mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Usiyempenda kaja!! Utopolo huna jinsi, inabidi ukubali tu simba gari kubwa!! Likiwaka gari zote zilizotangulia zinakuwa kama baiskeli za miti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga anamshauri simba ajenge team......Simba kaeni mtulize akili mjenge team aisee.
Utopolo mmejenga timu. Hatukatai CAf mmetoka na magoli/point ngapi mmeshinda mechi ngapi?[emoji850][emoji2958][emoji850]Simba kaeni mtulize akili mjenge team aisee.
Subirj ushinde meçhi zako kama ni za kushindia mdomoni!! Coastal anawasubiri !Acha shombo za samaki wewe, kaja wapi sasa, kwani si kila mtu atashinda gamezake tu basi, acha uropouropo ww mtoto mdogo
tutawafunga, mdomo mwakahuuSubirj ushinde meçhi zako kama ni za kushindia mdomoni!! Coastal anawasubiri !
Wamemsajili manara ili awape makombe etiYaan mashabiki UTOPOLO kweli mavi matupu yaan UTOPOLO wa kumshauri Mnyama ajenge timu wakati wewe miaka 4 hupati kombe la ligi huwa nacheka sana yaan mtu miaka 4 kaacha shule anazurulazurula jangwani kusoma hataki halafu anakushauri wewe soma kuna NECTA
Simba hii iliyocheza na Dodoma mji haina uwezo hata wa kushinda kombe la "UMITASHUNTA"Usiyempenda kaja!! Utopolo huna jinsi, inabidi ukubali tu simba gari kubwa!! Likiwaka gari zote zilizotangulia zinakuwa kama baiskeli za miti.
Simba kaeni mtulize akili mjenge team aisee.
Yanga anamshauri simba ajenge team......
Asee maisha yanaenda kasi.
Asa unajiuliza yeye team anayo?Hao ndiyo Utopolo sasa