basi huyo Mwanaume anatakiwa amtii huyo Mwanamke??.

Tatu Jee Watoto watakapotoka katika Utegemezi wa wazazi wao basi kuanzia Hapo wasiwatii Wazazi wao tena??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…