Utofauti wa viungo wa Simba na Yanga

Ushajulika ww ni myama umeongea kishabiki sio kitaalamu
 
Tunaheshimu mawazo yako,unaweza kuwa sahihi japo kwa asilimia chache...
 
Mkude hamna kitu kabisa analindwa na Chama na Kotel Mudathir alipandisha Singida umesahau?
 
NGOJA LIGI IANZE, TUTAONESHANA MAKALI TU

YANGA
 
Mkude hamna kitu kabisa analindwa na Chama na Kotel Mudathir alipandisha Singida umesahau?
Hapo Singida Mudathir alicheza mwenyewe?... kwa hiyo Mkude hajaipeleka Simba Robo fainal CAF CL?
Mkude analindwa na Chama + Kotei.. je Kotei + Chama wanalindwa na nani?
Punguza utoto
 
Akili ya mikia fc.
 
Hapo Singida Mudathir alicheza mwenyewe?... kwa hiyo Mkude hajaipeleka Simba Robo fainal CAF CL?
Mkude analindwa na Chama + Kotei.. je Kotei + Chama wanalindwa na nani?
Punguza utoto
Wewe bisha lakini kwa Tanzania Mudathir uwezo wake mkubwa sana ndio sababu Kocha wa taifa ameona uwezo wake sema yupo sana low profile sana Muda tegemeo Zanzibar timu ya taifa na bara pia
 
Hapa sijaona utofauti..nimeona mapungufu ya viungo was yanga
 
Umeongea kweli, miaka mingi Yanga tunajivunia winga zenye spidi uku Simba ni viungo wazuri.
Miaka ya karibuni Kuna kiungo kama Kamusoko??aliwasha Moto mpaka Egypt mechi na Al Ahly sio viungo wa mikia away games kama wameloweshwa maji
 
Wewe bisha lakini kwa Tanzania Mudathir uwezo wake mkubwa sana ndio sababu Kocha wa taifa ameona uwezo wake sema yupo sana low profile sana Muda tegemeo Zanzibar timu ya taifa na bara pia
Nani amekataa Mudathir sio middle mzuri?... Unakosea kusema Azam ndio ina viungo bora nchi hii.
Kucheza taifa hata SONSO anacheza na BANDA anaachwa...
Na ukimtupia pale YANGA ya sasa hapati namba.. Simba pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…