Utulivu na Papara: Msichana akishindana na mvulana

Utulivu na Papara: Msichana akishindana na mvulana

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Angalia video clip


Wanaume wengi huwa wanafikiri spidi na nguvu ndiyo muhimu zaidi kwenye kupata mafanikio. Ila tunakumbishwa utulivu na mbinu zisizotetereshwa na kelele za watu ni moja kati ya siri kuu.

Dakika za mwanzoni, ilionekana kama mvulana atashinda kwasababu ya uwezo wake wa kukimbia, ila matokeo hayakua hivyo.

Tafakuri:
Binafsi hii clip imenikumbusha kuwa hata kwenye familia tunahitajiana, kwa sababu tuna akili, mitazamo na uwezo tofauti. Unamuhitaji mama/mwanamke ambaye ateleta maono, utulivu na mipangilio thabiti isiyoyumbishwa ili mfikie malengo. Ila yanaweza kutotimia bila nguvu na spidi ya mwanaume katika utafutaji na usimamizi📌.
 
Angalia video clip
View attachment 3243813

Wanaume wengi huwa wanafikiri spidi na nguvu ndiyo muhimu zaidi kwenye kupata mafanikio. Ila tunakumbishwa utulivu na mbinu zisizotetereshwa na kelele za watu ni moja kati ya siri kuu.

Dakika za mwanzoni, ilionekana kama mvulana atashinda kwasababu ya uwezo wake wa kukimbia, ila matokeo hayakua hivyo.

Imetosha kutukumbusha kuwa hata kwenye familia tunahitajiana, kwa sababu tuna akili, mitazamo na uwezo tofauti. Unamuhitaji mama/mwanamke ambaye ateleta maono, utulivu na mipangilio thabiti isiyoyumbishwa ili mfikie malengo. Ila yanaweza kutotimia bila nguvu na spidi ya mwanaume katika utafutaji na usimamizi📌.
Mimi nimeielewa video tu! hayo maelezo wape wakubwa wenzio!!!
 
Angalia video clip


Wanaume wengi huwa wanafikiri spidi na nguvu ndiyo muhimu zaidi kwenye kupata mafanikio. Ila tunakumbishwa utulivu na mbinu zisizotetereshwa na kelele za watu ni moja kati ya siri kuu.

Dakika za mwanzoni, ilionekana kama mvulana atashinda kwasababu ya uwezo wake wa kukimbia, ila matokeo hayakua hivyo.

Imetosha kutukumbusha kuwa hata kwenye familia tunahitajiana, kwa sababu tuna akili, mitazamo na uwezo tofauti. Unamuhitaji mama/mwanamke ambaye ateleta maono, utulivu na mipangilio thabiti isiyoyumbishwa ili mfikie malengo. Ila yanaweza kutotimia bila nguvu na spidi ya mwanaume katika utafutaji na usimamizi📌
Mbona pale Schiphol airport ulikuwa na papara ukanunulishwa chai ya 5000 na hukuinywa, ukatupa kikombe na mnuno juu...ile papara yako ulijua ni majani ya tatepaa sio 😂
🏃🏃🏃🏃
 
Unachomaanisha ni haraka haraka haina baraka hata utoe sadaka utaishia kwenye vichaka

Pole pole ndio mwendo maneno kidogo vingi vitendo punguza kamdomo na nyingi skendo
 
Mbona pale Schiphol airport ulikuwa na papara ukanunulishwa chai ya 5000 na hukuinywa, ukatupa kikombe na mnuno juu...ile papara yako ulijua ni majani ya tatepaa sio 😂
🏃🏃🏃🏃
Ile haikua papara, ulikua ni ushamba na ugeni wa mambo 🤣
 
Haihusiani, ila kaongelea mafanikio, basi tukiyacheki mafanikio kwenye angle zote utagundua Male wengi wako successful kuliko female ndio mana wengi wanatoa milio wakiwa kwenye mahusiano na wasipewe hela. Kama ni mafanikio zinapatikana kwa utulivu na si papara basi hakuna kiumbe mtulivu kama mwanaume maana wap kwenye mafanikio makubwa duniani wanaongoza, Albert Einstein, Nikola Tesla, Faraday, Newton, Galileo, Leonardo Da Vinci, aisee hawa wote wanaume. Mwenye jf mwanaume, mwenye Fb mwanaume, Instagram, whatsapp, aliexpress, Amazon, eBay, Samsung, Apple, IBM, MICROSOFT, LINUX, PHP, JAVA, HTML, JAVASCRIPT, Python, Android, Sql, Azure, CISCO, DELL, HP, AI, Yan haya mavitu yoote haya ni wanaume Yan ishue ya kuweka maji ndio itufanye sisi tunapapara ?..Hata haya magari yanaendeshwa hapa tanzania chagua brand yeyote CEO ni Mwanaume, kuendesha haya makampuni makubwa makubwa hayataki mchezo ndio mana ma CEO karibia wote Wanaume. Huyo dogo hapo kwenye video ana mapepe yasio na msingi wowote na ni kweli kazidiwa akili na huyo wakike alitakiwa baada ya kushindwa ajipe adhabu kali sana.
Inahusiana vipi na jinsia?
 
Back
Top Bottom