Sipo karibu na ofisi zao mkuuLabda ni changamoto za kimtandao. Kwanini usiwaone ofisini kwao?
Pole sana. Ikiwezekana mtume hata rafiki, ndugu, kijana apite hapo ofisini kwao aulize tu shida ni nini? Unaweza pewa maelekezo ni nini ufanye.Sipo karibu na ofisi zao mkuu
Asee watuache tutoe akiba zetu zitusaidie mwisho wa mwaka huu matumizi ni mengiMkuu hata mimi nashangaa!
Nikijaribu ku log in naambiwa nimekosea password. Customer care yao hawajibu!
Naweza kutuma mtu akaenda kwa niaba yangu na ishu ikawa solved?Huwa inatokea hiyo, nadhani solution ni Kwenda ofisi zao, unawaonyesha tatizo halafu wataku register tena
Naweza kutuma mtu kwa niaba yangu wakamsikiliza?Pole sana. Ikiwezekana mtume hata rafiki, ndugu, kijana apite hapo ofisini kwao aulize tu shida ni nini? Unaweza pewa maelekezo ni nini ufanye.
Weka salio kwenye line ulosajilia piga *150*82# kisha badili nywila au ingiza ile ile ya zamani mzee itakaa sawaNaweza kutuma mtu akaenda kwa niaba yangu na ishu ikawa solved?
Inatia wasiwasi! Kama Kuna tatizo la kimtandao, at least wangetupa taarifa.Asee watuache tutoe akiba zetu zitusaidie mwisho wa mwaka huu matumizi ni mengi
Hawafuati maelekezo wanayopewa wanakuja kutia watu taharuki uku mitandaoni watanzania sjui tupoje kwa kweli.Wamefanya maboresho kwenye app yao hakikisha ume update app pia alafu fwata maelekezo yanayo kuja kwenye screen wakati wa kulog in. Piga *150*82# kwa namba ile ile ulio jisajili nayo kwenye app hakikisha una salio la kawaida sio bundle. Then update ur password kisha malizia kwa kulog in kwenye app utakuwa ume maliza tatizo.
Upo sahihi Mkuu asilimia 100 kwasababu maelekezo yote yapo hapo kwenye simu kwanini hawasomi wafwatilie? Kz maelezo nilio toa sija yatoa hewani nilifwata maelekezo nilio pata wakati na log in na kila kitu kikaenda vizuri tu sasa wao walishindwa nini?Hawafuati maelekezo wanayopewa wanakuja kutia watu taharuki uku mitandaoni watanzania sjui tupoje kwa kweli.
Nenda mwenyewe mkuu na simu yako.Naweza kutuma mtu akaenda kwa niaba yangu na ishu ikawa solved?