Tetesi:  Utumikaji wa ram za simu.

Tetesi:  Utumikaji wa ram za simu.

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Yaani nimejaribu kupekuwa simu nyingi kwa kina nakuta inaonyesha. Simu hata iwe na ram kubwa vipi. Yaani tunapewa ℅ kama 30 tu. Nyingine inatumiwa na system. Hii imekaaje yaani app zinatumia 30℅ tu. Hata simu iwe na ram gb ngapi. Yaani haizidi 30℅ kwa mtumiaji.

Hatupewi uwezo wa kutumia ram yote.

Hii imekaaje Chief-Mkwawa Au mimi ndio sijaelewa embu nieleweshwe.
 
Yaani nimejaribu kupekuwa simu nyingi kwa kina nakuta inaonyesha. Simu hata iwe na ram kubwa vipi. Yaani tunapewa ℅ kama 30 tu. Nyingine inatumiwa na system. Hii imekaaje yaani app zinatumia 30℅ tu. Hata simu iwe na ram gb ngapi. Yaani haizidi 30℅ kwa mtumiaji.

Hatupewi uwezo wa kutumia ram yote.

Hii imekaaje Chief-Mkwawa Au mimi ndio sijaelewa embu nieleweshwe.
Sio simu zote mkuu, brand za kichina na samsung zamani wanajaza sana bloatware na useless apps hivyo kukuachia free ram kidogo.

Ila simu za stock na baadhi ya brands kama oneplus na nyengine zinazotumia ui nyepesi kunakuwa na free ram ya kutosha tu.
oneplus-3-free-ram-6gb-variant.jpg


Unaweza kuangalia kwenye oneplus out of 6gb kuna 4.4GB free ambayo ni kama robo tatu ipo free.

oneplus-3-free-ram-6gb-variant.jpg
 
[emoji116][emoji116]
Screenshot_20190502-125245.jpeg
 
Oook. Harafu hili swala la useless app nalo ilikuwa ni tatizo naona now nokia haweki app nyingi kwenye simu zao wanakuacha udownload mwenyewe uzipendazo.. wewe unawekewa mfano app ambazo huzitumii daima.

Maana sio wote tunapenda kuroot simu.
Sio simu zote mkuu, brand za kichina na samsung zamani wanajaza sana bloatware na useless apps hivyo kukuachia free ram kidogo.

Ila simu za stock na baadhi ya brands kama oneplus na nyengine zinazotumia ui nyepesi kunakuwa na free ram ya kutosha tu.
oneplus-3-free-ram-6gb-variant.jpg


Unaweza kuangalia kwenye oneplus out of 6gb kuna 4.4GB free ambayo ni kama robo tatu ipo free.

oneplus-3-free-ram-6gb-variant.jpg
 
Inaonekana hapo kwenye blue tu ndio nimeachiwa
 
Oook. Harafu hili swala la useless app nalo ilikuwa ni tatizo naona now nokia haweki app nyingi kwenye simu zao wanakuacha udownload mwenyewe uzipendazo.. wewe unawekewa mfano app ambazo huzitumii daima.

Maana sio wote tunapenda kuroot simu.
Makampuni yanapiga hela, hata hao watengeneza apps nao apps zao ni kubwa na zinakula ram sana kwa vitu vya kijinga. Unakuta simu moja ina image editor 60, video editor 30 etc. Kila app ina built ina filters, video editor, image editor etc.

Mfano angalia facebook app zao nzito sana sababu hiyo, instagram ina editors zake, fb ina editors zake, whatsapp etc. Hivyo unakuwa na vitu usivyotumia vinajirudia mara kibao.
 
Yaap kama Facebook ilikuwa balaa yaani simu yote inakuwa nzito hata wengi nikawa nawashauri wafute tu watumie kupitia chrome. Maana ulikuwa ukiset inakaa poa kama app. Yaani kwa simu yenye ram ya mashaka simu yote inakuwa slow.
Makampuni yanapiga hela, hata hao watengeneza apps nao apps zao ni kubwa na zinakula ram sana kwa vitu vya kijinga. Unakuta simu moja ina image editor 60, video editor 30 etc. Kila app ina built ina filters, video editor, image editor etc.

Mfano angalia facebook app zao nzito sana sababu hiyo, instagram ina editors zake, fb ina editors zake, whatsapp etc. Hivyo unakuwa na vitu usivyotumia vinajirudia mara kibao.
 
Yaap kama Facebook ilikuwa balaa yaani simu yote inakuwa nzito hata wengi nikawa nawashauri wafute tu watumie kupitia chrome. Maana ulikuwa ukiset inakaa poa kama app. Yaani kwa simu yenye ram ya mashaka simu yote inakuwa slow.
na ndio maana nastick na KitKat 4.4.2. nimeiroot, nakuondoa bloatware zoote, yaani sa ivi nachezea 200MB used , out of 1500MB total RAM
 
Duuh mkuu kitkat mbona uko nyuma sana.
na ndio maana nastick na KitKat 4.4.2. nimeiroot, nakuondoa bloatware zoote, yaani sa ivi nachezea 200MB used , out of 1500MB total RAM
 
Mfano angalia facebook app zao nzito sana sababu hiyo, instagram ina editors zake, fb ina editors zake, whatsapp etc. Hivyo unakuwa na vitu usivyotumia vinajirudia mara kibao.
Mkuu nataka futa TRUSTED CREDENTIALS, itaniletea shida?.. Na kiufupi kazi ya ANDROID SYSTEM WEBVIEW kwenye HUAWEI ni ipi!?.
 
Soma hapa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaaani ni upuuzi kweli kweli. Wee mtu kanunua simu gb 3 ram then ukimwambia hapo umepewa mb700 tu hata hakuelewi.
Soma hapa
 
Hii kitu inakera sana. Nina ka smartphone Ram yake pamoja na processor yake haviendani kabisa na performance inayotoa!
 
Ndio maana ukishika simu ya wimdow, au ios unaelewa kivitendo maana ya hii kitu.

Huu upuuzi unaifanga android kuwa ni taasisi fulani ya wababaishaji.
 
Mkuu nataka futa TRUSTED CREDENTIALS, itaniletea shida?.. Na kiufupi kazi ya ANDROID SYSTEM WEBVIEW kwenye HUAWEI ni ipi!?.
Usifute mkuu, hio webview inatumika na apps pale zinapofungua webpages ndani ya app bila kutumia browser, ukiitoa utaharibu compability ya apps nyingi na nyengine zinaweza zisifunguke kabisa.

Na trusted credentials nafikiri ni mambo ya certificate, inaangalia mambo ya usalama vitu kama vpn na networks mbalimbali. Ukizifuta pia inaweza sababisha matatizo kwenye networks mbalimbali.

Kifupi system apps achana nazo.
 
Harafu instant app. Huwa inahusu nini naona huwa inajidownload mara kwa mara.
Usifute mkuu, hio webview inatumika na apps pale zinapofungua webpages ndani ya app bila kutumia browser, ukiitoa utaharibu compability ya apps nyingi na nyengine zinaweza zisifunguke kabisa.

Na trusted credentials nafikiri ni mambo ya certificate, inaangalia mambo ya usalama vitu kama vpn na networks mbalimbali. Ukizifuta pia inaweza sababisha matatizo kwenye networks mbalimbali.

Kifupi system apps achana nazo.
 
Back
Top Bottom