UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Upo sahihi sana kwa Mentality ya Ki-Biashara... Pesa inatakiwa izunguke na izalishe,,, Kibiashara ukiwekeza 10m halafu upate return ya 88k monthly ni Failure..

Ila kwa mentality ya ki-Uwekezaji unakuwa haupo sahihi kimtindo,,,hizi huwa na faida kwa muda mrefu,, Ni sawa na Mtu anayepanda Miti leo na kutegemea avune baada ya 15 years... (hizi ndio aina ya investment vijana hatuwezi na mwisho watu hupigwa Kylinda)..

Cha msingi ni kuangali rate zao kama zinaenda sawa na kushuka kwa thamani ya Pesa...,,na uzuri wa Bonds, Eg za BOT ni unaweza kuzitumia kuchukulia Mkopo(badala ya kuweka Nyumba, ardhi),,, Yaani mfano kama ulinunua bonds za 100m,,,,ukawa unapata gawio la 10m kwa mwaka,,, Unaweza Chukua mkopo wa hata 70m na ile faida unayolipwa ikatumika kulipa Mkopo,,,na bado 100m yako ipo safe...

Maisha ni Akili tu Mtu wangu.

Facts sana. Huyu anashindwa kuelewa kwamba Kila mmoja ana malengo yake. Nimemwambia Kuna watu ramani kwa Sasa hazisomi na kufanya biashara alivyokua anafanya anaona ni risk so anaamua kutulia mpk nxt time. Sasa ule muda wa kusubiri biashara yake ikae stable anaamua kuwekeza UTT ili isikae bila kuingiza chchte angalau iingize kidogo mpk pale biashara ikiwa fresh then mtu anaamua kuitoa na kuipeleka rasmi kwny Ile biashara yake. Hili nalo eti ni kosa. Mi nfkr aje atueleze namna mtaji wake wa milioni unavyomuingiza mahela ya kumwaga badala ya kubwabwaja
 
Kwa wenye uwoga wa kuwa enterpreneurer hiyo inawafaa ila kwa sisi wajasiriamali watukutu that’s a bullsh*t.

Hebu tupe blue print ww umefanikiwa vp km entrepreneur. Na umefanyaje fanyaje mpk umefanikiwa kias Cha kusema hatifungani ni Bullshit
 
Hebu tu blue print ww umefanikiwa vp km entrepreneur. Na umefanyaje fanyaje mpk umefanikiwa kias Cha kusema hatifungani ni Bullshit
Kila mmoja anakipimo chake cha mafanikio mkuu cha kwangu chaweza kuwa tofauti na chako na ndio maana nikaweka exception,

Lakini kama upande wako uko happy kupata faida ya elfu 88 ndani ya siku 30 kwa mtaji wa mil 10 it’s ok ila kwangu mimi hapana.

NOTE si kila mtu anaweza kuwa mjasiriamali.
 
Kila mmoja anakipimo chake cha mafanikio mkuu cha kwangu chaweza kuwa tofauti na chako na ndio maana nikaweka exception,

Lakini kama upande wako uko happy kupata faida ya elfu 88 ndani ya siku 30 kwa mtaji wa mil 10 it’s ok ila kwangu mimi hapana.

NOTE si kila mtu anaweza kuwa mjasiriamali.

Sikia ww. Mm ni mfanyabiashara mzuri tu. Baba nipo kwny biashara huu mwaka wa 8. Na Nina mtaji wa zaidi ya milioni 20. Kwny biashara alhamdulillah nimefanikiwa kiasi chake na niliianza na mtaji wa laki 3 na naijua biashara vzr kwa kias changu.

Nilichokisema ni kwamba segment ya biashara ya m10 kwa sasa soko limeyumba mno na hakuna business security yyte so nimeamua mpk mwakani ndo taifanya huku nikiendelea kupata mshahara pamoja na biashara zingine ambazo na zenyewe haziend km miaka ya nyuma kutokana global business crisis. Nimeamua nisifanya hiyo biz yenye capital ya 10m na hela isikae tu benki, walau iingize chchte kidogo ambacho ni kiasi hicho. Sasa hapo ubaya uko wapi

Tatizo ujuaji mwingi. Nimekwambia nipe blueprint ya super profit ambayo ww unaipata unaishia kusema Kila mtu na strategy zake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sikia ww. Mm ni mfanyabiashara mzuri tu. Baba nipo kwny biashara huu mwaka wa 8. Na Nina mtaji wa zaidi ya milioni 20. Kwny biashara alhamdulillah nimefanikiwa kiasi chake na niliianza na mtaji wa laki 3 na naijua biashara vzr kwa kias changu.

