Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Duuh basi mm nilihisi kuna kitu nimekukosea ndio maana nikasema hivo.
Kupenda sifa ni asili yetu wanadamu.. Japo hua tunajionyesha hatupendi. But no one is immune to flattery
Ujanikosea na hujawahi kunikosea, tupo humu kufurahi Da'vinci!
Cheers🥂
 
Mkuu nimesoma thread yako hii but ningetamani sana uiwlezee bila kuhusisha computer ubezi zaidi kwenye psychology,maana muundo wa computer umeiga muundo wa mwanadamu kwa mfumo wa (IPOS) input, process, output,storage ndio maana Bado wanasayansi wanaumiza vichwa kwa robotics kama vile engineer Hanson robotics alivyounda Akina Sofia na little Sofia Ili waweze kuwaza na kung'amua kama binadamu ila Bado,so niombe ureflect zaidi kwenye saikolojia ya akili na ubongo wa mwanadamu
 
Mkuu ulishawahi kusoma mada yangu ya Artificial intelligence??
 
Nipe dawa sasa
Mimi mwenyewe ni mkimya sijui kuongea, hadi mtu nimzoee sanaaaaa
Ila nikiingia humu naenjoy
Sio dhambi kua mkimya hivyo ulivyo ni sawa

Jitahidi kufanya vitu unavyovipenda ili uwe mtu unayefurahi muda mwingi
 
Mimi mwenyewe ni mkimya sijui kuongea, hadi mtu nimzoee sanaaaaa
Ila nikiingia humu naenjoy
Sio dhambi kua mkimya hivyo ulivyo ni sawa

Jitahidi kufanya vitu unavyovipenda ili uwe mtu unayefurahi muda mwingi
Napenda kuandika, napenda kuangalia muvis. Muda wa kufanya hivyo vitu sina, ndio nabaki sasa kwenye total loneliness. Msaada wako
 
Napenda kuandika, napenda kuangalia muvis. Muda wa kufanya hivyo vitu sina, ndio nabaki sasa kwenye total loneliness. Msaada wako
Muvis❌
Movies✅
Ukitoka kazini ukiwa peke yako huwa unafanya vitu gani?
 
La hasha mkuu!
Soma kwanza huu uzi hafu tutarudi kwenye comment yako
 
Sawa Wacha nipite apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…