Utokaji wa bikra

Utokaji wa bikra

Turufuu

Senior Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
182
Reaction score
54
Nawatakieni
kheri ya shughuli zenu zote za ujengaji wa taifa letu pendwa,
Pili naomba kujuzwa eti mwanamke anaweza kutolewa bikra bila ya kutoka
damu?
Lakini huwa na skia maumivu makali wakati wa tendo kwa mara ya kwanza, na kwa mwanamme husika hua anasikia maumivu
ya uume wakati anapomuingiza uume kwa mara ya kwanza kutokana na ugumu wa hiyo bikra ya huyo mwanamke ambae
hakuzaliwa na ule ugozi ya bikra? HIVI NDIVO ALIVONIHADISIA BIBI YANGU
(SHANGAZI WA BABA ANGU) Je wadau kuna ukweli wowote kuhusu hilo?
 
hayo mengine siwezi kuyajibu wataalam watakuja. nijuavyo niku wa kitenda cha uume kuingia ukeni ni taarifa tosha kuwa huyo mtu sio bikra tena. Bikra ni yule ambaye hajawahi kuguswa. swala la damu ama sio damu yanaweza kuwa kiashiria cha kuguswa na kutokuguswa lakini hayaelezei ubikira.😛hoto:

kama kuna mwanamke anajiona bikira kwa kutengeneza hospitalini ni mjinga na mdanganyifu tu, kwakuwa alishawahi kuruhusu uume hapo kabla.Nijuavyo mimi mwanamke Bikira ni yule ambaye hajawai kuguswa kabisa.
 
hapohapo je mwanamke anaweza kuwa bikra, na anapo ingiliwa kwa maandalizi na uume kuingia kwa ugumu na yeye asitokwe na damu???....let say mwanamke alie pita miaka 18!!!!
 
hayo mengine siwezi kuyajibu wataalam watakuja. nijuavyo niku wa kitenda cha uume kuingia ukeni ni taarifa tosha kuwa huyo mtu sio bikra tena. Bikra ni yule ambaye hajawahi kuguswa. swala la damu ama sio damu yanaweza kuwa kiashiria cha kuguswa na kutokuguswa lakini hayaelezei ubikira.😛hoto:

kama kuna mwanamke anajiona bikira kwa kutengeneza hospitalini ni mjinga na mdanganyifu tu, kwakuwa alishawahi kuruhusu uume hapo kabla.Nijuavyo mimi mwanamke Bikira ni yule ambaye hajawai kuguswa kabisa.

Vp mwanamke anaweza kuwa bikra na bado uume bado ukaingia
 
Vp mwanamke anaweza kuwa bikra na bado uume bado ukaingia
hawezi kuwa bikra ikiwa uume ulishawahi kugusa K yake. Na kwakuongeza tu, hii Hii hahusishi membrane kupasuka na kutoa damu, ..kwani inaweza kutoka kupitia michezo, kuendesha baiskeli nk. na akaendelea kuwa bikra. hivyo sio kigezo, kigezo cha ubikra kinahusiana kutokujamiiana ama kuruhusu uume kuingia ukeni..
 
Ze duduz kasema vema. Bikira ni msichana ambae hajawahi kujamiana yaan uume haujaingia ukeni mwake. Hali kadhalika na mwanaume pia bikira ambaye hajaingiza uume wake ukeni tangu kuzaliwa kwake.
 
Back
Top Bottom