Siasa uchwara zinahusika vipi na wewe kutupa taka ovyo?Sisi hadi tutakapoacha siasa uchwala ndo mambo yataenda.
Usikimbie ukweli kwa hoja dhaifu km hii.Wazo tu ukubwa wa Rwanda ni sawa na dsm ni vyema ukaifananisha Rwanda na dsm ipi ambayo kimadhari kimonekan kiusalam kiusafi na huduma za jamii.
Maana siku hiz Rwanda Rwanda kam vip hamia uko tu