Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
- Thread starter
-
- #401
Iv UTT mtu akikufa,ndgu wanapata access ya kutoa uwekezaji wake?mana sijaona kwnye terms zao….anaejua tafadhali
Uko mfuko gani?
Mfuko upi wa UTT una faida kubwa na risk free?
But It depend on market performance of Stock market at particular intervalBond fund
IPO next of keen
Mkuu biashara yako ya mabilioni umefikia wapi Ili wadau wa UTT AMIS wapotoshe account zao na waoUlisema huko UTT umehifadhi tu pesa zako na sio biashara.
Lakini hapa unasema umenunua vipande UTT kila kimoja sh 113. Na pia unasema unaweza kuuza hivyo vipande wakati wowote ukitaka.
Hebu niambie hicho ulichokifanya kama sio biashara ni nini?
Utasema hiyo ni "investment". Kwani investment siyo aina fulani ya biashara??????
Ndugu yangu, let me take you back to school just a little bit.
What is business and what is investment?
The simplified answer is Investments and business are similar in that both need you to commit some money in anticipation of future profit or benefit. The key difference, however, is that in business; you are actively involved in management while in investments, your role is more passive.
Hellow !! Upo? Au utataka nikutafsrie?? [emoji23][emoji23]
Ndugu yangu, kubali tu kuwa unachokifanya huko UTT ni aina fulani ya BIASHARA ambayo sisi tunaona faida yake ni NDOGO SANA ukilinganisha na muda na kiwango cha uwekezaji. Sh, 1 kwa kipande???? No way man!!!! That is bullshit business.
Mkuu biashara yako ya mabilioni umefikia wapi Ili wadau wa UTT AMIS wapotoshe account zao na wao
Ni kweli shilingi inashuka thamani wakati huo huo kipande hupanda thamani daily huoni kama kuna utofautibna yule aliyeweka mzigo bank ambapo kila mwezi kuna makato...Ingekuwa unawekeza kwa usd ingekuwa sana,tatizo shiling yetu yenyewe inashuka thamani.
Ukikaa useme uache miaka kadhaa unakuwa ni upuuzi tu
Mkuu naomba kujua ikiwa nimeweka 5m mfuko wa bond fund.[emoji16][emoji16][emoji16]. Hawez kukujibu
Mkuu naomba kujua ikiwa nimeweka 5m mfuko wa bond fund.
Je kuna uhakika wa kupata 50k kila mwezi au inapanda na kushuka?
Kwa mpango wa kupata gawio kwa Kila mwezi, mtaji ni kuanzia milioni kumi.Ajibiwe tafadhali
Kumbe ni mtaji wa biasharaa kabisaaa...!!Kwa mpango wa kupata gawio kwa Kila mwezi, mtaji ni kuanzia milioni kumi.
Kwa mpango wa kupata gawio mala mbili kwa mwaka mtaji ni kuanzia milioni tano.
Utakutaje ni upuuzi wakati mfuko kama bond fund una yield % ya 12%.Ingekuwa unawekeza kwa usd ingekuwa sana,tatizo shiling yetu yenyewe inashuka thamani.
Ukikaa useme uache miaka kadhaa unakuwa ni upuuzi tu
Wewe hujiulizi kwa nini mshahara huwa unatakiwa kuongezeka kila siku??? ukilipwa 300 mwaka 1980 wew boss leo ukilipwa 300 je???Utakutaje ni upuuzi wakati mfuko kama bond fund una yield % ya 12%.
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Iv UTT haiwez kufilisika?uwekezaji ukawa wa hasara?
Mwenye uzoefu,taarifa tafadhali
kwa taraifa fupi zile ni hisaa so chochote kinaweza kutokeaa japo demand kushuka ni uongo wengi wanazidi kujiunganaomba kuna rate za mwaka n had 14% haiwez kuwa negative soko likipinduka au hii imekaeje?
Mi pia ya NICOL sikumbuki nimeweka wapi.Hawa hata certificate yao sikumbuki Iko wapi..... Nilikuwa na vipande 1000 nikuzaga 900 nilibakiza 100. Miaka mingi 2008 huko.
Mkuu naomba kujua ikiwa nimeweka 5m mfuko wa bond fund.
Je kuna uhakika wa kupata 50k kila mwezi au inapanda na kushuka?
Ili upate gawio la milioni 10 mtaji unaotakiwa unatosha kujenga Hospitali na kuanza kupiga hela za wagonjwa. Poleni sana wawekezaji, sehemu kama hizi zinawafaa watumishi wasiojua biashara na wezi wa mali za umma.Sh 114