Utumiaji wa Rasilimali za Asili kwa ufanisi ndio mbinu inayoleta utajiri ndani ya nchi

Utumiaji wa Rasilimali za Asili kwa ufanisi ndio mbinu inayoleta utajiri ndani ya nchi

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Habari za Leo wa ungwana.
Natamani sana taifa langu liwe tajiri.
Kuna msemo unasema kwamba utajiri unapatikana ardhini. Huu msemo ni wa kweli kabisa.

Kwasababu ndani ya ardhi ndio kuna mali, kuna madini, kuna maji, kuna mafuta, kuna gesi, kuna makaa ya mawe kuna misitu, kuna miti, kuna wanyama na kila kitu na ardhi yenye rutuba.

Nawashangaa sana vijana wa kitanzania wanao ng'ang'ana na biashara za mitandao mara yutube mara kubeti. Hizo ni dalili za kukosa maarifa na uvivu wa kufikiri.

Hizo biashara tuwaachieni wazungu. Sisi bado ardhi yetu ni bikira kabisa ina kila kitu. Ni sisi tu kuamua. Wazungu wenzetu ardhi yao ilisha tumika na walishakomba kila kitu.

Sasa nirudi kwenye mada mimi kama kijana napenda sana taifa langu liwe tajiri. Tukitaka tuwe matajiri ni vyema taifa lijikite kutafuta rasilimali zenye thamani kubwa, tutafute madini ya aina mbalimbali yenye thamani, tutafute gesi kila mahali kwenye mito na maziwa yetu yote. Tutafute mafuta kwenye mito na maziwa yetu yote. Tukipata hizo rasilimali tuzitumie kwa ufanisi, kivipi tuziongezee thamani ili tukiuza end product tupate pesa nyingi zaidi ya ile tungeipata kwa kuuza malighafi.

Nije kwenye gesi asilia. Tukiitumia gesi kwa ufanisi tunaweza kuwa matajiri maramoja sana.

1. Gesi asilia tunaweza kuibadirisha kuwa mbolea za kutumia mashambani Pamoja na kemikali mbalimbali. Mbolea na kemikali tukiziuza ndio tutapata pesa nyingi zaidi.

2. Gesi asilia tunaweza kuibadili kuwa petroli ya kwenye magari. Bei ya petroli ni kubwa kuliko ya gesi. Na magari mengi yanatumia petroli kwa hivyo twaweza kupata soko kubwa na la haraka zaidi. Kwanini tusiwe matajiri.

3. Tukitafuta mafuta tukayapata tusiuze mafuta machafu, bali tuyasafishe ili tupate petroli, dizeli, mafuta mazito, vilainishi vya injini, mafuta ya taa, rami, mafuta ya ndege, na gesi ya LPG pamoja na kemikali mbalimbali.
Kutoka kwenye huo msafisho tunaweza kupata kemikali ambazo tunaweza kutengezea matairi ya magari na pikipiki, na matairi makubwa pamoja na mabomba ya plastic na nyloni.
Hivi vitu vyote tukiviuza ndivyo vyenye thamani zaidi kuliko mafuta, machafu.

4. Japo makaa ya mawe yanachafua sana mazingira lakini yanaweza kuwa malighafi moja kubwa ya kutengezea kemikali za aina nyingi mnoo zenye thamani kubwa sana. Kutokana na uwepo wa kampaundi nyingi sana ndani yake.
Hivyo tukifanya hivyo ni wazi ndani ya muda mfupi tutakuwa matajiri.
 
Habari za Leo wa ungwana.
Natamani sana taifa langu liwe tajiri.
Kuna msemo unasema kwamba utajiri unapatikana ardhini. Huu msemo ni wa kweli kabisa.

Kwasababu ndani ya ardhi ndio kuna mali, kuna madini, kuna maji, kuna mafuta, kuna gesi, kuna makaa ya mawe kuna misitu, kuna miti, kuna wanyama na kila kitu na ardhi yenye rutuba.

Nawashangaa sana vijana wa kitanzania wanao ng'ang'ana na biashara za mitandao mara yutube mara kubeti. Hizo ni dalili za kukosa maarifa na uvivu wa kufikiri.

Hizo biashara tuwaachieni wazungu. Sisi bado ardhi yetu ni bikira kabisa ina kila kitu. Ni sisi tu kuamua. Wazungu wenzetu ardhi yao ilisha tumika na walishakomba kila kitu.

Sasa nirudi kwenye mada mimi kama kijana napenda sana taifa langu liwe tajiri. Tukitaka tuwe matajiri ni vyema taifa lijikite kutafuta rasilimali zenye thamani kubwa, tutafute madini ya aina mbalimbali yenye thamani, tutafute gesi kila mahali kwenye mito na maziwa yetu yote. Tutafute mafuta kwenye mito na maziwa yetu yote. Tukipata hizo rasilimali tuzitumie kwa ufanisi, kivipi tuziongezee thamani ili tukiuza end product tupate pesa nyingi zaidi ya ile tungeipata kwa kuuza malighafi.

Nije kwenye gesi asilia. Tukiitumia gesi kwa ufanisi tunaweza kuwa matajiri maramoja sana.

