Utoaji Majina ya Viongozi katika Miundombinu ya nchi kusiwe ni kwa Mihemko, Unafiki, Ushkaji na Kukurupuka

Utoaji Majina ya Viongozi katika Miundombinu ya nchi kusiwe ni kwa Mihemko, Unafiki, Ushkaji na Kukurupuka

Unazidi kudhihirisha ujinga wako, jaribu kuuficha huenda utakufaa huko mbeleni.

Jadili hoja sio majina ya mtoa hoja, kama una akili timamu enewei!
Unazid kuudhihirisha upumbavu wako. Jaribu kuuficha huenda ukakufaa huko mbeleni.

Jibu swali uliloulizwa kwani unaona aibu ya nini kujitambulisha?
 
Imekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.

Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Nawahurumia ambao mpaka leo mnamchukulia Magu serious.

Alishawahi kuropoka, shule ya msingi fulani hapa Dar iitwe Ally Hapi.

Kumchukulia serious huyo psychiatric case, kujiumiza mnoo nafsi.

Soon huko Kisarawe utasikia kuna shule inaitwa Jokate Mwegelo.

Yule tulipigwa, Mkapa alichofanya Mungu ananwona!!!
 
Na All - Rounder nawaombeni enyi Watoa Majina Siku zingine kabla ya kutoa Majina ya Watendaji wenu au Wanasiasa muwe mnatuambia Kwanza Watanzania ni nini au kipi cha maana na chenye Tija kwa nchi na Jamii hao (hawa) Wahusika wamekifanya na Kinaonekana.

Nami naomba Mradi wa Umeme Rufiji au ule wa Treni ya Mwendokasi Dar to Dodoma au Bomba la Mafuta la Hoima to Tanga kwa Heshima ya Michango yangu na Mawazo yangu mema hapa JF na Mitaani basi mmoja wapo uitwe kwa Jina langu la All - Rounder. Mtakuwa mmenitendea haki na wala mtakuwa hamjakosea.

Na vyema pia hawa mnaokurupuka kuwapa Heshima ya Majina yao katika Miundombinu yenu hii muwe mnawauliza Kwanza kama watapenda muwape hizo Heshima kwani kuna wengine kwa ninavyowajua japo sasa wapo Makaburini wasingekubali kutokana na Unafiki wetu tunaowapa na tuliopo hai duniani.
Tulia hapo hapo wewe Mtanzania Mnyonge! Kwa taarifa yako tuna mkakati kabambe wa kuiita miradi yote na vituo vyote vya serikali kuanzia vile vya polisi, afya, ushuru, ukaguzi, nk. majina ya watu wetu maarufu!

Usishangae kusikia kituo kimojawapo cha polishi mfano kile cha shentrol kiitwa Mamboshasha Polishi Shtesheni!!😇

Lazima tuwaenzi Mashujaa wetu bhana!! Na wewe ukitaka kuwa shujaa!!!
 
Mbona unateseka?
Majina yamekwisha kutolewa,Basii ! ILA USHAURI WANGU NI HUU:
Majina yaliyotolewa yaandikwe "majina matatu ya mhusika kwa kirefu".Nimepita daraja la ubungo Jana jioni,Pameandikwa Jina moja TU "KIJAZI'..Sasa Hawa "vijazi wapo Wengi Tanzania,hasa huko Tanga.Baada ya 5 yrs to come,Kizazi kijacho hakitajua Ni KIJAZI' yupi hasa Anaye-Enziwa.PIA KWA DARAJA LA TAZARA,NI MFUGALE YUPI anaye-enziwa.
 
Imekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.

Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Kuna Watu walijitoa mhanga kulianzisha Taifa hili na Bila wao Leo hii kusingekuwa hapa Tulipo
 
Imekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.

Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Utaratibu upo Ila ndio hivyo tena nchi inaendeshwa kidicteta hii haufuatwi
 
Kijazi=Tanroads
Mfugale=Tanroads
Magufuli=Wizara ya ujenzi (enzi za JK)

Najaribu ku connect dots, wote walikuwa wizara moja enzi za JK.
Hao ni maswahiba kwa hiyo lazima wapeane kadri inavyowezekana [emoji2]
 
Back
Top Bottom