Utoto hutegemea hali ya uchumi, hali ya uchumi ikiwa ngumu utoto huisha mapema

Utoto hutegemea hali ya uchumi, hali ya uchumi ikiwa ngumu utoto huisha mapema

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1640222921256.png

Hali ya uchumi ikiwa nzuri kunakuwa na mpishi wa kupika na mtoto huitwa chakula kikiwa tayari. Anakua na michezo ya kuchezea na nguo zinazohitajika kwa wakati, mfano za kukalia, za shule, za ibada nk.

Elimu ndiyo imetoa nafasi kwa watoto wengi kupata muda wa kufaidi utoto wao wawapo shuleni. Wengine wakirudi nyumbani wana majukumu ya kutunza wazazi wagonjwa na kujitafutia chakula.
 
Na watoto wa aina hii ndiyo wanaokomaa kiakili na kimtazamo mapema. Hata nidhamu ya pesa ya wanakuwa nayo katika umri mdogo kabisa. Na huwa ukubwani mafanikio hayawakwepi kabisa kwa sababu wamejifunza upambanaji na heshima ya pesa tangu wadogo.
 
View attachment 2054076
Hali ya uchumi ikiwa nzuri kunakuwa na mpishi wa kupika na mtoto huitwa chakula kikiwa tayari. Elimu ndiyo imetoa nafasi kwa watoto wengi kupata muda wa kufaidi utoto wao wawapo shuleni. Wengine wakirudi nyumbani wana majukumu ya kutunza wazazi wagonjwa na kujitafutia chakula.
Ccm inapenda wote tuishi hivi.
 
Ni kweli kabisa Sky babaangu alipokufa nina miaka 11, Baba alikua ni kila kitu,mama alikua analia tu miaka 15 iliyofuata analia tu.

Ndio Mtoto wa kiume mkubwa basi nikawa ndo Baba tena aisee nilifanya kila kitu, kuuza karanga nimo, big G nimo, mayai ya kuku nimo,kuiba nimo, kuuza kuku nimo,kuna malaya mmoja anaitwa tatu akijiuza akirudi na visenti vyake ananiita naenda kula mbususu anigawie visenti nimo,saa ingine yuko na wenzake tunapiga threesome fresh tu nimo,kuvuta bange nimo,gongo nna miaka 14 nimo,ujambazi nimo mpk leo naonaga km nimepitia movie la kutisha sana.
 
Ni kweli kabisa Sky babaangu alipokufa nina miaka 11, Baba alikua ni kila kitu,mama alikua analia tu miaka 15 iliyofuata analia tu.
Ndio Mtoto wa kiume mkubwa basi nikawa ndo Baba tena aisee nilifanya kila kitu, kuuza karanga nimo, big G nimo, mayai ya kuku nimo,kuiba nimo, kuuza kuku nimo,kuvuta bange nimo,gongo nna miaka 14 nimo,ujambazi nimo mpk leo naonaga km nimepitia movie la kutisha sana.
Pole sana lakini kisicho kuua hukuimarisha.
 
Trick question: Kama umepita na imekuwa vyema kwako, utampitisha mtoto huko? Hata Mimi nimepita Na sasa Ni mtu mzima, najitahidi Sana kulea wanangu tofauti.
Hayo maisha sikuomba kupitia na hakuna anayeomba kupitia ugumu fulani, lakini niliyapitia.
Sitapenda watoto wangu wapitie aina hii ya maisha, lakini ntawafundisha wajifunze kuwa na shukrani kwa maisha nitakayowapa kwa sababu mimi sikuyapata maisha aina hiyo.
 
Ni kweli kabisa Sky babaangu alipokufa nina miaka 11, Baba alikua ni kila kitu,mama alikua analia tu miaka 15 iliyofuata analia tu.
Ndio Mtoto wa kiume mkubwa basi nikawa ndo Baba tena aisee nilifanya kila kitu, kuuza karanga nimo, big G nimo, mayai ya kuku nimo,kuiba nimo, kuuza kuku nimo,kuvuta bange nimo,gongo nna miaka 14 nimo,ujambazi nimo mpk leo naonaga km nimepitia movie la kutisha sana.
Pole sana mkuu. Kikubwa hukukata tamaa na leo upo hapa ni ithibati kuwa wewe ni shujaa.
 
Hayo maisha sikuomba kupitia na hakuna anayeomba kupitia ugumu fulani, lakini niliyapitia.
Sitapenda watoto wangu wapitie aina hii ya maisha, lakini ntawafundisha wajifunze kuwa na shukrani kwa maisha nitakayowapa kwa sababu mimi sikuyapata maisha aina hiyo.
Hata ukiwaona watoto wanaoishi maisha magumu unajua maumivu wanayopitia. Pole sana.
 
Pole sana mkuu. Kikubwa hukukata tamaa na leo upo hapa ni ithibati kuwa wewe ni shujaa.
Acha tu mkuu, niliingia maisha ya mtaani mapema sana niliona nikilemaa hapa familia inaisha hapa.
Yaani kuna siku mpk nikaiba mabati home maza hajui mpk leo,nikaenda kuuza kwa mchaga shirima na nikaondoka kwenda kudai kodi mkoa mwingine tuliohama kimikwara na walilipa.
Nikarudi nikampa maza yote.
Yaani duh🤦‍♂️
Nimeenda Dar kwa lift ya londo moja hivi, mvua inanyesha balaa turubai linavuja mvua yote yangu.alienipa lift kanunua mbuzi wawili nikawa nao nyuma huko mpaka Dar🤣🤣🤣
 
Niko parefu sana niliimarisha enzi na mpaka leo ndio nahudumia familia yote.
Kuna kaka alinihadithia ya kwake, baba yao alifariki, ambae alikua mfanya kazi. Baada ya msiba mama akawa mtunza familia. Siku za sikukuu majirani walitoa mchele wapikiwe. Mama alikosa mboga, alikaanga nyanya na vitunguu kwenye mafuta ya mawese. Hii ndiyo mboga ya kulia wali wa sikukuu.

Jamaa alipotoboa alijenga apartments, za chini moja alimuweka mama yake.
 
Kuna kaka alinihadithia ya kwake, baba yao alifariki, ambae alikua mfanya kazi. Baada ya msiba mama akawa mtunza familia. Siku za sikukuu majirani walitoa mchele wapikiwe. Mama alikosa mboga, alikaanga nyanya na vitunguu kwenye mafuta ya mawese. Hii ndiyo mboga ya kulia wali wa sikukuu.

Jamaa alipotoboa alijenga apartments, za chini moja alimuweka mama yake.
Ndio inavyotakiwa,maza mpk leo akisema chochote namwambia tu hela yako ipo usijali.
Huyu mama mi naondoka mara yapili kanipikia mabumunda mikate ile na thermos ya chai tukaagana.
Nikaondoka.
Mada yako umenikumbusha mbali sana kwakweli
 
Tuwaheshimu wazazi wetu kusema kweli,walitenda mambo kwa roho moja.leo hii tunaishi bado na baraka zipo tu.
 
Na watoto wa aina hii ndiyo wanaokomaa kiakili na kimtazamo mapema. Hata nidhamu ya pesa ya wanakuwa nayo katika umri mdogo kabisa. Na huwa ukubwani mafanikio hayawakwepi kabisa kwa sababu wamejifunza upambanaji na heshima ya pesa tangu wadogo.
Cycle of poverty everyday.

Hana mazingira ya kutoboa huyo.

Rahisi sana kuongea.
 
Back
Top Bottom