Utokaji wa mbegu za kiume(speed)

Utokaji wa mbegu za kiume(speed)

Habari, wanajamvi
naomba msaada mpaka sasa bado mwenzenu sjabahatika kupata mtoto
Swali langu ni Je,
nikishaanza kutoa mbegu(kupiz) huwa haziruki zinatoka kama vile unamimina maji kutoka kwenye kikombe kwenda chini, sasa naweza mpa mke wangu ujauzito?
Kuna watu wanasema haiwezekani lkn inasemekana kuwa hata ukigusisha tu uume mbegu zinachungulia m/ke anaweza kupata mimba!
Naombeni msaada wa maelezo kwa kina!!
ASanten!!
Mkuu, Bila Shaka mmeshapata mtoto na mkeo!! Au bado mambo si mambo?
 
Ninapo sema kuwa walisema sina tatzo ni baada ya kupata dawa, lkn Before nilikuwa na tatzo sjakataa kweli labda nimechanganya maelezo hapo juu!
Baada sasa ya kumaliza dose na kurudia vipimo teena hosptal 2 tofauti kulionekana hakuna tatzo kabisa lkn Utokaji wake mpaka sasa si kuruka bali zinatoka kawaida kaka, sjui kama nimeelewaka?

lkn pia nashukuru kwa ushauri wako kama Tiba hapo juu maana ni moja kati ya yaliyonileta hapa Jf-Dr. Ubarikiwe!!
Ukisha mwaga shahawa ndani ya uke huwa zinakawaida ya kurudi nje ya uke au hubakia humo humo ndani?
 
TEMBELEENI HEALTH POINT KATIKA FACEBOOK MTAONA VITU ADIMU HAPOO
 
Ukisha mwaga shahawa ndani ya uke huwa zinakawaida ya kurudi nje ya uke au hubakia humo humo ndani?


samahan kwa kutojib kwa wakati nilibanwa kidogo na majukumu.
yah sometimes huwa haziji nje siku nyingine zinatoka kifupi mara chache sana kutoka nje.
 
Mkuu ukiwa una do na mamsap wewe relax tu. Usiwe una do huku ukiweka akilini kwako kuwa na do ili wife apate mimba, hapana. Mimba huwa zinaingia ukiwa/mkiwa wote hamna stress.
 
Nimekupata mkuu asante!!
 
Nimekupata mkuu asante!!
Shauri ya mipunyeto yenu ya kila siku. Umejeuaje zinatoka kama unamimina gundi?

Moja ya kipimo cha mimi kugundua hivyo ukienda kufanya kipimo sperm analysis hawapigi sindano kwenye pu*b* ili kupata hizo mbegu hosptal nyingi wanatumia njia hii ya kawaida
Kwahyo inatosha sana kujijua!!
 
Kam
Shauri ya mipunyeto yenu ya kila siku. Umejeuaje zinatoka kama unamimina gundi?[/QUOTE
Kama huna ujualo ni bora kukaa kimya tu maana pia utakuwa umemsaidia kuliko kumu irritate ,
 
Kama zinatoka kwa kumiminika ujue una miaka miwili tu kupoteza kabisa nguvu za kiume....
 
Speed niliwahi kusikia inachangia niseme kisa kimoja kwa ufupi mama mmoja alishindwa kupata mimba kwa mda na mumewe akawa htk vipimo sasa mama mzima ila baba ilionekana ana shida kdg DAKTARI AKAMWAMBIA MCHUNGUZE MUMEO KAMA ANAWEZA KURUSHA MKOJO MBALI tena mkojo wa kawaida na jaribu kufikiria nhs hilo lina ukweli ndani yake hivyo usidharau
 
Speed niliwahi kusikia inachangia niseme kisa kimoja kwa ufupi mama mmoja alishindwa kupata mimba kwa mda na mumewe akawa htk vipimo sasa mama mzima ila baba ilionekana ana shida kdg DAKTARI AKAMWAMBIA MCHUNGUZE MUMEO KAMA ANAWEZA KURUSHA MKOJO MBALI tena mkojo wa kawaida na jaribu kufikiria nhs hilo lina ukweli ndani yake hivyo usidharau


asante mkuu ndio maana nikaja hapa nikiwa naiman jf ni mkusanyiko wa watu wengi na wangine ni zaidi ya madoctor!.
 
Mkuu speed siyo ishu, ila jaribu kuchek genetically kama mnaweza pata watoto, kuna case moja mke na mme waliishi miaka mingi bila watoto, lakin kila mmoja alipoenda kwa mtu mwingine wote walipata watoto. Kuna mtu ambaye kamwe huwezi pata mtoto naye hata ufanye nin. Pili kama watangulizi walivyosema usikanie sana. Binafsi niliwah kania sana kumpa binti mmoja mimba lakini haikuwezekana, nilipokata tamaa na kuwa normal bint alipata hiyo mimba. Trust me uko normal na utapata mtoto lakin don't be so eager kuhusu hili jambo
 
Mkuu speed siyo ishu, ila jaribu kuchek genetically kama mnaweza pata watoto, kuna case moja mke na mme waliishi miaka mingi bila watoto, lakin kila mmoja alipoenda kwa mtu mwingine wote walipata watoto. Kuna mtu ambaye kamwe huwezi pata mtoto naye hata ufanye nin. Pili kama watangulizi walivyosema usikanie sana. Binafsi niliwah kania sana kumpa binti mmoja mimba lakini haikuwezekana, nilipokata tamaa na kuwa normal bint alipata hiyo mimba. Trust me uko normal na utapata mtoto lakin don't be so eager kuhusu hili jambo



thanx mkuu!!
 
Hapa umenijibu kuwa ulishaenda hospitali na ukaambiwa huna tatizo lolote.




Hapa tena unasema ulishaenda hospitali ukaambiwa volume ndo ilikuwa chini.

Sasa mkuu hujiamini kwenye maelezo yako mara huna tatizo mara una tatizo.

Kwa kifupi una low sperm count yaani mbegu zako ni chache. Fanya yafuatayo:
1. Kula tikiti maji kila siku, kama unaweza kula zima peke yako
2. Kaanga kidogo mbegu za maboga na uwe unakula kila siku ujazo wa kama vijiko vikubwa 3 kila siku
3. Tumia asali na mdalasini vijiko 2 kila uendapo kulala
4. Acha vileo, acha vinywaji baridi vya viwandani
5. Usifanye mapenzi kila mara, jaribu kupumzika kama wiki 2 hivi halafu ulale na wife kwenye zile siku zake hatari kabisa za kupata ujauzito.
6. Kunywa maji mengi mpaka lita 3.7 kila siku.

Fanya yote haya kwa mwezi mmoja halafu utaniambia matokeo.
Kula Almond (Lozi) #1Oct 17, 2011

Lozi (Almond):

Lozi inajulikana kama ni King katika jamii ya njugu, ina elements karibia ya zote zinazohitajika katika mwili wa mwanadam. Ni chakula chenye kutia nishati mwili na akili.
Kuna aina mbili za Lozi, kuna lozi zile tamu na kuna lozi chungu kuna zenye ngozi nyembamba (thin-skinned) na kuna zenye ngozi nene(thick-skinned) hii ni katika aina ya lozi tamu ambazo ndio tunazozitumia na tunahitajika kutumia ama zile lozi chungu zina prussic acid ambayo ni sumu hata hivo hizo lozi chungu zinatumika katika mambo ya kutengenezea cosmetics, mafuta ya lozi (almond oil) pia na perfum
 
Back
Top Bottom