Simon Henry
Member
- May 16, 2019
- 8
- 15
Mtu mjinga ni yule ambae amekoswa maarifa kuhusu jambo ,neno au tendo fulani .
Lakini mtuhuyu anaweza kufundishwa na akaelewa na hata kubadilika
Lakini mtu mpumbavu ni yule ambae hajui kama hajui wala hataki kujua wala kuelewa kwamba hajui kwahio hawezi badilika hata kama akiipata elimu hio
Comment 👇 kama unalolote la kuongezea
Lakini mtuhuyu anaweza kufundishwa na akaelewa na hata kubadilika
Lakini mtu mpumbavu ni yule ambae hajui kama hajui wala hataki kujua wala kuelewa kwamba hajui kwahio hawezi badilika hata kama akiipata elimu hio
Comment 👇 kama unalolote la kuongezea