Utofauti wa siasa za Dar es Salaam na Nairobi, Diamond Platinum amekiwasha hapa Kasarani

Utofauti wa siasa za Dar es Salaam na Nairobi, Diamond Platinum amekiwasha hapa Kasarani

Puuzi kweli. Wamejazana kibao tunawafaham na tunawalipa hela za madafu wanalisha familia zao huko kwenyu kwa hela za madafu..
Shika adabu yako nyang'au. Hatuwaiti sababu hatuna la kujifunza kwenu. Mnatuita sababu tuna la kuwafunza. Juu hata mkiuana huwa mnatuita tuwasuluhishe.
Idiot
Povu tupu.
Ukweli mchungu [emoji74] kalb hayawan.
 
Siasa za nyumbani Dar es Salaam zimetawaliwa na hisia za kuibiana kura na kukimbia na masanduku ya kura siku za uchaguzi

Siasa za Dar es Salaam zimetawaliwa na kuzuia makarani kuingia chumba cha kupigia kura[emoji848][emoji2827]
Aisee Niliipata aibu. Watz walipotaka hijack.Kenyan narrations. Walitaka eti wakafundishe wakenya. Ukabila,sijui kutoruhusu wapiga Kura wawe na data zao, sijui watu wasiingie ktk chumba cha kuhesabu Kura.


Kuapa yaani socialism/communism ni opium of the brain. Karl Marx was talking in reverse.
 
Cold solutions EA, largest of kind in East Africa coming up at Tatu City,,alafu Dodoma ulinganishe Na City kama hii Ni jokes
FB_IMG_1674982048546.jpg
 
Back
Top Bottom