SI KWELI UTPC yamtaka Dkt. Slaa kuomba radhi kwa kauli yake inayodhalilisha waandishi wa habari

SI KWELI UTPC yamtaka Dkt. Slaa kuomba radhi kwa kauli yake inayodhalilisha waandishi wa habari

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Julai 12, 2023, Balozi mstaafu wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari alitoa kauli inayotuhumu waandishi wa habari kwa kufanya upotoshaji wa matamshi yake kwenye sakata la uwekezaji wa Bandari.

Baada ya kauli hii, wadau mbalimbali walianza kutoa maoni yao ambapo jioni ya siku hiyo ilianza kusambaa barua inayodaiwa kutolewa na Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ikionesha masikitiko na kulaani kauli za Dkt. Slaa.

Barua hiyo ilienda mbali zaidi kwa kumtaka Dkt. Slaa kumba radhi kwa matamshi yake.

IMG_7997.jpeg
 
Tunachokijua
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) ni Asasi ya Kiraia iliyoanzishwa mwaka 1996 na kusajiliwa rasmi mnano mwaka 1977.

Ni mwamvuli wa pamoja wa klabu za waandishi wa Habari Tanzania ambayo kwa sasa ina jumla ya klabu 28 za wanachama.

Miongoni mwa malengo ya UTPC ni Kujenga uwezo wa waandishi wa habari binafsi, ambao ni wanachama wa klabu za waandishi wa habari kupitia mafunzo, utafiti, ziara za mafunzo na mikutano pamoja na Kukuza na kudumisha kanuni za maadili kwa watendaji wa vyombo vya habari katika kukuza uandishi wa maadili.

Mjadala wa Dkt. Slaa kuhusu waandishi wa habari
Julai 12, 2023, Balozi Mstaafu wa Tanzania Nchini Sweden (2017-2021) na Katibu Mkuu wa zamani wa CHADEMA Dkt. Willibrod Slaa, akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika hoteli ya Mesuma, Makumbusho, Dar es Salaam alitoa kauli inayodaiwa kudhalilisha waandishi wa habari pamoja na taaluma nzima ya habari.

Kauli hiyo inasema;

"Siku mlipoandika hotuba yangu, Dk. Slaa akubali uwekezaji, mlikubali amri za mabwana zenu, nyie wote mlitakiwa kufutwa kuwa waandishi. Sasa endeleeni hivyo, sisi tutawachochea Watanzania tuwaambie kabisa Tanzania hakuna magazeti msipoteze hela zenu kununua magazeti bandia".

JamiiForums iliweka pia sasisho lenye kichwa cha habari "Balozi Dkt. Slaa awakosoa waandishi kwa kuandika habari tofauti na alichokisema" lililofafanua hoja hii ya Dkt. Slaa.

Pamoja na Dkt. Slaa, wazungumzaji wengine waliokuwepo kwenye mkutano huo ni Askofu Emmaus Mwamakula, Wanasheria Peter Madeleka na Boniface Mwabukusi pamoja na mwanaharakati Mdude Ngagali.

Lengo kuu la Mkutano huo ilikuwa ni kujadili kuhusu Uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kauli hii ya waandishi aliitoa wakati akikemea tabia yao ya kuripoti kinyume na kauli alizosema wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika Juni 13, 2023 ambapo vyombo vingi vya habari vilimnukuu kwa kusema ameunga mkono suala hilo.

UTPC wametoa barua hiyo?
Ukurasa rasmi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwenye mtandao wa Twitter ulikanusha taarifa hii Julai 12, 2023, saa 4:25 usiku kwa kuchapisha barua hiyo ikiwa na neno "FAKE"

Taasisi nyingi na watu wengine maarufu hutumia njia hii kukanusha baadhi ya taarifa zisizo sahihi.

Aidha, JamiiForums imebaini kuwa UTPC hawakuchapisha taarifa yoyote kwenye ukurasa wao huo tangu Julai 7, 2023, saa 8:14 mchana, siku ya saba saba.

