Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

Mfano mzuri ni Air Traffic controllers wa TCAA ambao baada ya kuwa recruited wanachukua miaka 2 kuwa trained kwenye chuo cha usafiri wa anga kisha wanafanya mitihani ya leseni ya kimataifa ili wafuzu kufanya kazi rasmi.
Bado vipimo vya afya kila baada ya mwaka ili waendelee kuwa bora. Kazi yao ina tension ya kutosha imagine ndege zikigongana tu kwenye airspace ya TZ kesi yake sio ndogo.
Technically mishahara yao haiwezi kuwa sawa na wenzao waliosoma nao bachelors degree ya Physics, Mathematics au Geomatics.
 
Mkuu...hili swali la dereva wa rais vs dereva wa halmashauri/tanesko hamna aliyelijibu.
Nimejaribu kulirudia tena na tena lakini halijibiki.

Wote wamelikwepa kama hawajaliona vile.
Wanacho suggest sio kitu practical kabisa.

Hakuna equality ya namna hio. Dunia ndo IPO hivyo and they have to accept it.
 
Harmonisation of salaries sio kumpandisha aliechini na kumshusha alioko juu waje walingane sawa kwa sawa.
Maana halisi ya mleta mada ni kusiwe na gap kubwa la mishahara kwa watu wenye skills sawa, kisomo sawa na pengine majukumu sawa.
Mahali inji hii ilipofikia ambapo wafanyakazi wamekuwa wapole, waoga na wanyonge serikali ikisema HARMONISATION ianze hata kesho inaanza sema suuu uoneee.
Yy mwenyewe kashasema kashusha mshahara wake sasa nani mwingine ajikune akitaka inakuwa tuu.
 
Kuwa serious aisee ACP wa polisi awe RTO? Au ulimaanisha ASP.
 
Na kubwa zaidi wote sisi ni watanzaniaaa
 
Sasa wewe nani anakuambia ukaombe kazi huko halmashauri..?
 
ASP awe RTO, Kuwa serious bwana, ASP unajua ni nyota tatu? RTO wengi ni SSP na ACP
Mhh kuna ma DTO wa nyota moja na ma RTO wa nyota tatu....

Nilifikiri ma ACP hupewa u RCO na RPC tuu sikujua siku hizi ma ACP hupewa u RTO...
Btw: ACP awe na 2.1M kabla ya makato?
 
Uko sahihi
 
Nadhani mnashindwa kutofatuisha tofauti ya elimu na kazi, unalipwa kwa kazi (yaani position ilunayokuwa selected, ulipwi kwa elimu). Kuna tofauti kubwa ya kuwa mwalimu wa chuo vs secondary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…