Mkuu speed siyo ishu, ila jaribu kuchek genetically kama mnaweza pata watoto, kuna case moja mke na mme waliishi miaka mingi bila watoto, lakin kila mmoja alipoenda kwa mtu mwingine wote walipata watoto. Kuna mtu ambaye kamwe huwezi pata mtoto naye hata ufanye nin. Pili kama watangulizi walivyosema usikanie sana. Binafsi niliwah kania sana kumpa binti mmoja mimba lakini haikuwezekana, nilipokata tamaa na kuwa normal bint alipata hiyo mimba. Trust me uko normal na utapata mtoto lakin don't be so eager kuhusu hili jambo