Utosi wa mtoto haudundi

Utosi wa mtoto haudundi

Chokochoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2011
Posts
438
Reaction score
184
wapendwa wanajf anaejua elimu ya utosi wa mtoto kudunda anijuze fasta naomba maana naona utosi wa kichanga changu hauchezi sina raha jamani nisaidieni sijawahi kuona utosi wamtoto mchanga usicheze angali mchanga
 
mkuu.@Chokochoko usitake ushauri wa watu hapa kabla ya mtoto wako kumpeleka Hospitali nenda hospitali kamuone Daktari muhusika wa watoto wachanga atakufahamisha nini cha kufanya. Kwani mtoto wako anaumwa?Kama mtoto wako haumwi kuna tatizo gani kuhusu Utosi wake ikiwa haudundi?
 
Back
Top Bottom