Hivyo, watu wanapaswa kuipuuza taarifa hii kwa kuwa haijatolewa na UTPC.
Pamoja na yote, Dr Slaa ana Stress! Kuna alichoahidiwa na Mwendazake ambacho Mrithi haendelei kukitekeleza. Anatafuta coming back hivi Sasa.
 
Pamoja na yote, Dr Slaa ana Stress! Kuna alichoahidiwa na Mwendazake ambacho Mrithi haendelei kukitekeleza. Anatafuta coming back hivi Sasa.
Anatafuta huruma tuu
 
Kwani si kuna Team ya Waandishi wa habari walikwenda pia Dubai...Mbona hawakuwahi kujibu ni nani alilipia hiyo trip? Hata juzi juzi wafanyakazi wa Wasafi FM nao wamekwenda, na wametuma video clips zao; ni nani amelipia hizo trips? Watanzania wa sasa sio wajinga hivyo...
 
kwanini na wai wamlishe maneno ambayo sio yake? tena kichwa cha habari kimoja magazeti yoote.
Kuomba radhi kwa kosa gani? Mliandika UONGO wakati mnajua fika Slaa hataki mkataba wa bandari zetu kuporwa.
Mliandika ushenzi kwa kuhongwa naye amesema mlichofanya. Mlitaka asemeje?
After all Tanzania hatuna waandishi wa habari, kuna makanjanja wa habari.
Waandishi wa habari wako BBC, CNN na kwinginepo, siyo Tanzania! Kama waandishi wa habari wapo Tanzania, basi hawajishughulishi na unadishi wa habari.
 
View attachment 2686521
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umesikitishwa na kauli iliyotolewa na Balozi Dk. WILBROAD SLAA katika mkutano alioufanya na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam tarehe 12/07/2023 katika ukumbi wa Mesuma Hoteli.

Kauli iliyotolewa na Balozi SLAA katika mkutano huo imeonekana kuwafedhehesha Waandishi wa Habari na Taaluma ya Uandishi wa Habari chini hususan kauli yake "Siku mlipoandika hotuba yangu, Dk. Slaa akubali uwekezaji, mlikubali amri za mabwana zenu, nyie wote mlitakiwa kufutwa kuwa waandishi. Sasa endeleeni hivyo, sisi tutawachochea Watanzania tuwaambie kabisa Tanzania hakuna magazeti msipoteze hela zenu kununua magazeti bandia".

Hivyo, UTPC inalaani kauli hiyo kwa kuwa imeonekana kuwadhalilisha Waandishi wa Habari pamoia na Taaluma nzima ya Habari hasa ikizingatiwa kuwa Vyombo vya Habari nchini vimekuwa mstari wa mbele katika kuhabarisha umma juu ya masala mbalimbali yanayoendelea chini pasipo kujali tofauti za itikadi za kisiasa na kijamii.

UPC inapenda kuwajulisha Watanzania kwamba Waandishi wa Habari chini wanafanya kazi kwa uhuru pasipo kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote na kwa kuzingatia misingi ya Uandishi wa Habari na Taaluma nzima ya Habari chini, hivyo UTPC inamtaka Balozi Dkt. SLAA kuomba radhi juu ya kauli aliyoitoa dhidi ya Waandishi wa Habari.

Aidha, UPC Inatoa wito kwa Watanzania kuendelea kuwaunga mkono Waandishi wa Habari na kazi mbalimbali zinazofanywa na Vyombo Habari nchini.

ASANTENI
Imetolewa na Bw. Keneth Simbaya, Mkurugenzi wa Umoja wa Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania - UTPC

Pia soma: Balozi Dkt. Slaa awakosoa waandishi kwa kuandika habari tofauti na alichokisema
Cheki walivyokuwa vil*za wanampa alichotaka..coverage .
 
