Acha zako we mikia fc.Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
Who are you ktk footballUtopolo ni Simba na Yanga,uzuri hata JPM alishalisemea hili siku anawaapisha mawaziri
Sio vbaya kuota mchanaNyie mtaendelea kuwaita tu Utopolo lakini ndio wanakwenda kuwa mabingwa wapya wa VPL msimu huu 2020/21 na ndio watakao kwenda kutuwakilisha kimataifa.
Utopolo platinumz labda hvyoSasa hivi WANAJIITA platinum
Snura FC, Utopolo, Manyani FC, Vyura FC, Mafuriko FC, MALALAMIKO FC, GONGO WAZI FC, PekuPeku FC nk nkYanga ndio kilabu kinachoongoza kwa majina ya utani yani, nicknames halafu zote zimelenga kuidhoofisha. 🤣🤣🤣🤣🤣
Utopolo FC, Vyura FC, Mikia FC hahahah
.Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
Hivi maana yake ni nini hilo neno kwa mujibu wa mashaka?Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Heri ya Xmas na Mwaka Mpya Utopolo wote wa JF
Hapa wa kumwuliza ni Mashaka Mwenyewe.Hivi maana yake ni nini hilo neno kwa mujibu wa mashaka?
Mashaka alisema utopolo ni kitu cha hovyo hovyo.Hivi maana yake ni nini hilo neno kwa mujibu wa mashaka?
Halafu utopolo limewapendeza, kwa kifupi tunawaita wazee wa Uto!!!!!Utopolo linadumu sana.
Mengine kama vyura fc,mafuriko fc,washamba fc na sasa Madera fc yatapita ila Uto kama Uto litadumu.
View attachment 1659486