Utofauti wa siasa za Dar es Salaam na Nairobi, Diamond Platinum amekiwasha hapa Kasarani

Utofauti wa siasa za Dar es Salaam na Nairobi, Diamond Platinum amekiwasha hapa Kasarani

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Nikiwa hapa uwanja wa kasarani Kenya kama mmoja wa watu wa uangalizi wa uchaguzi toka timu ya Afrika mashariki, Umoja wa Azimio unaongozwa na Raila Odinga unafunga kampeni Katika viwanja hivi vya kasarani

Diamond Platinum kama mwanamuziki maarufu hapa Afrika mashariki ametumbuiza hapa kwa nguvu ya kasi ya 6G kwenye viwanja hivi vya kasarani

Usiniulize swali kuhusu diplomasia yetu, Hapa Kenya anyone can do what he believe is right under Kenya Constitution ndio maana Diamond yupo hapa kasarani Kenya

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya siasa za Nairobi na Siasa za Dar es Salaam,

Siasa za Nairobi kwa mara ya kwanza hazina ukabila kabisa kwani wagombea wakuu wa nafasi ya Rais Odinga na Ruto wote sio wakikuyu

Wakikuyu niliojaribu kuwahoji kwa siku kadhaa ambazo Nipo hapa Nairobi wanasema Rais mstaafu Uhuru aliwaahidi mengi lakini hajafanya lolote maeneo yao ya Wakikuyu hivyo Katika uchaguzi huu wanaenda kufanya maamuzi magumu

Siasa za Kenya waandishi wa habari wameruhusiwa kupiga picha kura na masanduku ya kura wakati wote kwa kuweka camera kwenye sehemu ya kupigia kura

Siasa za Nairobi zimeruhusu wagombea kujumlisha kura zao

Mambo ni magumu sana kwenye siasa za Nairobi mwaka huu, Kwani maeneo ya Wakikuyu kwa mara ya kwanza yamekuwa Unpredictable vote areas, Wakikuyu hawana cha kupoteza kwa mara ya kwanza hivyo wamegawanyika kati ya wafuasi wa Odinga na Ruto

Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura

Kikubwa tunamshukuru kiongozi wetu mkuu wa timu ya Afrika mashariki Baba na Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete kwa ushauri wake na nasaha kwa timu zima ya uangalizi

Nawatakia Nane nane Njema, Hongereni pia kwa uzinduzi wa barabara ya makongorosi chunya aliyoifungua Mama Samia Leo huko Chunya
 
Wasiuane tu.
Maneno mengi ya nasaha yametolewa na Mzee Kikwete kama watakuwa Wamemuelewa mambo yatakaa sawa

Lakini ikitokea mgombea yeyote aliyeshindwa akashupaza shingo sijui kama watatoka salama
 
Nawatakia heri kwenye uchaguzi wao. Naamini na sisi tutafanya uchaguzi huru na wa haki ifikapo 2025.

Kilichotokea 2020, kamwe kisijirudie.
 
Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura
Sema siasa za MAFISI sio za Dar!
 
Nikiwa hapa uwanja wa kasarani Kenya kama mmoja wa watu wa uangalizi wa uchaguzi toka timu ya Afrika mashariki, Umoja wa Azimio unaongozwa na Raila Odinga unafunga kampeni Katika viwanja hivi vya kasarani

Diamond Platinum kama mwanamuziki maarufu hapa Afrika mashariki ametumbuiza hapa kwa nguvu ya kasi ya 6G kwenye viwanja hivi vya kasarani

Usiniulize swali kuhusu diplomasia yetu, Hapa Kenya anyone can do what he believe is right under Kenya Constitution ndio maana Diamond yupo hapa kasarani Kenya

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya siasa za Nairobi na Siasa za Dar es Salaam,

Siasa za Nairobi kwa mara ya kwanza hazina ukabila kabisa kwani wagombea wakuu wa nafasi ya Rais Odinga na Ruto wote sio wakikuyu

Wakikuyu niliojaribu kuwahoji kwa siku kadhaa ambazo Nipo hapa Nairobi wanasema Rais mstaafu Uhuru aliwaahidi mengi lakini hajafanya lolote maeneo yao ya Wakikuyu hivyo Katika uchaguzi huu wanaenda kufanya maamuzi magumu

