Utitiri wa Mamlaka za Udhibiti (Regulatory authorities)

Utitiri wa Mamlaka za Udhibiti (Regulatory authorities)

Wenzetu wanawaza kuendeleza ubunifu (innovation) kila sekta. Hapa Tanganyika tunawaza kudhibiti na kubunya kila uchwao, zifuatazo Ni mamlaka za Udhibiti;
1. EWURA,
2. LATRA,
3. TCRA,
4. TCU,
5. NACTVET,
6. NEMC,
7. OSHA,
8. TBS,
9. TMDA,
10. TARURA/TANROADS,
11. TIRA/NIC,
12. Bodi ya Korosho,
13. Bodi ya Mazao Mchanganyiko,
14. BASATA,
15. Bodi ya Filamu,
16. Tume ya Madini,
17. Baraza la Wafamasia.

NB: bado tunawaza kufikia Middle -income country by 2025? Tume ya Mipango wanafanya nn ofisin?
Weka na WMA
 
CAMARTEC eti wanadhibiti vifaa vya kilimo ukileta toka nje wanachaji sio chini ya laki tano wakati hata kukagua hawakagui sijui pesa wanapeleka wapi ? na baado wanamuongezea gharama mletaji !
Tanzania Private Health Laboratory Agency lazima wakague vifaa vyako vya maabara na wakutoze pesa !
TBS nao hata kama vitu haviwahusu mfano mashine kilimo kama Tractor wanalazimisha waku charge tena pesa nyingi tu ! hivo kumuongezezea gharama mletaji !!!
Kila mtu apate
 
Kitoboa bongo kihalali ni ngumu sana,vikwazo bi vingi sana,kuna kipindi nilifungua bucha ya nyama nilikimbia mwenyewe TRA wanataka chao,Bodi ya nyama wanataka chao,halmashauri inaataka chake,bado ma bwana na bibi afya kila siku wapo mlangoni ni mwendo wa kugawana faida tu.
 
Wenzetu wanawaza kuendeleza ubunifu (innovation) kila sekta. Hapa Tanganyika tunawaza kudhibiti na kubunya kila uchwao, zifuatazo Ni mamlaka za Udhibiti;
1. EWURA,
2. LATRA,
3. TCRA,
4. TCU,
5. NACTVET,
6. NEMC,
7. OSHA,
8. TBS,
9. TMDA,
10. TARURA/TANROADS,
11. TIRA/NIC,
12. Bodi ya Korosho,
13. Bodi ya Mazao Mchanganyiko,
14. BASATA,
15. Bodi ya Filamu,
16. Tume ya Madini,
17. Baraza la Wafamasia.
18. WMA,
NB: bado tunawaza kufikia Middle -income country by 2025? Tume ya Mipango wanafanya nn ofisin?
Haitoshi bado, waongeze zingine. Wapumbavu kama wewe bila kudhibitiwa nchi haiendi
 
Back
Top Bottom