Utitiri wa viwanda vya bati Tanzania na paa za nyumba zenye bati mijini kuwa na kutu ni Udhaifu mkubwa uliopo TBS

Umesema sahihi kabisa, TBS wako mifukoni mwa watu fulani
 
Kabisa
Inazidi kwa mbali...pia hakuna bati la elfu kumi hata used.
Hiyo elfu kumi si bei ya bati, ni gharama ya kupaka rangi paa lote lililopata kutu, yaani ununue bati shs.400,000/= upake rangi shs.600,000/=! Hii ni biashara kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…