Utii wa wanawake wa kisasa

Hii vita yenu naifatilia kwa karibu kabisa, nyie mkioana hiyo ndoa itadumu sana, nina jicho la maono.
 
Sasa mbona ndicho nilichoandika tangu mwanzo ila wewe ukasema nazunguka, kumbe shida ni uelewa wako tu halafu unasingizia watu wanatoka nje ya mada, uwe unasoma kwa umakini siyo unasoma haraka haraka mradi tu uje ubishe
Happy 👏 👏
 
Ukipata mke mwenye jeuli hakutii kama huna watoto mpige chini fasta
Kama mna watoto basi ishi naye kwa akili , pretend kumpenda, piga miti afike kileleni , fanya issue zako , plan issue za maendeleo Kuwa makini kwenye umiliki mali make sure hati miliki ni jina lako siku moja moja tafuta kitu cha nje piga mti akili ikae sawa ... usishindane naye hayo ndo makuzi yake utapoteza muda wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…