Huna akili wewe, umeshikiria dhana za kidini na mifumo dude ambayo mimi spo huko toka mwanzo nilikuambia lkn bado hunielewi, wewe ndo nyumbu kwasababu hujui chimbuko lako kama mwanadamu unaishi tu duniani kufuata mawazo ya wengine hasa hao mafeminist! Skia yote uliyoandika hapo juu kuni define sipo huko hata kidogo. Wewe upoupo tu kufuata watu wanasemaje bila kujitathmini na kujua kama ni kweli au laa? Ndo maana niakakwambia you are psychologically damaged.
Nani kaongelea dini? Mimi sio kama wanaume wengine tena huwa na support usawa lkn nyumbu kama wewe usiyebebeka ndo unamatatizo. Wewe umeng'ang'ania negativity na nilikuambia toka mwanzo iuache ndo maana bado unaendelea kulaumu sjui wanawake walilazimishwa nad so forth, futa fikra hizo kichwani utachanganyikiwa bure, mwanamke naturally hawezi kuwa kiongozi acha kubisha hili, wanawake wote duniani lazma wasubmit kwa waume zao, na hii haimaanishi materialistic au economically ni swala la kibaiolojia, usijifanye kichaa labda kama akili hazipo sawa. Hata raisi mwanamke anamtreat mumewe kama kiongozi akiwa nyumbani. Vitabu vyote vya dini na psychology duniani vinasema hivyo, hata kwa wanyama pia ina apply.
Ulivyo kichaa unapinga hili! Achana na mifumo ya kibinadamu ambayo hubadilika over time. Mimi sijabase huko ndo maana nilishangaa ulivyoleta mambo ya ukoloni. Wewe bado hujajitambua nenda shule na sio darasani, soma vitabu, ishi maisha halisi update experience na ujue ukweli wa mambo sio kuwa unabisha bisha tu bila kuwa na akili za utambuzi wa facts unazoziongelea.