Utofauti uliopo kati ya wanasayansi wa sasa na wazamani

Utofauti uliopo kati ya wanasayansi wa sasa na wazamani

dexterous

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
2,037
Reaction score
3,134
Habarini wanajukwaa kuna vitu vinanitatiza kuhusu wanasayansi na Maphilosophy wa zamani Yaan Kipindi Kile cha Dawrn, Na wengineo na wanasayasi wa sasa Ukifatilia History Za wanasayansi wa zaman Kuna vitu vingi wameweza Kugundua Kama Ndege, Simu, Meli Na vinginevyo Lakini Kwa Miaka Hii (present) vitu hivyo vimefanywa kuwa More advanced Compared Na Miaka Ya Nyuma Ilipogunduliwa.

Swali Langu Ni wapi Ndo Bora Na walio au wanaoumiza Vichwa Zaidi Na kwann? Ni kwel Hakuna Kitu Kipya Kitakacho weza Kugunduliwa Kwa Sasa Zaidi Ya Kuongezea tu Kutokana Na vile Vya Zaman kwann?

Nini Kinachosabisha utofauti wawanasayansi wa zaman Na wasasa Katika Kuvumbua Mambo?

Asante Ningepnda Kukaribisha Michango Yenu
 
Habarini wanajukwaaKuna vitu vinanitatiza kuhusu wanasayansi na Maphilosph wa zaman Yaan Kipindi Kile cha Dawrn,Na wngineo na wanasayas wa sasaUkifatilia History Za wanasayans wa zaman Kuna vitu vingi wameweza Kugundua Kama Ndege, Simu, Meli Na vinginevyo Lakini Kwa Miaka Hii(present) vitu hivyo vimefanywa kuwa More advanced Compared Na Miaka Ya Nyuma Ilipogunduliwa.

Swali Langu Niwapi Ndo Bora Na walio au wanao umizwa Vichwa Zaidi Na kwann? Ni kwel Hakuna Kitu Kipya Kitakacho weza Kugunduliwa Kwa Sasa Zaidi Ya Kuongezea tu Kutokana Na vile Vya Zaman kwann?Nini Kinachosabisha utofauti wawanasayansi wazaman Na wasasa Katika Kuvumbua Mambo? Asante Ningepnda Kukaribisha Michango Yenu

kwanza hongera kwa kujiuluza maswali kama hayo kama mwana-intelijensia wa hapa jamvini
pili kabla hatujaenda mbali ningependa nikupe homework, katafute utofauti wa maneno hayo mawili "KUGUNDUA na KUVUMBUA" kwani naona umeyatumia bila mipangilio
kwa upande wangu naweza kusema kuwa enzi za akina COPERNICUS, GALILEO, NEWTON, KEPLER, DA VINCI, FARADAY N.K. walikua na mavichwa manene mno(fikiria sana) tofauti na sasahivi ambapo mabadiliko makubwa ya ki-teknolojia yamechukua nafasi, hii inamaanisha kuwa zamani watu walikua na mambo machache ubongoni na idea ngumu kumeza zilikuwa nyingi za kutosha kwahiyo hata ku-concentrate kwenye jambo moja ilikua rahisi tofauti na sasa,
sasahivi mambo mengi sana yamerahisishwa sana kwahiyo inakuwa ngumu kidogo kwa baadhi ya watu kuumiza medulla zetu kwani karbu kila kitu kipo in a simple way
kitu pekee ambacho kina sababisha huo utofauti wa wanasayansi wa kale na wasasa hapa duniani ni ubongo pekee
mf.
miracles zote zilizofanywa na wright brothers, Henry ford, Thomas Edison, Einstein, Faraday n.k.(the list goes on and on) zilianzia ubongoni na baadae zikawa observed physically, zamani kulikuwa hakuna idea za revolution of a planet earth around the sun mpaka pale Copernicus alipokuja na theory zake
i'm not going to accept your conclusion kwamba hakuna kitakachoweza kugunduliwa because you cant predict the future
Cc. Monstgala, Kiranga, Dreson4, Eiyer Ishmael, mkwesya Makambo, Mkuu wa chuo, @sibertech, @D'revis, na wengineo wooooote

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:
Zama hizo kulikuwa hakuna kitu kwa hiyo ugunduzi ni muhimu. Sasa hivi karibia vingi vishaguduliwa kinachobaki ni kuboresha tu. Kugundua ni kujua kitu ambacho tayari kilikuwepo lakini hukujua kama kipo. Kuvumbua ni kutengeneza kitu kwa mara ya kwanza ambacho hakikuwepo popopote pale. sasa hivi hakutafutwi tena kugundua au kuvumbua sasa hivi watu wanatafuta kujua zaidi.
 
