Utii wa wanawake wa kisasa

Utii sio utumwa dada.

Samahan kusema hivi lakini Unaonesha ni muhanga wa mahusiano uliyopita.

Ana victim mentality huyo.

mkuu mtaani Kuna wanawake wengi sana wanaotii kuliko anayozungumza huyo dada,
Ni kuchagua vizuri tu mwenza wa Maisha.
Exactly mkuu, hata mm nlimwambia aache victim mentality, mwanamke kaumbwa kutii na ku submit kwa mwanaume ndo nature ilivyo. Kingine utii sio utumwa wanawake wapo physically weak na sisi ndo protectors wao, ila ndo ivyo dunia imebadilishwa na mifumo ambayo wanawake wengi bila kuhoji na kuangalia undani wanafuata tu sjui feminism sjui nini... hiyo yote inawafanya waishie kuteseka tu. Kikubwa kama ulivyosema kupata mwenza mnaye endana.
 
Huyu atakuwa ni makuzi yamemuathiri watu watapiga mashine hapo ila hawataoa.
ni kabishi sana, hataki ashindwe mwanzo nilimuambia kama anaishi hivyo kupata mwanaume wa kumwelewa itakuwa shida, japo ana point ila ime base kwenye negativity mwanamke kaumbwa ku submit kwa mwanaume, ila wanawake wa sikuhizi wanaichukulia ni udhaifu
 
Hapa umeongea kujifurahisha, kwa nguvu gani mnazomiliki?? Mmekuwa wahanga wa kutafuta njia na mbinu za kuwalizisha wanawake. Nyie wanaume wa kisasa mnapitia magumu mpk mmeamua na nyie kutafuta wa kuwalea. Wengine wameamua kuwa km sisi, tatizo vipira vinawasuta.!!

Mke mmoja anakushinda kumuhudumia ndio mtaweza wawili?? Wewe endelea kujidanganya, zama zimebadilika
 
Kila mmoja mwanamke na mwanaume anaingia kwenye maisha ya mwenzake. Ndiomana wote mnaacha familia zenu mnaungana kuanzisha familia yenu. Hiyo yako ya kusema naingia kwenye maisha ya mwanaume ni UJINGA.

Halafu wanaume wengi hampendi mwanamke independent sababu mna UKIRITIMBA na UKOLONI. Unataka mwanamke tegemezi ili umpelekeshe, zama hizi FUTA tena futa na mfutio mkubwa. Usipojipanga na kuwajibika kwenye nafasi yako basi elewa UTAPANGWA na utakuwa mwanaume lia lia kila siku.!!

Na hilo suala la eti mwanaume atanichezea na kunipotezea muda?!! Yani huyo KIDUME wa kunipotezea muda anatoka wapi?? Mwanaume MPUMBAVU anajulikana mapema na namuignore mapema kabla hajaanza kuruka ruka km bata.!! Kwahiyo kaa kwa password zama zimebadilika.
 
Lazima utakuwa mkurya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa hapo tatizo ni lako, nikuulize swali? Huyo mkeo una uhakika moto unampelekea kisawasawa?? 🀣🀣

Hebu anza kumshughulikia uone km atachelewesha chakula, unajua hayo mambo mengine huwa mnapuuza sana.!! Mwanamke anayekatwa KIU yake kisawasawa lazima awe na NURU na UCHANGAMFU.!! Show ikiwa ya viwango vya FIFA lazima mke ashinde anafikiria utraamu na hii itampelekea kuandaa kila kitu mapema ili awahi kufahidi raha za ndoa.!

Halafu siku nyingine uwe unamtoa out hata ufukweni, unampiga miti huko huko.!! Unabinjua bikini unakula mambo..! Mnarudi nyumbani mko wepesi. Show za nyumbani zinachosha. Sasa wewe endekeza kutoka na marafiki wakati rafiki yako wa kweli mnaogusanisha vitovu umemuacha km mlinda nyumba wako.!! Lazima asipike kwa wakati hiyo raha anaitoa wapi??

Hii sifundishi tena. FANYIA KAZI.
PIGA MITI KIJANA HUYO MKEO HAJAJA KWAKO KUCHEZA NA MASUFURIA, KAJA KUTUKUNYIKA NA KUKUJAZIA UKOO πŸ˜œπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Niffer kaoa hajaolewa, na kwa taarifa yako yuko na mchungaji anahudumia.!! Zile mbwembwe zote anayesimamia show Pastor na bado ana mibuzi yake mingine pembeni. Yule jamaa mchovu mlamba lips ndio sample yako wewe.!! Limekaa km zube, siku niffer akichafukwa anakuja jf kulaumu wanawake km ulivyo.!!

Halafu zemanda hunijui acha kusema km unanijua sana.!! Sina pesa nyingi, ila za kukuweka wewe ndani na kukulisha na kukukatia bima ya afya yako mpk unakufa hizo ninazo na wala sijisifii.!! Ila sio sababu ya kulilia ndoa kwa mwanaume mjinga na mwenye mentality ya kizee na kikoloni km yako.!!
Wewe unataka kumiliki mke wakati sio muwajibikaji, hiyo utawapata wanawake wabovu na wasiojielewa.!!

Hiyo miaka unayonipa nakupa kiti πŸͺ‘urelaxxxx utasubiri saaanah!! Mimi mwanaume namchukulia km hitaji la mwisho, hata hiyo ndoa vivo hivyo. Ni vitu ambavyo najua muda wowote vipo na hata nisipovipata haviniumizi kichwa. Kwahiyo utajichosha kusubiria eti tulilie ndoa uchwara zilizojaa wanaume wavivu, wakoloni, na wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…