Nilichokisema ni kwamba segment ya biashara ya m10 kwa sasa soko limeyumba mno na hakuna business security yyte so nimeamua mpk mwakani ndo taifanya huku nikiendelea kupata mshahara pamoja na biashara zingine ambazo na zenyewe haziend km miaka ya nyuma kutokana global business crisis. Nimeamua nisifanya hiyo biz yenye capital ya 10m na hela isikae tu benki, walau iingize chchte kidogo ambacho ni kiasi hicho. Sasa hapo ubaya uko wapi

Tatizo ujuaji mwingi. Nimekwambia nipe blueprint ya super profit ambayo ww unaipata unaishia kusema Kila mtu na strategy zake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanapenda hela za haraka haraka na ndo mana wanapigwa. UWEKEZAJI NI LAZMA UWE WA MUDA MREFU. HAPA TANZANIA WAFANYABIASHARA HASWA WABONGO HAWAJUI BIASHARA BALI WAMEPATA FAIDA KIBAHATI. KIPINDI HIKI AMBACHO BIASHARA HAZISOMEKI NI BORA KUHIFADHI MTAJI HADI HALI IWE STABLE. UKIHIFADHI BANK, FEDHA ITAPUNGUA NA HAITAONGEZEKA. NI BORA KUNUNUA HATI FUNGANI. PESA HAITAPUNGUA, BALI ITAONGEZEKA HATA KAMA NI NDOGO, NA ITAKUWA SALAMA.

PIA HIVI VIKUNDI VYA KUSAIDIANA, NI BORA KUWEKEZA FEDHA HUMU, KULIKO KUZIWEKA TU BANK
 
Watu wanapenda hela za haraka haraka na ndo mana wanapigwa. UWEKEZAJI NI LAZMA UWE WA MUDA MREFU. HAPA TANZANIA WAFANYABIASHARA HASWA WABONGO HAWAJUI BIASHARA BALI WAMEPATA FAIDA KIBAHATI. KIPINDI HIKI AMBACHO BIASHARA HAZISOMEKI NI BORA KUHIFADHI MTAJI HADI HALI IWE STABLE. UKIHIFADHI BANK, FEDHA ITAPUNGUA NA HAITAONGEZEKA. NI BORA KUNUNUA HATI FUNGANI. PESA HAITAPUNGUA, BALI ITAONGEZEKA HATA KAMA NI NDOGO, NA ITAKUWA SALAMA.

PIA HIVI VIKUNDI VYA KUSAIDIANA, NI BORA KUWEKEZA FEDHA HUMU, KULIKO KUZIWEKA TU BANK

Hii ndo shida mwisho wa siku wanaishia kuanguka
 
Shida nnayoona hapa kwa wanaobeza UTT ni hawajui kuhusu kitu kinaitwa compound interest.

Kwanza niseme ndio iwapo una biashara yenye faida basi kupata 100k kwa mwezi kutoka UTT utaona ni jambo dogo. Ila lengo la UTT si kulinganishwa na biashara bali ni kukupa kipato kutoka kwenye pesa ambayo haizalishi kwa muda huo. Hii inaweza kuwa savings ama pesa uliyopata kwa mkupuo na bado haujaipangia matumizi. Badala ya kuweka beki ni vizuri ikae UTT ili angalau ishalishe kitu.

Turudi kwenye compound interest na jinsi ya kuitumia na UTT ili kufanya savings vizuri kwa ajili ya utaporetire.

Tutumie mfano wa jamaa ambaye ameweka 10m. Na tuseme kwa mwaka UTT Inatoa faida ya 10% kwa mwaka. Na pia tuseme jamaa ana mpango wa kuretire baada ya miaka 20. Na mwisho tuseme jamaa kila mwezi ana uwezo wa kuongezea 100k kwenye akaunti yake ya UTT.

Kwa kutumia calculator iliyopo hapa: Compound Interest Calculator | Investor.gov baada ya miaka 20, jamaa atakuwa amechangia jumla ya milioni 32 katika mfuko. Ila salio lake litakuwa milioni 150. Hivyo atakuwa amepata ziada ya milioni 120 kwa ajili ya kuretire huku akichangia 100k tu kwa mwezi.

Mnaweza kutumia calculator hiyo ili kuona jinsi kushiriki katika mfuko wa UTT unaweza kuwa na manufaa kwa savings za muda mrefu.
 
Back
Top Bottom