Zama hizo kulikuwa hakuna kitu kwa hiyo ugunduzi ni muhimu. Sasa hivi karibia vingi vishaguduliwa kinachobaki ni kuboresha tu. Kugundua ni kujua kitu ambacho tayari kilikuwepo lakini hukujua kama kipo. Kuvumbua ni kutengeneza kitu kwa mara ya kwanza ambacho hakikuwepo popopote pale. sasa hivi hakutafutwi tena kugundua au kuvumbua sasa hivi watu wanatafuta kujua zaidi.

MWANASAYANSI NI MTU WA AINA GANI ?
ni vema wengi tufahamu nini kinaongelewa kabla ya kujikita kwenye mjadala.
kila mvumbuzi ni mwanasayansi ?
 
MWANASAYANSI NI MTU WA AINA GANI ?
ni vema wengi tufahamu nini kinaongelewa kabla ya kujikita kwenye mjadala.
kila mvumbuzi ni mwanasayansi ?

Mwanasayansi ni mtu yoyote mwenye elimu, ujuzi, upeo au ufahamu kuhusuiana na viumbe hai na vile visivyo hai.
Kuvumbua kitu au jambo ni lazima uwe na elimu au fununua ya mwenendo wa hicho ulicho/unacho kivumba. Kwa maana yake siyo lazima uwe mwana sayansi kuvumbu kitu au jambo. Upeo au ufahamu wako unaweza tosha.
 
sasa hivi wanasayansi na hasa waalimu wao (Prof) wana'madili' mengine- utakuta Prof wa Geology anashabikia siasa, Prof wa mifupa anasimamia ulinzi wa nchi-
 
Wanasayansi wa zamani uganga ulikuwa mwingi
 
Wanasayansi wa zamani uganga ulikuwa mwingi

mimi sikuwahi kufahamu kabisa unacho zungumza, kumbe ilikuwa hivyo mkuu, hebu dadavua kwa upana kidogo mkuu

.made in mby city.
 
mimi sikuwahi kufahamu kabisa unacho zungumza, kumbe ilikuwa hivyo mkuu, hebu dadavua kwa upana kidogo mkuu

.made in mby city.

Classical science haikuwa governed na reason kivile.Mambo mengi yalikuwa yana base kwenye imani zisizo za msingi

Ila modern science na to be specific quantum physics ipo refined na kutoshirikisha imani za aina yeyote ile.Ni purest of science.Logic na observation zinatawala science hii.Hakuna influence ya dini yeyote.Ina total freedom
 
Classical science haikuwa governed na reason kivile.Mambo mengi yalikuwa yana base kwenye imani zisizo za msingi

Ila modern science na to be specific quantum physics ipo refined na kutoshirikisha imani za aina yeyote ile.Ni purest of science.Logic na observation zinatawala science hii.Hakuna influence ya dini yeyote.Ina total freedom

Mkuu toa kamfano kadogo tu (including scientists) kuonyesha kuwa wanasayansi wa kale waliendana moja kwa moja na madai yako

.made in mby city.
 
Mkuu toa kamfano kadogo tu (including scientists) kuonyesha kuwa wanasayansi wa kale waliendana moja kwa moja na madai yako

.made in mby city.

Mkuu soma hii

Isaac Newton produced many works that would now be classified as occult studies. These works explored chronology, alchemy, and Biblical interpretation (especially of the Apocalypse). Newton's scientific work may have been of lesser personal importance to him, as he placed emphasis on rediscovering the occult wisdom of the ancients. In this sense, some[SUP][/SUP] believe that any reference to a "Newtonian Worldview" as being purely mechanical in nature is somewhat inaccurate.

