MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Na All - Rounder nawaombeni enyi Watoa Majina Siku zingine kabla ya kutoa Majina ya Watendaji wenu au Wanasiasa muwe mnatuambia Kwanza Watanzania ni nini au kipi cha maana na chenye Tija kwa nchi na Jamii hao (hawa) Wahusika wamekifanya na Kinaonekana.
Nami naomba Mradi wa Umeme Rufiji au ule wa Treni ya Mwendokasi Dar to Dodoma au Bomba la Mafuta la Hoima to Tanga kwa Heshima ya Michango yangu na Mawazo yangu mema hapa JF na Mitaani basi mmoja wapo uitwe kwa Jina langu la All - Rounder. Mtakuwa mmenitendea haki na wala mtakuwa hamjakosea.
Na vyema pia hawa mnaokurupuka kuwapa Heshima ya Majina yao katika Miundombinu yenu hii muwe mnawauliza Kwanza kama watapenda muwape hizo Heshima kwani kuna wengine kwa ninavyowajua japo sasa wapo Makaburini wasingekubali kutokana na Unafiki wetu tunaowapa na tuliopo hai duniani.
Nami naomba Mradi wa Umeme Rufiji au ule wa Treni ya Mwendokasi Dar to Dodoma au Bomba la Mafuta la Hoima to Tanga kwa Heshima ya Michango yangu na Mawazo yangu mema hapa JF na Mitaani basi mmoja wapo uitwe kwa Jina langu la All - Rounder. Mtakuwa mmenitendea haki na wala mtakuwa hamjakosea.
Na vyema pia hawa mnaokurupuka kuwapa Heshima ya Majina yao katika Miundombinu yenu hii muwe mnawauliza Kwanza kama watapenda muwape hizo Heshima kwani kuna wengine kwa ninavyowajua japo sasa wapo Makaburini wasingekubali kutokana na Unafiki wetu tunaowapa na tuliopo hai duniani.