IS analyst
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 274
- 466
Mfano mzuri ni Air Traffic controllers wa TCAA ambao baada ya kuwa recruited wanachukua miaka 2 kuwa trained kwenye chuo cha usafiri wa anga kisha wanafanya mitihani ya leseni ya kimataifa ili wafuzu kufanya kazi rasmi.Mkuu hawa wana leta hoja za kitoto sana.kama wamechoka kazi waache tu vijana wengi sana jobless mtaani.
Wanaongea vitu ambavyo sio practical kabisa. Mishahara haiwezi fanana tu kisa mna elimu sawa au fani sawa.
Tija, ugumu, unyeti na risk ziambatanazo Na kazi husika ndovina determine mshahara.
Dereva wa rais wanataka alipwe sawa Na dereva wa halmashauri serious kabisa!!!! MTU unamuendesha the most important person katika nchi ulipwe sawa Na MTU anaendesha milingoti kuipeleka site !!!
Bado vipimo vya afya kila baada ya mwaka ili waendelee kuwa bora. Kazi yao ina tension ya kutosha imagine ndege zikigongana tu kwenye airspace ya TZ kesi yake sio ndogo.
Technically mishahara yao haiwezi kuwa sawa na wenzao waliosoma nao bachelors degree ya Physics, Mathematics au Geomatics.