SOURCE:Isaac Newton's occult studies - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Kuna siku nilikuwa na mjadala mkali sana kuhusu hili na wanasayansi vijana mahiri. Hoja yao ni kwamba siku hizi siyo rahisi tena kugundua/kuvumbua kitu kikubwa peke yako. Tafiti inabidi zifanywe na wengi kwenye timu ya utafiti maana mambo yamekuwa makubwa, mengi na magumu, kwa mfano, kutafuta dawa/chanjo ya Ebola na HIV/AIDS.

Wakasisitiza kuwa hata makala/mada wanazotoa kwenye majarida ya kisayansi ni vigumu kukuta zimeandikwa na mtu mmoja tu. Unakuta waandishi ni wengi na pepa hizo zinakuwa zinatokana na hizo tafiti za pamoja kwenye maabara. Kunakuwa na mwanasayansi mkuu mwenye maabara ambapo anakuwa na timu ya wanasayansi.
 
Suala la specialization nadhani ndio linadumaza uwezo wa kufikiri mambo katika nyanja tofautitofauti. Wanasayansi wazamani walikuwa wanaweza kujishughulisha na stadi mbalimbali kama vile mathematics, chemistry, physics, biology, philosophy, geography, history n.k zote kwa pamoja. Tofauti na sasahivi mtu anajishulisha na stadi moja zikizidi sana mbili au tatu. Matokeo yake yanaweza kuwa kama mfano ufutao:
Mtu akiamua kuspecialize na stadi ya physics peke yake nikukubali kuwa mjinga wa stadi nyingine kama bios, chem, phil, hist, geo n.k
Kama mtu ataspecialise fani ya utabibu nikukubali ujinga wa fani nyingine kama uingeneer ama machinist n.k
NB. The way you specialise the way you become ignorant.

Suala lingine ni kuwa moja kati madhara makubwa yanaytokana na science & technology ni kucreate mental lazyness(uvivu au upeo mdogo wa kufikiri)
Kwamfano wanasayansi wa zamani katika stadi ya hesabu/hisabati walikuwa wanatumia zaidi vichwa vyao kuliko zana nyingine yoyote katika mahesabu. Lakini sasa hivi watu tunatumia zana kama vile calculator(kikokotozi), 4 figure, computer n.k katika kufanya mahesabu.
Mwisho niseme tu faida za sayansi na teknnojia siku za leo ni nyingi kuliko madhara na madhara hayo baadhi yanaweza kuzuilika.
Na kuhusu ufumbuzi/ugunduzi mpya nadhani upo lakini kwa kiwango kikubwa ni kufanya modifications of the ancient technogies in sense that; science are the laws or principles that govern the nature. And techology stands as applications of scientific discoveries. Therefore technogy is a product of science & technogy as product of science, it used to improve science(to create a good environment of science). Thats why nowdays we actually do innovations than enventions of science and technology.
 
kwanza hongera kwa kujiuluza maswali kama hayo kama mwana-intelijensia wa hapa jamvini
pili kabla hatujaenda mbali ningependa nikupe homework, katafute utofauti wa maneno hayo mawili "KUGUNDUA na KUVUMBUA" kwani naona umeyatumia bila mipangilio
kwa upande wangu naweza kusema kuwa enzi za akina COPERNICUS, GALILEO, NEWTON, KEPLER, DA VINCI, FARADAY N.K. walikua na mavichwa manene mno(fikiria sana) tofauti na sasahivi ambapo mabadiliko makubwa ya ki-teknolojia yamechukua nafasi, hii inamaanisha kuwa zamani watu walikua na mambo machache ubongoni na idea ngumu kumeza zilikuwa nyingi za kutosha kwahiyo hata ku-concentrate kwenye jambo moja ilikua rahisi tofauti na sasa,
sasahivi mambo mengi sana yamerahisishwa sana kwahiyo inakuwa ngumu kidogo kwa baadhi ya watu kuumiza medulla zetu kwani karbu kila kitu kipo in a simple way
kitu pekee ambacho kina sababisha huo utofauti wa wanasayansi wa kale na wasasa hapa duniani ni ubongo pekee
mf.
miracles zote zilizofanywa na wright brothers, Henry ford, Thomas Edison, Einstein, Faraday n.k.(the list goes on and on) zilianzia ubongoni na baadae zikawa observed physically, zamani kulikuwa hakuna idea za revolution of a planet earth around the sun mpaka pale Copernicus alipokuja na theory zake
i'm not going to accept your conclusion kwamba hakuna kitakachoweza kugunduliwa because you cant predict the future
Cc. Monstgala, kiranga, Dreson4, Eiyer,Ishmael, Mkwesya Makambo, Mkuu wa chuo, sibertech, D'revis, na wengineo wooooote

