yassird200
JF-Expert Member
- Jan 2, 2025
- 466
- 813
- Thread starter
- #61
OK! VzuriKabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK! VzuriKabisa
Achana na habari za hao wanawake kijana, pambania maisha yako, huo ndio umri sahihi wakutengeneza future yako.Mkuu. japo kuwa sina assets lkn sipo shallow. Nafanyakazi japo ndo namwaka ila situmii pesa yangu vibaya
Wanawake hawapo kazini tu hata mtaani wamejazana wengi.Nafikria hivyo japo inakuwa ngum kwng kwn nahangaikaga san kupata mwanamke sahihi waliop karibu ni Aged hapa kazini
Uko sahihiAchana na habari za hao wanawake kijana, pambania maisha yako, huo ndio umri sahihi wakutengeneza future yako.
Wanawake hawapo kazini tu hata mtaani wamejazana wengi
Mda kakaWanawake hawapo kazini tu hata mtaani wamejazana wengi.
Mda unao ni vile hujui namnaMda kaka
Ndio mkuu. Mambo vp?Huu nao utoto
Mda unao ni vile hujui namna
Ndio kiwastani mm sio mwepesi kuvunja nakuanzaMda unao ni vile hujui namna
Amependa unachomfanyia ndo maana anasimulia 😛 huyo ndo mzuri. Mwambie tu asisimulieWakuu habari zenu, natumai mu wazima wa afya. Changamoto yangu iko hivi niko 20s lakini sijawahi kupata mwanamke seriously wote wanautoto mwingi sana.
Jambo lilonifanya nifikirie kudate na wanawake wakubwa, finally nimempata huyu best ake sister nikidhani yuko matured lakini chakushangaza kila Jambo anasimulia dada yangu mbaya zaidi yuko 30s. Binafsi me ni mtu nisiependa utoto mwingi na kuweka wazi mahusiano yangu jambo hili linafanya nisiwe na amani napata shida hasa kumuangalia sister make utani nimwingi japo sio negative.
Je ni mimi niko nje ya wakati ama niko sahihi hasa amani? NB: natafta namna sahihi yakuachana nae au nakosea wakuu?
Naona mna team work ti mkuuAmependa unachomfanyia ndo maana anasimulia 😛 huyo ndo mzuri. Mwambie tu asisimulie
Poa tu, shkamoo broNdio mkuu. Mambo vp?
Nionee huruma, jamani nakupendaa. The love of my life. Mimi ndio yule yule unayemuwekaga blacklist..Poa tu, shkamoo bro
Nakuweka tena huko hukoNionee huruma, jamani nakupendaa. The love of my life. Mimi ndio yule yule unayemuwekaga blacklist..
Please don't do that sweetheart. Nionee huruma..Nakuweka tena huko huko
Basi komaa mwambie hupendi na hutaki kuona hiyo tabia.Ndio kiwastani mm sio mwepesi kuvunja nakuanza
Nimeamua kuwa single mkuu.Basi komaa mwambie hupendi na hutaki kuona hiyo tabia.
Basi n vyema sana ila matumizi ya sabuni yasizidi.Nimeamua kuwa single mkuu.