Habari wadau,
Sielewi kwamba ni mimi mwenye ninayepitia hii hali au kuna wengine pia wanakumbana na hili.
Ni karibia wiki mbili sasa ninashindwa kuingia kwenye App yao.
Hii inanikwamisha kwa kiasi kikubwa kwani ninashindwa kutoa sehemu ya akiba yangu iweze kunisaidia kwenye masuala kadhaa yanayonikabili.
Wadau hebu tusaidiane hili mnalipatia vipi ufumbuzi?
Sielewi kwamba ni mimi mwenye ninayepitia hii hali au kuna wengine pia wanakumbana na hili.
Ni karibia wiki mbili sasa ninashindwa kuingia kwenye App yao.
Hii inanikwamisha kwa kiasi kikubwa kwani ninashindwa kutoa sehemu ya akiba yangu iweze kunisaidia kwenye masuala kadhaa yanayonikabili.
Wadau hebu tusaidiane hili mnalipatia vipi ufumbuzi?