Ila Bwana Hassan kachemka kinoma...
Kama huyu hapa...
Hapo ni tatizo la hii lugha ya wazungu mkuu, wengi sana tu kiingereza ni karibu na sufuri...
"Kama huyu hapa" ina maanisha nini hapo?, yaani ni kwamba kwenye hiyo post uliyo inukuu nimetumia lugha vibaya au?...
Mzee 2nyi
cjui zinawatoshaga ngapi coz mie mambo ya credo najihudumia mwenyewe kutokana na mawasiliano yangu yalivyo, sasa hiyo buku kwa kweli mhh, haya ndio mnawa2mia hiyo buku then mnalalama kwamba mna2ma lakini hawawacal, sasa utamcal vipi m2 na credo ya buku na c ajabu yeye alivyokuomba ana mawacliano yake ya muhimu na wa2 wengine...ahh
Kama ndivyo, wa kwanza kuonywa awe ni ndugu yangu mmoja anaitwa Bluray...Hawa ni watu ambao ni barriers to communication process.