Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru mwenye analalamika eti kwanini wanaCCM wengi wanachukua form hapo Zanzibar 🤣🤣🤣Umeanza lini uganga wa jadi huu
Hili la mtu mmoja kuchukua fomu halikushangazi mkuu, ukashangae la zanzibar.....basi wewe ni ajabu kuliko ajabu lenyewe..
Kikokotoo cha CCM ni 5 - 3 - 1Kwani katiba ya CCM inaruhusu mwisho wangapi?
Kwani tatizo ni nini?
Wanatumia haki zao za kikatiba.
Mnataka kuwanyima haki zao za kikatiba?