UTIs (Urinary Tract Infections) - Tahadhari kwa wanawake

nawasha kwenye mashavu ya uke na sehemu za juu juu kwenye uke...muwasho sio wa kila mara ila inapotokea kujikuna nahis raha japokua badae nahic maumivu yaan kama michumbuko...mkojo nao nia wa njano sana!
je kunauwezekano nikawa na maambukiz ya UTI?? NA Tiba yake ni nin!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…