Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazid kuudhihirisha upumbavu wako. Jaribu kuuficha huenda ukakufaa huko mbeleni.Unazidi kudhihirisha ujinga wako, jaribu kuuficha huenda utakufaa huko mbeleni.
Jadili hoja sio majina ya mtoa hoja, kama una akili timamu enewei!
Ndege wafananao huruka kundi mojaKijazi=Tanroads
Mfugale=Tanroads
Magufuli=Wizara ya ujenzi (enzi za JK)
Najaribu ku connect dots, wote walikuwa wizara moja enzi za JK.
Hii kwakweli ni la kirafiki zaidi kwenye mambo ya nchiKijazi Interchange.
Nawahurumia ambao mpaka leo mnamchukulia Magu serious.Imekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.
Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Kijazi=Tanroads
Mfugale=Tanroads
Magufuli=Wizara ya ujenzi (enzi za JK)
Najaribu ku connect dots, wote walikuwa wizara moja enzi za JK.
Tulia hapo hapo wewe Mtanzania Mnyonge! Kwa taarifa yako tuna mkakati kabambe wa kuiita miradi yote na vituo vyote vya serikali kuanzia vile vya polisi, afya, ushuru, ukaguzi, nk. majina ya watu wetu maarufu!Na All - Rounder nawaombeni enyi Watoa Majina Siku zingine kabla ya kutoa Majina ya Watendaji wenu au Wanasiasa muwe mnatuambia Kwanza Watanzania ni nini au kipi cha maana na chenye Tija kwa nchi na Jamii hao (hawa) Wahusika wamekifanya na Kinaonekana.
Nami naomba Mradi wa Umeme Rufiji au ule wa Treni ya Mwendokasi Dar to Dodoma au Bomba la Mafuta la Hoima to Tanga kwa Heshima ya Michango yangu na Mawazo yangu mema hapa JF na Mitaani basi mmoja wapo uitwe kwa Jina langu la All - Rounder. Mtakuwa mmenitendea haki na wala mtakuwa hamjakosea.
Na vyema pia hawa mnaokurupuka kuwapa Heshima ya Majina yao katika Miundombinu yenu hii muwe mnawauliza Kwanza kama watapenda muwape hizo Heshima kwani kuna wengine kwa ninavyowajua japo sasa wapo Makaburini wasingekubali kutokana na Unafiki wetu tunaowapa na tuliopo hai duniani.
Walipiga hela pamoja za wizi mapacha wa tatu hao
Majina yamekwisha kutolewa,Basii ! ILA USHAURI WANGU NI HUU:Mbona unateseka?
Dah. We mtu
Kuna Watu walijitoa mhanga kulianzisha Taifa hili na Bila wao Leo hii kusingekuwa hapa TulipoImekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.
Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Utaratibu upo Ila ndio hivyo tena nchi inaendeshwa kidicteta hii haufuatwiImekuwa kama fashion hivi sasa kubatiza miundombinu ya umma majina ya viongozi, hii si sawa kabisa. Lazima kuwe na utaratibu maalum wa kutoa majina katika miundombinu ya umma.
Siyo mtu anaamka na kutamka kwa kadri anavyojisikia. Na bahati mbaya majina yanatolewa kwa hawa viongozi wa sasa ambao hakuna tathmini ya kutosha imefanyika kuhusu mchango wao kwa Taifa.
Hao ni maswahiba kwa hiyo lazima wapeane kadri inavyowezekana [emoji2]Kijazi=Tanroads
Mfugale=Tanroads
Magufuli=Wizara ya ujenzi (enzi za JK)
Najaribu ku connect dots, wote walikuwa wizara moja enzi za JK.