Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Mimi wazazi wangu wote nilikuwanao lakini mmmmmh, mambo yalikuwa magumusana darasa la kwanza mbaka la saba bila viatu, wakati wakutoka shule mchana naungua sana na jipoza pembeni ya barabara kwenye majani then nikipoa safari inaendelea hayo ndio yalikuwa maisha yangu kilometa 4 kwa miguu bila viatu kwa miaka saba shuleni mbaka bro alipokuja kuni nunulia viatu.
Nikiwa na miaka 8 tayari najua maisha, nalima nafua namlea mdogowangu namkorogea uji wakati wazazi wapo shamba, nabeba kilo 15 za mahindi natembeanazo kilomeza 7 kwenda na kurudi, kila wiki kwenda kusaga unga.
Daaaaah, jamani MUNGU yupo siamini jinsinilivyo sasa hapanilipo, nawakumbuka sana wenzangu tuliokuwanao katika mazingira hayo huko waliko sijui maisha yao yakoje,
Namwomba MUNGU awape faraja.
Nikiwa na miaka 8 tayari najua maisha, nalima nafua namlea mdogowangu namkorogea uji wakati wazazi wapo shamba, nabeba kilo 15 za mahindi natembeanazo kilomeza 7 kwenda na kurudi, kila wiki kwenda kusaga unga.
Daaaaah, jamani MUNGU yupo siamini jinsinilivyo sasa hapanilipo, nawakumbuka sana wenzangu tuliokuwanao katika mazingira hayo huko waliko sijui maisha yao yakoje,
Namwomba MUNGU awape faraja.