View attachment 2686521
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umesikitishwa na kauli iliyotolewa na Balozi Dk. WILBROAD SLAA katika mkutano alioufanya na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam tarehe 12/07/2023 katika ukumbi wa Mesuma Hoteli.

Kauli iliyotolewa na Balozi SLAA katika mkutano huo imeonekana kuwafedhehesha Waandishi wa Habari na Taaluma ya Uandishi wa Habari chini hususan kauli yake "Siku mlipoandika hotuba yangu, Dk. Slaa akubali uwekezaji, mlikubali amri za mabwana zenu, nyie wote mlitakiwa kufutwa kuwa waandishi. Sasa endeleeni hivyo, sisi tutawachochea Watanzania tuwaambie kabisa Tanzania hakuna magazeti msipoteze hela zenu kununua magazeti bandia".

Hivyo, UTPC inalaani kauli hiyo kwa kuwa imeonekana kuwadhalilisha Waandishi wa Habari pamoia na Taaluma nzima ya Habari hasa ikizingatiwa kuwa Vyombo vya Habari nchini vimekuwa mstari wa mbele katika kuhabarisha umma juu ya masala mbalimbali yanayoendelea chini pasipo kujali tofauti za itikadi za kisiasa na kijamii.

UPC inapenda kuwajulisha Watanzania kwamba Waandishi wa Habari chini wanafanya kazi kwa uhuru pasipo kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote na kwa kuzingatia misingi ya Uandishi wa Habari na Taaluma nzima ya Habari chini, hivyo UTPC inamtaka Balozi Dkt. SLAA kuomba radhi juu ya kauli aliyoitoa dhidi ya Waandishi wa Habari.

Aidha, UPC Inatoa wito kwa Watanzania kuendelea kuwaunga mkono Waandishi wa Habari na kazi mbalimbali zinazofanywa na Vyombo Habari nchini.

ASANTENI
Imetolewa na Bw. Keneth Simbaya, Mkurugenzi wa Umoja wa Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania - UTPC

Pia soma: Balozi Dkt. Slaa awakosoa waandishi kwa kuandika habari tofauti na alichokisema
Hii tasnia ya habari ilikwishaingiliwa. Wanajiandikia tu. Rushwa sasa! Very easy corrupted. Afadhali umewachana.
 
View attachment 2686521
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umesikitishwa na kauli iliyotolewa na Balozi Dk. WILBROAD SLAA katika mkutano alioufanya na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam tarehe 12/07/2023 katika ukumbi wa Mesuma Hoteli.

Kauli iliyotolewa na Balozi SLAA katika mkutano huo imeonekana kuwafedhehesha Waandishi wa Habari na Taaluma ya Uandishi wa Habari chini hususan kauli yake "Siku mlipoandika hotuba yangu, Dk. Slaa akubali uwekezaji, mlikubali amri za mabwana zenu, nyie wote mlitakiwa kufutwa kuwa waandishi. Sasa endeleeni hivyo, sisi tutawachochea Watanzania tuwaambie kabisa Tanzania hakuna magazeti msipoteze hela zenu kununua magazeti bandia".

Hivyo, UTPC inalaani kauli hiyo kwa kuwa imeonekana kuwadhalilisha Waandishi wa Habari pamoia na Taaluma nzima ya Habari hasa ikizingatiwa kuwa Vyombo vya Habari nchini vimekuwa mstari wa mbele katika kuhabarisha umma juu ya masala mbalimbali yanayoendelea chini pasipo kujali tofauti za itikadi za kisiasa na kijamii.

UPC inapenda kuwajulisha Watanzania kwamba Waandishi wa Habari chini wanafanya kazi kwa uhuru pasipo kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote na kwa kuzingatia misingi ya Uandishi wa Habari na Taaluma nzima ya Habari chini, hivyo UTPC inamtaka Balozi Dkt. SLAA kuomba radhi juu ya kauli aliyoitoa dhidi ya Waandishi wa Habari.