1. Gesi asilia tunaweza kuibadirisha kuwa mbolea za kutumia mashambani Pamoja na kemikali mbalimbali. Mbolea na kemikali tukiziuza ndio tutapata pesa nyingi zaidi.

2. Gesi asilia tunaweza kuibadili kuwa petroli ya kwenye magari. Bei ya petroli ni kubwa kuliko ya gesi. Na magari mengi yanatumia petroli kwa hivyo twaweza kupata soko kubwa na la haraka zaidi. Kwanini tusiwe matajiri.

3. Tukitafuta mafuta tukayapata tusiuze mafuta machafu, bali tuyasafishe ili tupate petroli, dizeli, mafuta mazito, vilainishi vya injini, mafuta ya taa, rami, mafuta ya ndege, na gesi ya LPG pamoja na kemikali mbalimbali.
Kutoka kwenye huo msafisho tunaweza kupata kemikali ambazo tunaweza kutengezea matairi ya magari na pikipiki, na matairi makubwa pamoja na mabomba ya plastic na nyloni.
Hivi vitu vyote tukiviuza ndivyo vyenye thamani zaidi kuliko mafuta, machafu.

4. Japo makaa ya mawe yanachafua sana mazingira lakini yanaweza kuwa malighafi moja kubwa ya kutengezea kemikali za aina nyingi mnoo zenye thamani kubwa sana. Kutokana na uwepo wa kampaundi nyingi sana ndani yake.
Hivyo tukifanya hivyo ni wazi ndani ya muda mfupi tutakuwa matajiri.
Wazo zuri Chief
Ila watu wamelala sasa hivi...njoo uongee nao kesho au kesho kutwa
 
Umeandika kinadharia sana. Kila mtu anajua hayo kikwazo ni kwamba gas and oil exploration, extraction and production ni gharama sana ndo maana hayo mawazo yanaishia kwenye makablasha tu.

Kumudu gharama zake lazima turudi kwa mabeberu kufanya hiyo shughuli na utaalamu.

Hivi gesi ya Mtwara mliyosema ikianza kuchimbwa nchi nzima itakua tajiri iliishia wapi?
 
Umeandika kinadharia sana. Kila mtu anajua hayo kikwazo ni kwamba gas and oil exploration, extraction and production ni gharama sana ndo maana hayo mawazo yanaishia kwenye makablasha tu.

Kumudu gharama zake lazima turudi kwa mabeberu kufanya hiyo shughuli na utaalamu.

Hivi gesi ya Mtwara mliyosema ikianza kuchimbwa nchi nzima itakua tajiri iliishia wapi?
Wala sio nadharia mkuu, tatizo lipo kwenye mikataba tu na kukubaliana. Watanzania walisaini mikataba mibovu na pia hawana uwezo wa kukubaliana na wazungu kitu ambacho wakiingia kwenye kujadili wazungu wanawazidi akili then wanaingia mikataba mibovu. Lakini kuhusu swala utafutaji pesa zipo kwenye makampuni yanayofanya hizo shughuli kuzalisha pia ni kazi nyepesi kabisa hiyo.

Shida ilipo ni watanzania hawana maarifa na rasilimali na pia hawana elimu ya kusimamia rasilimali.
 
Umeandika kinadharia sana. Kila mtu anajua hayo kikwazo ni kwamba gas and oil exploration, extraction and production ni gharama sana ndo maana hayo mawazo yanaishia kwenye makablasha tu.

Kumudu gharama zake lazima turudi kwa mabeberu kufanya hiyo shughuli na utaalamu.

Hivi gesi ya Mtwara mliyosema ikianza kuchimbwa nchi nzima itakua tajiri iliishia wapi?
Alafu hili wazo la kusema ni gharama sana lifute kichwani mkuu, hakuna kitu kilicho chepesi duniani. Hata mtu ukimuuliza swala la kujiajiri utasikia anakuambia kujiajiri ni kazi sana.

Oil and gas is found in your mind. If you don't get it it's means your mind has reached the end. Oil and gas is the knowledge. So for that case is found in your head brain. Shika hii itakusaidia. Usiposhika hii utabaki kusema kuchimba ni gharama sanaaa
 
Habari za Leo wa ungwana.
Natamani sana taifa langu liwe tajiri.
Kuna msemo unasema kwamba utajiri unapatikana ardhini. Huu msemo ni wa kweli kabisa.

Kwasababu ndani ya ardhi ndio kuna mali, kuna madini, kuna maji, kuna mafuta, kuna gesi, kuna makaa ya mawe kuna misitu, kuna miti, kuna wanyama na kila kitu na ardhi yenye rutuba.

Nawashangaa sana vijana wa kitanzania wanao ng'ang'ana na biashara za mitandao mara yutube mara kubeti. Hizo ni dalili za kukosa maarifa na uvivu wa kufikiri.

Hizo biashara tuwaachieni wazungu. Sisi bado ardhi yetu ni bikira kabisa ina kila kitu. Ni sisi tu kuamua. Wazungu wenzetu ardhi yao ilisha tumika na walishakomba kila kitu.

