Utii wa wanawake wa kisasa

Utii wa wanawake wa kisasa

Muktadha wa hoja yako umejikita kwenye UTII Vs HUDUMA.

Kipi kinatakiwa kuanza kati ya hivyo viwili?

-Kaveli-
Atakwambia huduma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye akili yake ni kuwa maisha ni tit for tat.
 
Mnaoishi kwa validation mnajiendea kama nyumbu. Sijaja JF kuuza icecream kwamba kila mtu afurahie uwepo wangu au mawazo yangu. Sijaja kutafuta kupendwa hapa ndo maana unaniona sina unafki. Ukijichanganya I will literally put you in your place. Kutunisha kifua kisa ni wanaume kafanyieni wake zenu.

Kila mtu ana mtazamo wake wa maisha na sio lazima nielewe unaousema wewe kwasababu hujui nilikotokea wala wanayopitia nnaowaona mimi.
So hata mngekuja mia nasimama na msemo wangu kwamba wewe na hao wenzako ni misogynists! Kwani kuna wanaume wangapi jf kwanini hawajagi na kiherehere ila ni wewe na wachache wenzio mliolelewa na wazazi wa ndio ndio hadi baba zenu wanaleta vitoto vya nje kibaooo na magonjwa kwahiyo mnataka heshima ya uoga ambayo mama zenu walionesha kwa baba zenu wasiowaheshimu ndo kila mtu awe nayo! Sahauuu.

Men who deserve respect are rare aisee. Wanajitambua na wanathamini wanawake hawakai kuwafungulia thread kila siku. [emoji706]
Then maybe one day utatu surprise na mojawapo ya hao rare men. Ila i very much doubt kuwa utatoboa eneo la ndoa.
 
Sasa. Anatokea punda anakomaa kabisa anasema haijalishi. Mwanaume lazima aheshimiwe!!! No thank you:
Kuheshimu mwanaume ni jambo independent na topic inayojitoshea, while domestic abuse ni issue nyingine kabisa.
 
Sasa kumbe umeliona tatizo. Nyinyi huwa mnatukana wanawake generally as if huwa hakuna wema. As if wanawake wote wana tabia mbaya ndo maana tunapopoana na tutaendelea kupopoana hadi hizi mada za kutukana na kudhalilisha wanawake ZIFE! zimekua too much na hamtaki wanawake wajitetee na akitokea mmoja akatolea mifano yenu mnamwita feminist. acha na wanawake tuelezee upande mbaya tunaouona kuhusu wanaume kwanini mnataka nyinyi tu ndo muongelee mabaya ya wanawake as if jamii imechafuliwa na wanawake pekee.
Haisaidii kwa upande wako sababu wanaodhurika mwisho wa siku ni wanawake. Tazama maisha ya kitaa kwasasa ni akina nani wanateseka na maisha magumu ya kitaa?
 
Sasa alichoandika hapo kina shida gani, hiyo asili ya mwanamke kumtii mwanaume inaendana na asili ya mwanaume kumhudumia mwanamke na mimi wala sipingi hilo, mimi napingana na wanaotaka mwanaume na mwanamke wasaidiane majukumu halafu bado wanataka utii
Kutii mwanaume kuna husiana nini na mwanamke kumsaidia mumewe majukumu ya kifedha?

Kama umeelewa au kusoma vema nimeandika kule juu kuwa utii mnaokwepa kufanya huku chini huwa mkishaanza zeeka umri ukienda mnarudi tena kuanza kubehave when its too late.

Utaokoteza vibwana mdogo rika la wadogo zako halafu unaanza kuigizia mke mwema na kumtii kubabake mtu ambaye kwanza ni mdogo kwako lakini pia wewe ndie una gharamika kuishi nae ukimlea of which inakuwa ni 200% hard work ukilinganisha na kumtii na kuwa submissive kwa mwanaume wa usichana wako tena ambaye amekuzidi umri na kipato.
 
Haha hapana bhana nina akili za kawaida tu za kuvukia barabara
Na ni kweli za kuvukia barabara haupo wrong, kimsingi jamaa anatafuta utelezi. The compliment is just some form of bait.
 
Pesa huna halafu unataka mwanamke akutii!!? Mimi nitamtii mwanaume mwenye PESA tu na anayefanya majukumu yake km mume..!!
Kutii mume hakujawahi kuwa na mahusiano na uwezo wake wa kifedha. If that's the case, je bibi zetu ambao waliishi miaka kabla ya ukoloni na muingiliano wa maisha ya kimagharibi na sisi waliwezaje kuishi na mume tena zaidi ya mke m'moja? [emoji848]

Mwanamke anayetii mume kwaajiri ya pesa hana tofauti na prostitute.
 
