Kama unaamini mkataba ni wa uongo, tuwekee hapa wa ukweli tuuone..Shida kila sehemu ni siasa, na sisi kwa upuuzi tunashabikia. Tumeona hii mikataba ya Simba na Yanga? Au tunafurahia figures tu? Ndio maana tunapigwa sana na wanasiasa, huwa hatuna uwezo wa kuhoji.
Kilichobaki ni wewe kupigwa doko na hao mbumbumbu, bado kidogo tu.Kujiweka kwenye Levo za Al Ahally FC ni umbumbumbu bila ya kombe la WANAUME la klabu Bingwa Afrika.