Siasa za Kenya waandishi wa habari wameruhusiwa kupiga picha kura na masanduku ya kura wakati wote kwa kuweka camera kwenye sehemu ya kupigia kura

Siasa za Nairobi zimeruhusu wagombea kujumlisha kura zao

Mambo ni magumu sana kwenye siasa za Nairobi mwaka huu, Kwani maeneo ya Wakikuyu kwa mara ya kwanza yamekuwa Unpredictable vote areas, Wakikuyu hawana cha kupoteza kwa mara ya kwanza hivyo wamegawanyika kati ya wafuasi wa Odinga na Ruto

Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura

Kikubwa tunamshukuru kiongozi wetu mkuu wa timu ya Afrika mashariki Baba na Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete kwa ushauri wake na nasaha kwa timu zima ya uangalizi

Nawatakia Nane nane Njema, Hongereni pia kwa uzinduzi wa barabara ya makongorosi chunya aliyoifungua Mama Samia Leo huko Chunya
Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura[emoji848][emoji2827]
 
Kikwete
Platinumz
Bwege
Alafu Tanzania 🇹🇿 hakuna mkenya anayeitwa kwenye uchaguzi kwa lolote.
 
Kikubwa tunamshukuru kiongozi wetu mkuu wa timu ya Afrika mashariki Baba na Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete
Huyu naye si mwanadaresalama na kwenye changuzi za daresalama si anahusika huyu?.
 
mkuu, hakuna Mkenya anayeweza kuja tanzania akijua fika kwamba atalipwa hela ya madafu.
Puuzi kweli. Wamejazana kibao tunawafaham na tunawalipa hela za madafu wanalisha familia zao huko kwenyu kwa hela za madafu..
Shika adabu yako nyang'au. Hatuwaiti sababu hatuna la kujifunza kwenu. Mnatuita sababu tuna la kuwafunza. Juu hata mkiuana huwa mnatuita tuwasuluhishe.
Idiot
 
Nikiwa hapa uwanja wa kasarani Kenya kama mmoja wa watu wa uangalizi wa uchaguzi toka timu ya Afrika mashariki, Umoja wa Azimio unaongozwa na Raila Odinga unafunga kampeni Katika viwanja hivi vya kasarani

Diamond Platinum kama mwanamuziki maarufu hapa Afrika mashariki ametumbuiza hapa kwa nguvu ya kasi ya 6G kwenye viwanja hivi vya kasarani

Usiniulize swali kuhusu diplomasia yetu, Hapa Kenya anyone can do what he believe is right under Kenya Constitution ndio maana Diamond yupo hapa kasarani Kenya

Kuna utofauti mkubwa sana kati ya siasa za Nairobi na Siasa za Dar es Salaam,

Siasa za Nairobi kwa mara ya kwanza hazina ukabila kabisa kwani wagombea wakuu wa nafasi ya Rais Odinga na Ruto wote sio wakikuyu

Wakikuyu niliojaribu kuwahoji kwa siku kadhaa ambazo Nipo hapa Nairobi wanasema Rais mstaafu Uhuru aliwaahidi mengi lakini hajafanya lolote maeneo yao ya Wakikuyu hivyo Katika uchaguzi huu wanaenda kufanya maamuzi magumu

Siasa za Kenya waandishi wa habari wameruhusiwa kupiga picha kura na masanduku ya kura wakati wote kwa kuweka camera kwenye sehemu ya kupigia kura

Siasa za Nairobi zimeruhusu wagombea kujumlisha kura zao

Mambo ni magumu sana kwenye siasa za Nairobi mwaka huu, Kwani maeneo ya Wakikuyu kwa mara ya kwanza yamekuwa Unpredictable vote areas, Wakikuyu hawana cha kupoteza kwa mara ya kwanza hivyo wamegawanyika kati ya wafuasi wa Odinga na Ruto

Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura

Kikubwa tunamshukuru kiongozi wetu mkuu wa timu ya Afrika mashariki Baba na Mzee wetu Jakaya Mrisho Kikwete kwa ushauri wake na nasaha kwa timu zima ya uangalizi

Nawatakia Nane nane Njema, Hongereni pia kwa uzinduzi wa barabara ya makongorosi chunya aliyoifungua Mama Samia Leo huko Chunya
Siasa za Darisalaam zimejaa ushetani
 
Back
Top Bottom