UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM

UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM.

SELF BEDROOM
Ina ukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda cha futi 5 kuingia
✴️Meza moja na kiti kimoja au Viwili
✴️ Kabati la nguo
Pia inakuwa na Choo chenye shower na system ya Choo Tu, na haina dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 15.

MASTER BEDROOM
Inaukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda chenye ukubwa Wa futi 6 kikiwa na droo zake Mbili za pembeni pamoja na side bedsofa.
✴️Kuweka screen chumbani
✴️Kuweka Kochi la watu wawili na Meza yake.
✴️Kuweka Kabati la nguo na mambo mengine.
✴️Kuweka Meza na kiti Kwa ajili ya mambo ya kiofisi au kikazi ukiwa nyumbani

Pia inakuwa choo na shower, jacuzzi na system ya Choo pamoja na dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 20.
Kwa lugha nyepesi
Master bedroom ni chumba cha mwenye nyumba


KARIBU WHATSAPP INBOX KWA USHAURI, RAMANI, UJENZI NA TATHIMINI YA VIFAA VYA UJENZI.
Nipigie 0743257669

WhatsApp inbox:

TUPO UKONGA Dsm- TANZANIA.

Karibu
 
UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM.

SELF BEDROOM
Ina ukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda cha futi 5 kuingia
✴️Meza moja na kiti kimoja au Viwili
✴️ Kabati la nguo
Pia inakuwa na Choo chenye shower na system ya Choo Tu, na haina dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 15.

MASTER BEDROOM
Inaukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda chenye ukubwa Wa futi 6 kikiwa na droo zake Mbili za pembeni pamoja na side bedsofa.
✴️Kuweka screen chumbani
✴️Kuweka Kochi la watu wawili na Meza yake.
✴️Kuweka Kabati la nguo na mambo mengine.
✴️Kuweka Meza na kiti Kwa ajili ya mambo ya kiofisi au kikazi ukiwa nyumbani

Pia inakuwa choo na shower, jacuzzi na system ya Choo pamoja na dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 20.
Kwa lugha nyepesi
Master bedroom ni chumba cha mwenye nyumba


KARIBU WHATSAPP INBOX KWA USHAURI, RAMANI, UJENZI NA TATHIMINI YA VIFAA VYA UJENZI.
Nipigie 0743257669

WhatsApp inbox:

TUPO UKONGA Dsm- TANZANIA.

Karibu
Hivi viwango na vipimo source yake ni wapi mkuu?
 
Dressing room, unamaanisha a walk-in closet au?
Lakini hizo meter 15 na 20 zirudie vyema unachanganya feet or meter kiwanya kina 20m leo utamiambia hvo vyote binabeba eneo la kiwanja msikopi vitu ambavyo mtu atawajua nyie sio weledi ila mmeiba tu maandishi ya watu
 
Lakini hizo meter 15 na 20 zirudie vyema unachanganya feet or meter kiwanya kina 20m leo utamiambia hvo vyote binabeba eneo la kiwanja msikopi vitu ambavyo mtu atawajua nyie sio weledi ila mmeiba tu maandishi ya watu
Sio meter bali ni square meter
 
Lakini hizo meter 15 na 20 zirudie vyema unachanganya feet or meter kiwanya kina 20m leo utamiambia hvo vyote binabeba eneo la kiwanja msikopi vitu ambavyo mtu atawajua nyie sio weledi ila mmeiba tu maandishi ya watu
Rudia kusoma
 
UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM.

SELF BEDROOM
Ina ukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda cha futi 5 kuingia
✴️Meza moja na kiti kimoja au Viwili
✴️ Kabati la nguo
Pia inakuwa na Choo chenye shower na system ya Choo Tu, na haina dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 15.

MASTER BEDROOM
Inaukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda chenye ukubwa Wa futi 6 kikiwa na droo zake Mbili za pembeni pamoja na side bedsofa.
✴️Kuweka screen chumbani
✴️Kuweka Kochi la watu wawili na Meza yake.
✴️Kuweka Kabati la nguo na mambo mengine.
✴️Kuweka Meza na kiti Kwa ajili ya mambo ya kiofisi au kikazi ukiwa nyumbani

Pia inakuwa choo na shower, jacuzzi na system ya Choo pamoja na dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 20.
Kwa lugha nyepesi
Master bedroom ni chumba cha mwenye nyumba


KARIBU WHATSAPP INBOX KWA USHAURI, RAMANI, UJENZI NA TATHIMINI YA VIFAA VYA UJENZI.
Nipigie 0743257669

WhatsApp inbox:

TUPO UKONGA Dsm- TANZANIA.

Karibu
Master Bedroom haina ukubwa maalum
Master bedroom ni chumba kikubwa zaidi kiliio vyote kwenye nyumba..
Lakini pia mara nyingi huwa ni luxury zaidi kuliko vyumba vingine
Hii ndio maana halisi ya master Bedroom
Tujitahidi kuandika vitu ambavyo tunauelewa navyo...
 
UTOFAUTI KATI YA MASTER BEDROOM NA SELF BEDROOM.

SELF BEDROOM
Ina ukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda cha futi 5 kuingia
✴️Meza moja na kiti kimoja au Viwili
✴️ Kabati la nguo
Pia inakuwa na Choo chenye shower na system ya Choo Tu, na haina dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 15.

MASTER BEDROOM
Inaukubwa ambao unaruhusu:-
✴️Kitanda chenye ukubwa Wa futi 6 kikiwa na droo zake Mbili za pembeni pamoja na side bedsofa.
✴️Kuweka screen chumbani
✴️Kuweka Kochi la watu wawili na Meza yake.
✴️Kuweka Kabati la nguo na mambo mengine.
✴️Kuweka Meza na kiti Kwa ajili ya mambo ya kiofisi au kikazi ukiwa nyumbani

Pia inakuwa choo na shower, jacuzzi na system ya Choo pamoja na dressing room.

Ukubwa wake Mdogo ni square metres 20.
Kwa lugha nyepesi
Master bedroom ni chumba cha mwenye nyumba


KARIBU WHATSAPP INBOX KWA USHAURI, RAMANI, UJENZI NA TATHIMINI YA VIFAA VYA UJENZI.
Nipigie 0743257669

WhatsApp inbox:

TUPO UKONGA Dsm- TANZANIA.

Karibu
Karibu Dodoma mkuu,ndio kumenoga! Utakuja kunishukuru.
 
Lakini hizo meter 15 na 20 zirudie vyema unachanganya feet or meter kiwanya kina 20m leo utamiambia hvo vyote binabeba eneo la kiwanja msikopi vitu ambavyo mtu atawajua nyie sio weledi ila mmeiba tu maandishi ya watu
Hasira za nini
 
Back
Top Bottom