Utumiaji wa Lugha katika Forums

Utumiaji wa Lugha katika Forums

Kama huyu hapa...
bao%20la%20matangazo.jpg


"Kama huyu hapa" ina maanisha nini hapo?, yaani ni kwamba kwenye hiyo post uliyo inukuu nimetumia lugha vibaya au?...
 
Hapo ni tatizo la hii lugha ya wazungu mkuu, wengi sana tu kiingereza ni karibu na sufuri...

"Kama huyu hapa" ina maanisha nini hapo?, yaani ni kwamba kwenye hiyo post uliyo inukuu nimetumia lugha vibaya au?...

Soma quote ya mwanzo...Nilikuwa naweka mfano tu, wa watu wanaolazimisha lugha za kigheni.
 
Hii ni kutoka Jukwaa la Siasa...
Mzee 2nyi

Hapa chini toka kona ya Mapenzi
cjui zinawatoshaga ngapi coz mie mambo ya credo najihudumia mwenyewe kutokana na mawasiliano yangu yalivyo, sasa hiyo buku kwa kweli mhh, haya ndio mnawa2mia hiyo buku then mnalalama kwamba mna2ma lakini hawawacal, sasa utamcal vipi m2 na credo ya buku na c ajabu yeye alivyokuomba ana mawacliano yake ya muhimu na wa2 wengine...ahh
 
Kama ndivyo, wa kwanza kuonywa awe ni ndugu yangu mmoja anaitwa Bluray...Hawa ni watu ambao ni barriers to communication process.

The blu one is impeccably unblemished in this regard.If there is an iota of blame it should be bestowed upon the lack of vocabulary on the part of some of our members.

The issue pointed out here is completely different, and you will never catch the blu one using such ghastly horsefeed as pointed out here.

Bisha!
 
Back
Top Bottom