Ndenge Nini
Senior Member
- Jul 28, 2022
- 125
- 216
Mercy ushanifukuzisha kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] na kwa jinsi jamaa alivyoandika huu uzi, lazima ufanyiwe kazi kwisha habari yenu.Mercy ushanifukuzisha kazi
Kabisa.Mnakatisha tamaa watoto wetu na sisi wazazi tunatumia gharama nyingi wahusika wachukuliwe hatua. Pakuanzia ni kwa huyo Mercy.
Hili jambo halikubaliki, Serikali ifutilie haraka sana haiwezekani tuangaike kuwapa elimu watoto wetu, alafu watu wachache watuharibie. Mambo kama haya hayakubaliki kamwe, viongozi waandamizi na wenye mamlaka mpo humu, fuatilieni hili jambo watu wote wapate haki sawa. Hamna haja ya kubebwa kama mtu alisoma na kuhitimu kwa uwezo wake.Kichwa cha mada chahusika hapo juu. Usaili wa mahojiano wa nafasi tajwa hapo uliofanyika leo tarehe 08/09/2022 umegubikwa na vitendo vya udanganyifu. Maswali yote sita ya nafasi tajwa juu hapo yamevujishwa na baadhi ya maofisa wa sekretarieti ya utumishi wa umma kwa kushirikiana na viongozi kadhaa wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali yaani GCLA.
Maswali hayo yamevuja kupitia kwa msailiwa aitwaye Mercy ambaye alikuwa na maswali hayo huku akitaja baadhi ya maswali hayo na majibu yake kabla ya sahili zote mbili, TCRA Inaweza kuchunguza mawasiliano ya mtahiniwa huyo ya hivi karibuni ili kuthibitisha hili.
Ikumbukwe vitendo vya uvujishaji mitihani kwa wasailiwa kabla ya usaili havirusiwi chini ya sheria ya Utumishi ya sekretarieti ya ajira, na yeyote anayejihusisha na vitendo hivyo anastahili kuadhibiwa kisheria.
Vitendo hivyo uchangia pakubwa kuajiri incompetent personnel's katika taasisi mbali mbali na uminya haki na usawa kwa wasailiwa wote wa kada husika.
Hivyo basi napendekeza Serikali kufuatilia usaili wa mahojiano wa GCLA uliofanyika leo tarehe 08/09/2022 kupitia utumishi na endapo itajiridhisha na uwepo wa vitendo hivyo vya udanganyifu, ifute usaili huo na nafasi hizo zitangazwe upya na mchakato urudiwe chini ya usimamizi na uangalizi wa Serikali.
GCLA ni taasisi nyeti ya Serikali, hivyo inatakiwa kuajiri kwa kufuata misingi ya haki na usawa.
nape nauye
Umeongea point ya msingi, na mleta mada nimependa base clandestine yake. Serikali ifuatilie haraka sana.Mnakatisha tamaa watoto wetu na sisi wazazi tunatumia gharama nyingi wahusika wachukuliwe hatua. Pakuanzia ni kwa huyo Mercy.
Mkuu naona unmsagia kunguni MercyKichwa cha mada chahusika hapo juu. Usaili wa mahojiano wa nafasi tajwa hapo uliofanyika leo tarehe 08/09/2022 umegubikwa na vitendo vya udanganyifu. Maswali yote sita ya nafasi tajwa juu hapo yamevujishwa na baadhi ya maofisa wa sekretarieti ya utumishi wa umma kwa kushirikiana na viongozi kadhaa wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali yaani GCLA.
Maswali hayo yamevuja kupitia kwa msailiwa aitwaye Mercy ambaye alikuwa na maswali hayo huku akitaja baadhi ya maswali hayo na majibu yake kabla ya sahili zote mbili, TCRA Inaweza kuchunguza mawasiliano ya mtahiniwa huyo ya hivi karibuni ili kuthibitisha hili.
Ikumbukwe vitendo vya uvujishaji mitihani kwa wasailiwa kabla ya usaili havirusiwi chini ya sheria ya Utumishi ya sekretarieti ya ajira, na yeyote anayejihusisha na vitendo hivyo anastahili kuadhibiwa kisheria.
Vitendo hivyo uchangia pakubwa kuajiri incompetent personnel's katika taasisi mbali mbali na uminya haki na usawa kwa wasailiwa wote wa kada husika.
Hivyo basi napendekeza Serikali kufuatilia usaili wa mahojiano wa GCLA uliofanyika leo tarehe 08/09/2022 kupitia utumishi na endapo itajiridhisha na uwepo wa vitendo hivyo vya udanganyifu, ifute usaili huo na nafasi hizo zitangazwe upya na mchakato urudiwe chini ya usimamizi na uangalizi wa Serikali.
GCLA ni taasisi nyeti ya Serikali, hivyo inatakiwa kuajiri kwa kufuata misingi ya haki na usawa.
nape nauye
[emoji23] kunguni kweli kwl, nacheka kama mazuri vile. Huu uzi utaondoka na mtu huko utumishi.Mkuu naona unmsagia kunguni Mercy
Nyumba yangu hata haijaisha, dah[emoji23][emoji23] na kwa jinsi jamaa alivyoandika huu uzi, lazima ufanyiwe kazi kwisha habari yenu.
Utakopa vikoba usiogopeNyumba yangu hata haijaisha, dah
Unajua unyeti wa hiyo taasisi? Mijitu isiyo na shule banaMercy mpuuzi sana ukishapewa NONDO kausha
Hizi kazi sio wote mtapata akikosa uliempa NONDO lazima aku snitch
Hii dunia kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Ndiyo maisha yalivyo. Nitashangàa sana endapo hawatachukua hatua madhubuti.Mnakatisha tamaa watoto wetu na sisi wazazi tunatumia gharama nyingi wahusika wachukuliwe hatua. Pakuanzia ni kwa huyo Mercy.