Waafrika suala la kufikiri ni changamotoo wew tafuta kanamnaa upige mahelaa ila sirikali ikuunge mkonoIli upate gawio la milioni 10 mtaji unaotakiwa unatosha kujenga Hospitali na kuanza kupiga hela za wagonjwa. Poleni sana.
Wakati unatoa ilikuwa imeongezeka kwa kiwango cha kiasu gan?Huu mfuko unawafaa wale wanaoweka akiba bank kwenye saving acc ambapo unaendana na makato.
Mimi nipo kwenye mfuko wa liquid fund.
Nilikuwa na mpango wa kununua kitu fulan, nikawa nakusanya pesa kidogo kidogo kutimiza lengo langu. Mwanzoni nilikuwa naziweka kwenye Acc ya bank (Saving Acc).
Zikiwa kama 5M ndo nikazihamishia UTT, so zikiwa zinaongezeka kati ya shs 30,000-40,000 kila mwezi.
Kama kawaida kila nikipata kiasi fulan naongezea ili nifikishe 15M nitimize lengo langu.
Kwangu niliona ni bora nipate kidogo kuliko hiyo pesa ninayondunduliza ikae bank tu bila kuzaliana . Kila mwezi UTT unapata kama 1% ya pesa yako.
Uzuri wa liquid fund unaweza kutoa pesa yako muda wowote kati siku 3-5 za kazi.
Niliendelea kundunduliza hadi pesa ya malengo yangu ikafika nokaichomoa nikafanya yangu.
Kwa mtazamo wangu huu mfuko unatakiwa uweke ile fedha ambayo huna matumizi nayo kwa wakati huo.
Mfano ada za watoto za shule, akiba ya dharura n.k uzuri fedha yako una uhakika wa kuipata kwa haraka wakati unaitaka.
Nawasilisha
Ili upate gawio la milioni 10 mtaji unaotakiwa unatosha kujenga Hospitali na kuanza kupiga hela za wagonjwa. Poleni sana wawekezaji, sehemu kama hizi zinawafaa watumishi wasiojua biashara na wezi wa mali za umma.
Kwa mfanyabiashara mzuri labda utumie tu kuhifadhi fedha za akiba kukwepa makato ya bank, vinginevyo ni wastage of time and resources.
Almost utachukua 85-88k
Huu mfuko unawafaa wale wanaoweka akiba bank kwenye saving acc ambapo unaendana na makato.
Mimi nipo kwenye mfuko wa liquid fund.
Nilikuwa na mpango wa kununua kitu fulan, nikawa nakusanya pesa kidogo kidogo kutimiza lengo langu. Mwanzoni nilikuwa naziweka kwenye Acc ya bank (Saving Acc).
Zikiwa kama 5M ndo nikazihamishia UTT, so zikiwa zinaongezeka kati ya shs 30,000-40,000 kila mwezi.
Kama kawaida kila nikipata kiasi fulan naongezea ili nifikishe 15M nitimize lengo langu.
Kwangu niliona ni bora nipate kidogo kuliko hiyo pesa ninayondunduliza ikae bank tu bila kuzaliana . Kila mwezi UTT unapata kama 1% ya pesa yako.
Uzuri wa liquid fund unaweza kutoa pesa yako muda wowote kati siku 3-5 za kazi.
Niliendelea kundunduliza hadi pesa ya malengo yangu ikafika nokaichomoa nikafanya yangu.
Kwa mtazamo wangu huu mfuko unatakiwa uweke ile fedha ambayo huna matumizi nayo kwa wakati huo.
Mfano ada za watoto za shule, akiba ya dharura n.k uzuri fedha yako una uhakika wa kuipata kwa haraka wakati unaitaka.
Nawasilisha
Wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo utawajua tu. Endeleeni kuzika mitaji.Jina tu unalotumia limesababisha nisijibu ulichoandika
Wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo utawajua tu. Endeleeni kuzika mitaji.
Sawa ofsaWatanzania ni majitu mavivu kusoma.
UTT-AMIS ni mfuko wa serikali unaojihusisha na uwekezaji katika bonds za serikali. Unatoa fursa kwa watu binafsi, taasisi kuwekeza katika bonds za serikali.
Mpende kutafuta taarifa.