Aidha, UPC Inatoa wito kwa Watanzania kuendelea kuwaunga mkono Waandishi wa Habari na kazi mbalimbali zinazofanywa na Vyombo Habari nchini.

ASANTENI
Imetolewa na Bw. Keneth Simbaya, Mkurugenzi wa Umoja wa Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania - UTPC

Pia soma: Balozi Dkt. Slaa awakosoa waandishi kwa kuandika habari tofauti na alichokisema
Namimi nawaongezea UTPC ni takataka na siombi radhi!
 
Pamoja na yote, Dr Slaa ana Stress! Kuna alichoahidiwa na Mwendazake ambacho Mrithi haendelei kukitekeleza. Anatafuta coming back hivi Sasa.
Hamna bwana. Dr. Slaa ni muwazi. JPM alimteua ubalozi ikiwa ni jitihada za kutaka Serikali yake iwe na sura ya umoja wa kitaifa kwa kujumuisha vyama pinzani. Kwa taarifa yako huyu Mzee hana njaa, Uanaharakati uko damuni. Anapenda kuona haki inatendeka. Namwona Padre Kitima anafuata nyayo zake. Siyo hawa wachungaji wetu wa Kipentekoste "Wazee wa Kikumi"!
 
View attachment 2686521
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umesikitishwa na kauli iliyotolewa na Balozi Dk. WILBROAD SLAA katika mkutano alioufanya na waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam tarehe 12/07/2023 katika ukumbi wa Mesuma Hoteli.

Kauli iliyotolewa na Balozi SLAA katika mkutano huo imeonekana kuwafedhehesha Waandishi wa Habari na Taaluma ya Uandishi wa Habari chini hususan kauli yake "Siku mlipoandika hotuba yangu, Dk. Slaa akubali uwekezaji, mlikubali amri za mabwana zenu, nyie wote mlitakiwa kufutwa kuwa waandishi. Sasa endeleeni hivyo, sisi tutawachochea Watanzania tuwaambie kabisa Tanzania hakuna magazeti msipoteze hela zenu kununua magazeti bandia".

Hivyo, UTPC inalaani kauli hiyo kwa kuwa imeonekana kuwadhalilisha Waandishi wa Habari pamoia na Taaluma nzima ya Habari hasa ikizingatiwa kuwa Vyombo vya Habari nchini vimekuwa mstari wa mbele katika kuhabarisha umma juu ya masala mbalimbali yanayoendelea chini pasipo kujali tofauti za itikadi za kisiasa na kijamii.

UPC inapenda kuwajulisha Watanzania kwamba Waandishi wa Habari chini wanafanya kazi kwa uhuru pasipo kushinikizwa na mtu au taasisi yoyote na kwa kuzingatia misingi ya Uandishi wa Habari na Taaluma nzima ya Habari chini, hivyo UTPC inamtaka Balozi Dkt. SLAA kuomba radhi juu ya kauli aliyoitoa dhidi ya Waandishi wa Habari.

Aidha, UPC Inatoa wito kwa Watanzania kuendelea kuwaunga mkono Waandishi wa Habari na kazi mbalimbali zinazofanywa na Vyombo Habari nchini.

ASANTENI
Imetolewa na Bw. Keneth Simbaya, Mkurugenzi wa Umoja wa Muungano wa klabu za Waandishi wa Habari Tanzania - UTPC

Pia soma: Balozi Dkt. Slaa awakosoa waandishi kwa kuandika habari tofauti na alichokisema
Jinga sana hao waandishi. Wanatoa majibu general kwenye masuala ambayo ni specific. Hili tatizo ndio linatokea kwenye malumbano ya DPW pia.

Slaa kasema mlimlisha maneno, wekeni video akiongea kuunga mkono DPW mumuumbue. La sivyo basi Slaa anaendelea kuonekana mkweli nanyi mnaonekana vilaza na vibaraka wa watawala.
 
Back
Top Bottom