.made in mby city.
Nimeweza Kupata Maana zako Nazo Ni Hizi

Kugundua ni kuweza kufichua
kile ambacho kimefanywa ama
kuwekwa ni siri. Kuvumbu ni
kutengeneza au kujua kitu fulani
kilichokuwa hapo awali hakipo
katika fahamu za watu.
Asante mkuu
 
wanasayansi wa zamani walikua wakali kwani wao wengi walivumbua vitu vingi.. walijiuliza maswali ambayo hayakuwa na majibu kabisa (clue less) ila wa sasa wengi wanatumia platform za hao wa zamani.. kama vile principle, concept nk.. au wanasaidiwa sana na technology..
 
humu naona atu wamejaa conspiracy, honestly mtu na akili yako utakaa useme ati wanasayansi wa zamani wana-akili zaidi sababbu wa siku hizi wanatumia calculator na computer? naona hamjui umuhimu wa kuhandle namba kubwa, bila precision ya computers kuhandle namba kubwa 8-16-32-64bits na kuendelea leo hii hata rocket tusingerusha, satellite za mawasiliano advanced zisingekuwepo, au google na Jf sasa hivi zisingekuwepo.. hamna cha mental lazyness hapo, tunadeal na maisha ya watu hatuwezi leave it to chances kua calclation iko sawa au wrong.. One simple error can cause death au hamjaona rocket ambazo zilikipuka sababu tu ya kukosea calculation kdiogo tu...

Mtu ansema siku hizi specialization inaharibu watu, niulize swali, physics ya leo utalinganisha na ya miaka mia iliyopita? ndani ya hii miaka mia tumekua na rockts, television, radios, space-ships, submarines, trains, computers, robots, nanotechnology, hivi utasoma vyote afu uende n chemistry vitu vipya vingi ujue ma LCD, Graphine uchanganye na biology si utazeeka? watu wa miaka elfu iliyopita walikua hawana vyote hivi kwa hiyo somo moja la leo lina vitu vingi kuliko hata masomo yote waliyokua wanachukua, its common sense.. kama unataka kubeba vyote unaruhusiwa tatizo ni je utahandle? Nlisoma double major najua ugumu wake ulivyo..

Vit walivokua wanafanya zamani kama mathematical formulas, kuprove theories etc hadi le hii vinafanyika, publications zinakuwa published kila mwaka na wanasayansi all across the globe, tofauti ya le na zamani ni kua leo hii tumekua advanced, na tunatumia laws zilizowekwa zamani smply because zinafanya kazi vizuri, 1+1=2, kwa nini tuunde namba zetu upya ambapo jibu litakua ni tatu? same thing for things kama classical phyics, newton anakwambia ukisukuma kitu kitatoa reaction pia, hiyo haibadiliki siku zote itakuwepo milele ya nini tutake kufanya tofauti?
 
Hii thread inanifaa sana kwakuwa kuna magreat thinker
 
Lengo la wanasayansi wazamani ndio hiki kinachoendelezwa na hawa wa sasa.wao walitutoa step moja na hawa wa sasa wanatupeleka hatua nyingine..Kumbuka tafiti/"gunduzi"/"vumbuzi" nyingi zilizofanywa zamani zililenga kurahisisha maisha ya mwanadamu kwa namna moja ama nyingine..Kadri muda unavyokwenda "urahisi/uboreshwaji" huu ndio unapotoshwa na wanasayansi wa sasa kuonekana kama si bora ukilinganisha na wa awali..
 
