Utofauti kati ya mashabiki wa Simba na Yanga

Utofauti kati ya mashabiki wa Simba na Yanga

Mashabiki wa hizi timu kubwa mbili hapa Tanzania wanatofautiana katika maeneo haya;

1.Timu inapofanya vibaya iwe wachezaji hawajitumi au kocha anazingua, Mashabiki wa Simba huwa wakali hata kuwarushia chupa wachezaji wao, mashabiki wa Yanga huwa wanatafuta hata kitu kdg kizuri wanakikuza na kujifariji na hicho.

2.Mashabiki wa Simba wameshaona kama vile timu yao haishiriki ligi kuu ya NBC wanaumia zaid wakifungwa klabu bingwa kuliko kufungwa hata na Ihefu, tofauti na mashabiki wa Yanga.

3.Mashabiki wa Yanga wapo na timu yao wakat wowote kwa muda wote, mashabiki wa Simba sio wavumilivu sana kweny magumu

4.Mashabiki wa Yanga ni wabunifu sana kweny staili za kushangilia kuliko Mashabiki wa Simba na ndo maana mashabiki wa Yanga wana majina makubwa na kujulikana kuliko wale wa Simba

5.Ni rahis sana kuwadanganya na kuwapumbaza mashabiki wa Yanga, na ndo maana hata wakitolewa kweny mashindano au kufungwa, Viongozi wao hutumia propaganda rahis sana nao husahau mapema, hii ni tofaut na Simba, rejea mwaka Simba anatolewa na Ud songo.

6.Viongozi na wachezaji wa Simba wanawaogopa sana mashabiki wao kuliko Viongozi na wachezaji wa Yanga, Wachezaji wa Yanga wamerelax sana, hawana hofu ya mashabiki

7.Mashabiki wa Yanga wananunua na kuvaa sana Jersey zao kuliko mashabiki wa Simba

8.Mashabiki wengi vijana wa Yanga ni wapambanaji tu mtaani, Mashabiki wengi vijana wa Simba ni wa Kishua.
Facts...

nyongeza : Mashabiki wa simba wana jaziba na wapo kwenye kung'oa viti kwa mujibu wa tafiti za kisayansi kutoka chuo cha Oxford uingereza. Shabiki mmoja wa simba anaweza kung'oa viti saba ndani ya sec 30
 
Yanga wengi uelewa mdogo kichwani hata ukiangalia hoja zao. Wengi wakishindwa hoja wanakimbilia matusi ya nguoni
 
Hapa kwenye washabiki kufanya Yanga kujulikana sio kweli..labda humuhumu mikoani ila kwa kimataifa hapana.
Ubunifu wa ushangiliaji pia kwa Yanga siyo kweli..cheki ile ya vitochi vya simu ni ubunifu wa mashabiki wa Simba.
 
Hilo la kusema mashabiki wa Yanga ni rahisi sana kurubuniwa kwa propaganda za kipuuzi ni kweli. Maana wakitolewa huko klabu bingwa Africa au mambo yakienda kombo tu, Manara anawadanganya kuwa TFF inawahujumu mara sijui serikali etc.. sababu hazina mashiko kabisa
 
2 na 8, kama kweli hivii Washabiki wa simba sio hard fun ila wanaipenda Simba sana kama mm, nakuaga km sina timu ila ni Simba, na sibishanagi ishu za simba na yanga...never, kwa nadra sana.
Tupo pamoja mkuu 🤝
 
Aione SAGAI GALGANO kwa ajili ya kutolea ufafanuzi zaidi.
Ufafanuzi:-
FB_IMG_1611660294488.jpg
1661407295198.jpg
 
Mashabiki wa hizi timu kubwa mbili hapa Tanzania wanatofautiana katika maeneo haya;

1.Timu inapofanya vibaya iwe wachezaji hawajitumi au kocha anazingua, Mashabiki wa Simba huwa wakali hata kuwarushia chupa wachezaji wao, mashabiki wa Yanga huwa wanatafuta hata kitu kdg kizuri wanakikuza na kujifariji na hicho.

2.Mashabiki wa Simba wameshaona kama vile timu yao haishiriki ligi kuu ya NBC wanaumia zaid wakifungwa klabu bingwa kuliko kufungwa hata na Ihefu, tofauti na mashabiki wa Yanga.

3.Mashabiki wa Yanga wapo na timu yao wakat wowote kwa muda wote, mashabiki wa Simba sio wavumilivu sana kweny magumu

4.Mashabiki wa Yanga ni wabunifu sana kweny staili za kushangilia kuliko Mashabiki wa Simba na ndo maana mashabiki wa Yanga wana majina makubwa na kujulikana kuliko wale wa Simba

5.Ni rahis sana kuwadanganya na kuwapumbaza mashabiki wa Yanga, na ndo maana hata wakitolewa kweny mashindano au kufungwa, Viongozi wao hutumia propaganda rahis sana nao husahau mapema, hii ni tofaut na Simba, rejea mwaka Simba anatolewa na Ud songo.

6.Viongozi na wachezaji wa Simba wanawaogopa sana mashabiki wao kuliko Viongozi na wachezaji wa Yanga, Wachezaji wa Yanga wamerelax sana, hawana hofu ya mashabiki

7.Mashabiki wa Yanga wananunua na kuvaa sana Jersey zao kuliko mashabiki wa Simba

8.Mashabiki wengi vijana wa Yanga ni wapambanaji tu mtaani, Mashabiki wengi vijana wa Simba ni wa Kishua.
Unazungumzia makolo na utopolo?
 
Mashabiki wa Yanga ni weledi zaidi kuliko wa simba ndiyo maana hata timu ya Yanga ikifungwa hata na simba huwezi kusikia wakiwaporomoshea viongozi wao matusi, ni wavumilivu sana na hutoa ushauri zaidi kuliko lawama.

Juzi simba kufungwa na Young Africans watu wamepotomosha matusi huko mtandao mpaka unashangaa akili zao, nenda kurasa ya try again maskini ameogopa hata kupita.

Yanga timu ilifanya vibaya mashabiki wanaungana na viongozi, simba wao wanatokana viongozi
 
Back
Top Bottom