Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hapa nchini viongozi wote wakubwa huwa wanawekwa viti vya kukalia vyenye utofauti na watendaji au washiriki wengine wanapokuwa katika matukio mbali mbali ya kikazi yanayohitaji vikao.
Ukiingalia kiti cha waziri mkuu au mawaziri wengine wanapokuwa kwenye vikao hivyo na watendaji wao utagundua mara zote vina utofauti na vingine.
Mantiki ya kuweka huu utofauti ni nini, ilianza lini na ina tija gani? Hivi kweli kwenye nchi yenye matatizo lukuki kama hii kuna watu wanalipiwa kufikiria na kufanya kazi kama hizo za kuchagua na kuweka viti vya kipekee kwa baadhi ya viongozi wa serikali?
Ukiingalia kiti cha waziri mkuu au mawaziri wengine wanapokuwa kwenye vikao hivyo na watendaji wao utagundua mara zote vina utofauti na vingine.
Mantiki ya kuweka huu utofauti ni nini, ilianza lini na ina tija gani? Hivi kweli kwenye nchi yenye matatizo lukuki kama hii kuna watu wanalipiwa kufikiria na kufanya kazi kama hizo za kuchagua na kuweka viti vya kipekee kwa baadhi ya viongozi wa serikali?