Mkuu, Bila Shaka mmeshapata mtoto na mkeo!! Au bado mambo si mambo?Habari, wanajamvi
naomba msaada mpaka sasa bado mwenzenu sjabahatika kupata mtoto
Swali langu ni Je,
nikishaanza kutoa mbegu(kupiz) huwa haziruki zinatoka kama vile unamimina maji kutoka kwenye kikombe kwenda chini, sasa naweza mpa mke wangu ujauzito?
Kuna watu wanasema haiwezekani lkn inasemekana kuwa hata ukigusisha tu uume mbegu zinachungulia m/ke anaweza kupata mimba!
Naombeni msaada wa maelezo kwa kina!!
ASanten!!
Ukisha mwaga shahawa ndani ya uke huwa zinakawaida ya kurudi nje ya uke au hubakia humo humo ndani?Ninapo sema kuwa walisema sina tatzo ni baada ya kupata dawa, lkn Before nilikuwa na tatzo sjakataa kweli labda nimechanganya maelezo hapo juu!
Baada sasa ya kumaliza dose na kurudia vipimo teena hosptal 2 tofauti kulionekana hakuna tatzo kabisa lkn Utokaji wake mpaka sasa si kuruka bali zinatoka kawaida kaka, sjui kama nimeelewaka?
lkn pia nashukuru kwa ushauri wako kama Tiba hapo juu maana ni moja kati ya yaliyonileta hapa Jf-Dr. Ubarikiwe!!
Ukisha mwaga shahawa ndani ya uke huwa zinakawaida ya kurudi nje ya uke au hubakia humo humo ndani?
Mkuu ukiwa una do na mamsap wewe relax tu. Usiwe una do huku ukiweka akilini kwako kuwa na do ili wife apate mimba, hapana. Mimba huwa zinaingia ukiwa/mkiwa wote hamna stress.
utapata Tu usijali, vuta subirakama ni mzee Heshima yako!!
bado mambo si mambo
Shauri ya mipunyeto yenu ya kila siku. Umejeuaje zinatoka kama unamimina gundi?
Shauri ya mipunyeto yenu ya kila siku. Umejeuaje zinatoka kama unamimina gundi?[/QUOTE
Kama huna ujualo ni bora kukaa kimya tu maana pia utakuwa umemsaidia kuliko kumu irritate ,
Speed niliwahi kusikia inachangia niseme kisa kimoja kwa ufupi mama mmoja alishindwa kupata mimba kwa mda na mumewe akawa htk vipimo sasa mama mzima ila baba ilionekana ana shida kdg DAKTARI AKAMWAMBIA MCHUNGUZE MUMEO KAMA ANAWEZA KURUSHA MKOJO MBALI tena mkojo wa kawaida na jaribu kufikiria nhs hilo lina ukweli ndani yake hivyo usidharau
Mkuu speed siyo ishu, ila jaribu kuchek genetically kama mnaweza pata watoto, kuna case moja mke na mme waliishi miaka mingi bila watoto, lakin kila mmoja alipoenda kwa mtu mwingine wote walipata watoto. Kuna mtu ambaye kamwe huwezi pata mtoto naye hata ufanye nin. Pili kama watangulizi walivyosema usikanie sana. Binafsi niliwah kania sana kumpa binti mmoja mimba lakini haikuwezekana, nilipokata tamaa na kuwa normal bint alipata hiyo mimba. Trust me uko normal na utapata mtoto lakin don't be so eager kuhusu hili jambo
Kula Almond (Lozi) #1Oct 17, 2011Hapa umenijibu kuwa ulishaenda hospitali na ukaambiwa huna tatizo lolote.
Hapa tena unasema ulishaenda hospitali ukaambiwa volume ndo ilikuwa chini.
Sasa mkuu hujiamini kwenye maelezo yako mara huna tatizo mara una tatizo.
Kwa kifupi una low sperm count yaani mbegu zako ni chache. Fanya yafuatayo:
1. Kula tikiti maji kila siku, kama unaweza kula zima peke yako
2. Kaanga kidogo mbegu za maboga na uwe unakula kila siku ujazo wa kama vijiko vikubwa 3 kila siku
3. Tumia asali na mdalasini vijiko 2 kila uendapo kulala
4. Acha vileo, acha vinywaji baridi vya viwandani
5. Usifanye mapenzi kila mara, jaribu kupumzika kama wiki 2 hivi halafu ulale na wife kwenye zile siku zake hatari kabisa za kupata ujauzito.
6. Kunywa maji mengi mpaka lita 3.7 kila siku.
Fanya yote haya kwa mwezi mmoja halafu utaniambia matokeo.