Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Achana kitu kinaitwa utu aiseeeeh
Pamoja na mateso yoote ya mapenzi niliyopitia lakini ngoma ya "utu" ya Ali kiba unanipeleka mbali saana kihisia
Asikwambie mtu kupenda raha saaana hasa ukimpata mwenye utu na utulivu....
Big up Ali kiba japo nimechelewa wimbo wa kitambo kidogo ila acha niseme hiii ngoma unachukulia mkopo IMF aiseeeh
Niko tayari kuumizwa tena na mapenzi japo nishakuwa sugu ila kwa ngoma hii poa tuu....
Wasalaam!!
Pamoja na mateso yoote ya mapenzi niliyopitia lakini ngoma ya "utu" ya Ali kiba unanipeleka mbali saana kihisia
Asikwambie mtu kupenda raha saaana hasa ukimpata mwenye utu na utulivu....
Big up Ali kiba japo nimechelewa wimbo wa kitambo kidogo ila acha niseme hiii ngoma unachukulia mkopo IMF aiseeeh
Niko tayari kuumizwa tena na mapenzi japo nishakuwa sugu ila kwa ngoma hii poa tuu....
Wasalaam!!