Mkuu sidhani kama hilo ni suala la kipi kinatakiwa kuanza, mkishaingia tu ndoani kila mmoja anatakiwa aanze kutekeleza majukumu yake papo hapo, wala si suala la kusubiri fulani aanze au kushindana
Wewe mwanamke unaingiaje katika ndoa na mwanaume ambaye hajakuonyesha kuwa ni provider?

Na je unategemea mwanaume atakuwa provider mzuri kwa mwanamke kiburi? [emoji848]
 
Wewe unachanganya utii ule tunaouonyesha kwa wazazi, unataka kuuleta kwa mpenzi/mume.
Wazazi tunawaheshimu sababu wanatuhudumia bila manung’uniko, ila nyie wanaume huduma sifuri, mmejaa viburi na mitabia ya hovyo.!!
Sasa mtu km huyo nimtii wa kazi gani??
Swali linakuja kwako, je ni mwanaume gani ambaye atajitoa kwako mwanamke ambaye discipline upo shallow? [emoji848]
 
Hapa ndipo wanapotuonaga sisi wabaya, yani mtu hatimizi majukumu yake anataka msaidiane 50/50 halafu hapo hapo anataka heshima, ndio kina Natafuta Ajira hao eti asili sijui ni asili gani hiyo inayochagua upande
So utii na heshima ya mwanamke ina nunuliwa is that your opinion? [emoji848]
 
Jadda still amegoma kuonesha utii hata katika huu uzi wakuu[emoji848]
Huyu ndio huu uzi unamhusu kabisa sababu ana display exactly what i have described. One day ata display obedience kwa mwanaume less than the expecting type.
 
Wala sijachanganya chochote. Nimeongelea utiifu kama tabia ambayo ipo ndani ya mtu kiasili kama tabia zingine mfano wizi, unyanyasaji, ulevi n.k.. yaani ni tabia ambazo mtu anajikuta anazi-practice tu automatically. Kama wewe sio mnyanyasaji mtu akikunyanyasa utaachana nae tu ila ukilipiza kumnyanyasa wote mnakua wanyanyasaji hauwezi kusema nimemnyanyasa kwa sababu na yeye alininyanyasa. Hauwezi kutumia kosa kuhalalisha kosa.
Ukishaweka kigezo cha pesa ili nawe uwe mtiifu hapa uta-practice utiifu kwa kuigiza tu mirija ya pesa ikikata automatically na utiifu utakata.
Kabisa
 
Mkuu wewe unadhani msingi wa mwanaume kumtawala mwanamke uko kwenye nini
Msingi upo kwenye functionality ya jamii iende. Mwanaume hajapewa mamlaka na MUNGU juu ya mwanamke kumtawala ili ampe huduma tu, amepewa mamlaka ili kuweza kumuongoza katika safari ya Maisha.

Ukitaka kujua kwasababu gani mwanaume anakuwa juu ya mwanamke tazama familia za kisasa za masingle mothers utaona kinachokosekana kwenye malezi. Hiyo ndio sababu kwann mwanaume ana mamlaka.
 
Mkuu naomba nionyeshe wapi nilishakubaliana na wanaume ambao hawatimizi majukumu yao kama mume. Kwa kifupi ni kwamba sikubaliani na 50/50, sikubaliani na unyanyasaji wa wanawake, sikubaliani na wanaume wote ambao hawatimizi majukumu yao kama mume(naomba nieleweke hapa nimesema mume sio boyfriend), sikubaliani na wanaume wanaozalisha wanawake na kuwaacha single mother(labda kama uyo mwanamke mwemyewe alikua ndie chanzo cha yeye kuachwa)
Atageuza geuza mjadala hapa hautaamini.
 
Acheni hizi porojo elezea hiyo faida anayopata mwanamke directly
Utii ndio code ya lugha ya mahusiano kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume. Bila hivyo hakuna mahusiano serious hapo.
 
Umeongea kinyume chake kwa character ya jada kama ni kweli yupo ivyo maisha yake ya kila siku basi ni mwanume fulani fala fala ndio ataweza kuishi nae
Ambayo itakuwa ni pointless kuishi na mwanaume ambaye haplay nafasi yake kiuhalali.
 
Back
Top Bottom