Sasa nirudi kwenye mada mimi kama kijana napenda sana taifa langu liwe tajiri. Tukitaka tuwe matajiri ni vyema taifa lijikite kutafuta rasilimali zenye thamani kubwa, tutafute madini ya aina mbalimbali yenye thamani, tutafute gesi kila mahali kwenye mito na maziwa yetu yote. Tutafute mafuta kwenye mito na maziwa yetu yote. Tukipata hizo rasilimali tuzitumie kwa ufanisi, kivipi tuziongezee thamani ili tukiuza end product tupate pesa nyingi zaidi ya ile tungeipata kwa kuuza malighafi.

Nije kwenye gesi asilia. Tukiitumia gesi kwa ufanisi tunaweza kuwa matajiri maramoja sana.

1. Gesi asilia tunaweza kuibadirisha kuwa mbolea za kutumia mashambani Pamoja na kemikali mbalimbali. Mbolea na kemikali tukiziuza ndio tutapata pesa nyingi zaidi.

2. Gesi asilia tunaweza kuibadili kuwa petroli ya kwenye magari. Bei ya petroli ni kubwa kuliko ya gesi. Na magari mengi yanatumia petroli kwa hivyo twaweza kupata soko kubwa na la haraka zaidi. Kwanini tusiwe matajiri.

3. Tukitafuta mafuta tukayapata tusiuze mafuta machafu, bali tuyasafishe ili tupate petroli, dizeli, mafuta mazito, vilainishi vya injini, mafuta ya taa, rami, mafuta ya ndege, na gesi ya LPG pamoja na kemikali mbalimbali.
Kutoka kwenye huo msafisho tunaweza kupata kemikali ambazo tunaweza kutengezea matairi ya magari na pikipiki, na matairi makubwa pamoja na mabomba ya plastic na nyloni.
Hivi vitu vyote tukiviuza ndivyo vyenye thamani zaidi kuliko mafuta, machafu.

4. Japo makaa ya mawe yanachafua sana mazingira lakini yanaweza kuwa malighafi moja kubwa ya kutengezea kemikali za aina nyingi mnoo zenye thamani kubwa sana. Kutokana na uwepo wa kampaundi nyingi sana ndani yake.
Hivyo tukifanya hivyo ni wazi ndani ya muda mfupi tutakuwa matajiri.
nipe kazi bro tutoke kwenye huu umaskini. unavision kubwa kwa kijana mwenye kiu ya mafanikio anapaswa kuwa nyoka kugain kitu fulani positive.
 
Wala sio nadharia mkuu, tatizo lipo kwenye mikataba tu na kukubaliana. Watanzania walisaini mikataba mibovu na pia hawana uwezo wa kukubaliana na wazungu kitu ambacho wakiingia kwenye kujadili wazungu wanawazidi akili then wanaingia mikataba mibovu. Lakini kuhusu swala utafutaji pesa zipo kwenye makampuni yanayofanya hizo shughuli kuzalisha pia ni kazi nyepesi kabisa hiyo.

Shida ilipo ni watanzania hawana maarifa na rasilimali na pia hawana elimu ya kusimamia rasilimali.

Unashauri nini kifanyike?
 
Unashauri nini kifanyike?
Nadhani sasa umenipata mkuu. Chukulia mfano huu mwepesi mkuu, una kiwanja hekali tano maeneo ya kariako pale. Moja kwa moja akili yako inawaza kwamba kiwanja hicho ni cha thamani sana. Na kwa kutumia hicho kiwanja unaona kabisa jinsi ambavyo unaweza kukiuza ukapata pesa nyingi mnoo. Lakini wewe hutaki kukiuza unataka kufungua biashara lakini huna mtaji. Utafanyaje ili ufungue biashara hapo na huku huna mtaji?
Ukiweza kujibu hili swali ndio majibu ya swali lako.
 
Nadhani sasa umenipata mkuu. Chukulia mfano huu mwepesi mkuu, una kiwanja hekali tano maeneo ya kariako pale. Moja kwa moja akili yako inawaza kwamba kiwanja hicho ni cha thamani sana. Na kwa kutumia hicho kiwanja unaona kabisa jinsi ambavyo unaweza kukiuza ukapata pesa nyingi mnoo. Lakini wewe hutaki kukiuza unataka kufungua biashara lakini huna mtaji. Utafanyaje ili ufungue biashara hapo na huku huna mtaji?
Ukiweza kujibu hili swali ndio majibu ya swali lako.

Easier said than done.
 
nipe kazi bro tutoke kwenye huu umaskini. unavision kubwa kwa kijana mwenye kiu ya mafanikio anapaswa kuwa nyoka kugain kitu fulani positive.
JOB POSITION: East African Doctoral or Master's Graduate.

East African Doctoral or Master graduate with proficiency in Kiswahili and having any of the following expertise may contact me for an important information: Agricultural Economics, Development Studies, International Relations, Political Science, Agricultural Science, Geography, Natural Science.

If you are interested
Njoo PM

Huu ni mchongo mmoja wa maana sana. Naomba watu wajitokeze wanaopenda kufanya kazi na GERMANY.

PM me right now.
 
Back
Top Bottom