Utofauti wa iphone na simu za Android

Utofauti wa iphone na simu za Android

Utofauti wake kama normal user uko kwenye user experience. Yani mfumo wa uendeshaji wa iphone iOS ni tofauti na android kimpangilio na kimwonekano.

Kuhusu storage capacity haijalishi iwe android au iphone ni sawa. Kama mwafrika ana 72kg na mzungu ana 72kg wote wana uzito sawa japo kuwa ni races mbili tofauti

Yeah...umemaliza
 
HAPO UKIENDA KWANZA WAITOA HIYO PASSCODE KISHA WANAKUCHEKIA KAMA INA ICLOUD, KAMA HAINA UNA KUWA UMEKULA BINGO
nabwateja wanaotumia iphone huku icloud iko wazi,hata 1% ya watumiaji wa iphone hawafiki.

uzuri wa hizi simu siku hizi hata kama hujui icloud ni kitu gani,itakichokonoa mpala utajua tu.
 
Privacy and Security kwenye iPhone ni bora kuliko simu yoyote ya Android
 
Simple sana kuitoa as long as unakumbuka icloud, just download itunes iweke kwenye pc tafuta ipsw file husika la simu yako lidownload na lisave mfano kwenye desk top, washa simu yako ikiwa kwenye dfu mode kama ni below iphone X hii hufanyika kwa kuwasha simu ukiwa umehold home button until ukiona alama ya kuiconnect kwenye pc ndo unaachia home button. then iiconnect kwa pc halafu itadetect kwenye itunes fungua itunes ikishafunguka itakutaka urestore simu hold shift key kwenye keyboard ya pc halafu click restore kwenye itunes itakutaka ulocate ipsw file lakolilocate kwenye desktop then chagua restore sit down and relax mpaka simu itakapomaliza kurestore itawaka ikikutaka uiset upya bila password sema kama ilikuwa na icloud itademand icloud
iOS gani inawezekana fanya hivyo maana kuna $ 1m ambayo iliahidiwa na Apple kwa atakayeweza cheza na iCloud toka mwaka jana mwanzoni na hamna aliyeweza chukua hiyo hela mpaka leo...
 
iOS gani inawezekana fanya hivyo maana kuna $ 1m ambayo iliahidiwa na Apple kwa atakayeweza cheza na iCloud toka mwaka jana mwanzoni na hamna aliyeweza chukua hiyo hela mpaka leo...
Umeaom vizuri conversation mkuu? Hakuna nilipoongelea iCloud
 
Mkuu yangu password ya icloud ninayo ila nimesahau mchanganyiko wake wa herufi nilivyoweka unaweza kunisaidia tafadhali maana sikumbuki herufi ndogo nilisevu vp


Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiwa una create iCloud account mbali na password huwa kuna maswali yakujibu kama matatu hivi, kama unakumbuka hata moja tu utakua umepata pa kuanzia kwasababu watakupa hints zitakazo kusaidia kukumbuka password yako.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Storage za IPhone ni maalumu kwa kupakua mavitu ya store yao tu hahaha ,unapewa GB 128 internal storage hafu huwezi Transfer files from PC, Ku Download baadh ya vitu huwezi si ufala huo.. Hafu wana jikinga kwenye kivuli cha security FAKI

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaongea unachokijua au ulicho simuliwa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MKUU UTOFAUTI MKUBWA UKO KWENYE SECURITY YA IPHONEs.HUKU UNA UHAKIKA WA 100% DATA ZAKO KUWA SALAMA.

PIA IPHONE INA HADHI YAKE MZAZI UKIITOA KWENYE DALADALA KILA MMOJA MACHO KWAKO
Eti kwenye Daladala, Mawazo ya kitumwa na show off za kipimbi
 
Storage za IPhone ni maalumu kwa kupakua mavitu ya store yao tu hahaha ,unapewa GB 128 internal storage hafu huwezi Transfer files from PC, Ku Download baadh ya vitu huwezi si ufala huo.. Hafu wana jikinga kwenye kivuli cha security FAKI

Sent using Jamii Forums mobile app
HUYU HAJAWAHI HATA KUTUMIA IPHONE, NA KAMA KATUMIA BASI HAJUI KUTUMIA IPHONE NA HAPO ALIPO HAJUI HATA ITUNES INA KAZI GANI
 
Back
Top Bottom