redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Simba ndio timu ambayo iliwahi kumtumia mchezaji wake wa Zamani Ulimboka Mwakingwe aende ku mhonga aliyekua Golikipa wa mtibwa na timu ya Taifa Shabani Kado.
Kado aliwapa taarifa viongozi wa Mtibwa ambao waliamua kutega mtego na kufanikiwa kumkamata Ulimboka.
Baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi Ulimboka alidai fedha izo kiasi Cha shilingi laki nne walizomkutanazo alikua akienda kumlipa deni lake Shabani Kado Golikipa wa Mtibwa.
Polisi Waka mlaza mahabusu na kumwachia kesho yake asubuhi Kwa dhamana.
Uongozi wa Simba ulipoulizwa kuhusu swala ilo walitoa majibu yasiyo eleweka.
Naye aliyewahi kuwa kocha wa Mtibwa,. Abdalah kibadeni alisema anao ushahidi usio na shaka Kwa Moja ya klabu iyo kubwa kutaka kumhonga Ili wapate wepesi katika mechi dhidi Yao Mtibwa shuga.
Tff walitaka ushahidi na yeye Kibadeni akapeleka ushahidi lakini swala hilo alijulikani lilikwisha Kwa staili gani.
Kado aliwapa taarifa viongozi wa Mtibwa ambao waliamua kutega mtego na kufanikiwa kumkamata Ulimboka.
Baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi Ulimboka alidai fedha izo kiasi Cha shilingi laki nne walizomkutanazo alikua akienda kumlipa deni lake Shabani Kado Golikipa wa Mtibwa.
Polisi Waka mlaza mahabusu na kumwachia kesho yake asubuhi Kwa dhamana.
Uongozi wa Simba ulipoulizwa kuhusu swala ilo walitoa majibu yasiyo eleweka.
Naye aliyewahi kuwa kocha wa Mtibwa,. Abdalah kibadeni alisema anao ushahidi usio na shaka Kwa Moja ya klabu iyo kubwa kutaka kumhonga Ili wapate wepesi katika mechi dhidi Yao Mtibwa shuga.
Tff walitaka ushahidi na yeye Kibadeni akapeleka ushahidi lakini swala hilo alijulikani lilikwisha Kwa staili gani.