Utumiaji wa Lugha katika Forums

Ila Bwana Hassan kachemka kinoma...

Kachemka nini wakati ndo uwezo wake ulipo ishia! Ngoja mm nimtafute niende nikale mpaka niseme Hassan why you kill me with food? hehehehe
 
Hapo ni tatizo la hii lugha ya wazungu mkuu, wengi sana tu kiingereza ni karibu na sufuri...

"Kama huyu hapa" ina maanisha nini hapo?, yaani ni kwamba kwenye hiyo post uliyo inukuu nimetumia lugha vibaya au?...

Soma quote ya mwanzo...Nilikuwa naweka mfano tu, wa watu wanaolazimisha lugha za kigheni.
 
Hii ni kutoka Jukwaa la Siasa...
Mzee 2nyi

Hapa chini toka kona ya Mapenzi
 
Kama ndivyo, wa kwanza kuonywa awe ni ndugu yangu mmoja anaitwa Bluray...Hawa ni watu ambao ni barriers to communication process.

The blu one is impeccably unblemished in this regard.If there is an iota of blame it should be bestowed upon the lack of vocabulary on the part of some of our members.

The issue pointed out here is completely different, and you will never catch the blu one using such ghastly horsefeed as pointed out here.

Bisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…