humu naona atu wamejaa conspiracy, honestly mtu na akili yako utakaa useme ati wanasayansi wa zamani wana-akili zaidi sababbu wa siku hizi wanatumia calculator na computer? naona hamjui umuhimu wa kuhandle namba kubwa, bila precision ya computers kuhandle namba kubwa 8-16-32-64bits na kuendelea leo hii hata rocket tusingerusha, satellite za mawasiliano advanced zisingekuwepo, au google na Jf sasa hivi zisingekuwepo.. hamna cha mental lazyness hapo, tunadeal na maisha ya watu hatuwezi leave it to chances kua calclation iko sawa au wrong.. One simple error can cause death au hamjaona rocket ambazo zilikipuka sababu tu ya kukosea calculation kdiogo tu...

Mtu ansema siku hizi specialization inaharibu watu, niulize swali, physics ya leo utalinganisha na ya miaka mia iliyopita? ndani ya hii miaka mia tumekua na rockts, television, radios, space-ships, submarines, trains, computers, robots, nanotechnology, hivi utasoma vyote afu uende n chemistry vitu vipya vingi ujue ma LCD, Graphine uchanganye na biology si utazeeka? watu wa miaka elfu iliyopita walikua hawana vyote hivi kwa hiyo somo moja la leo lina vitu vingi kuliko hata masomo yote waliyokua wanachukua, its common sense.. kama unataka kubeba vyote unaruhusiwa tatizo ni je utahandle? Nlisoma double major najua ugumu wake ulivyo..

Vit walivokua wanafanya zamani kama mathematical formulas, kuprove theories etc hadi le hii vinafanyika, publications zinakuwa published kila mwaka na wanasayansi all across the globe, tofauti ya le na zamani ni kua leo hii tumekua advanced, na tunatumia laws zilizowekwa zamani smply because zinafanya kazi vizuri, 1+1=2, kwa nini tuunde namba zetu upya ambapo jibu litakua ni tatu? same thing for things kama classical phyics, newton anakwambia ukisukuma kitu kitatoa reaction pia, hiyo haibadiliki siku zote itakuwepo milele ya nini tutake kufanya tofauti?

Mkuu hoja inataka tofauti ya wanasayansi wa wazamani na si faida wala hasara ya sayansi na teknojia. Nachelea kusema hoja zako naunga mkono zote lakini kwa kujikita mchango wa sayansi/ wanasayansi wa zamani kwa wanasayansi/ sayansi yaleo. me sijapingana na wewe wala si argue kuwa vifaa tajwa kwenye mifano yangu kuwa havirahishi kazi/ si muhimu. Hiyo ilikuwa ni mifano ya kutofautisha wanasayansi wazamani na waleo hasa katika gunduzi zao(kuchemsha bongo). Ndio maana kuna paragraphy nimeleleza kuwa sayansi na teknojia ya sasa ni advanced na ina umuhimu mkubwa kuliko mandhara na madhara haya baadhi yanazuilika. Kikubwa kinachofanywa na wanasayansi wasasa ni kuiendeleza sayansi na technolojia ya zamani kuliko ufumbuzi mpya(ufumbuzi upo lakini kwakiasi kisicholingana na kuendeleza). Hivyo mifano ya vifaa tajwa ni mwendelezo ya S & T ya zamani na nimuhimu vyote kwa maisha binadamu. Lakini kila chenye faida pia kina hasara zake ndio maana Hoja ya mental lazyness inasimamia kuonesha tofauti ya wanasayansi wa zamani ambao walikuwa wanachemsha ubongo locally tofauti na siku hizi ambapo tunasaidiwa vifaa hivi(haimanishi si muhimu) na nikweli vinarahisisha kazi kwa kiasi kikubwa lakini havi chemshi ubongo kwa kiwango sawa kama ungetumia akili zaidi pasipo vifaa hivi (kikubwa nikuangalia namna walivyoshughulika na kwa msaada upi)
Nb. Sayansi ya zamani na sasa zote zinainvolve critical thinking ya binadamu lakini inayozingatia muktadha wa mazingira na vipindi/ muda husika ndiomana kuna sayansi ya zamani & ya sasa lakini ukweli ni kwamba sayansi ya sasa ni zao la sayansi ya zamani.
 
Back
Top Bottom